1Men dette skal du vite at i de siste dager skal det komme vanskelige tider.
1Kumbuka kwamba, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za taabu.
2For menneskene skal da være egenkjærlige, pengekjære, stortalende, overmodige, spottende, ulydige mot foreldre, utakknemlige, vanhellige,
2watu watakuwa na ubinafsi, wenye tamaa ya fedha, wenye majivuno, wenye kujiona, wenye kumtukana Mungu, wasiowatii wazazi wao, wasio na shukrani na waovu;
3ukjærlige, upålitelige, baktalende, umåtelige, umilde, uten kjærlighet til det gode,
3watatokea watu wasio na upendo moyoni, wasio na huruma, wachongezi, walafi na wakali; watachukia chochote kilicho chema;
4svikefulle, fremfusende, opblåste, slike som elsker sine lyster høiere enn Gud,
4watakuwa wahaini, wakaidi na waliojaa kiburi; watapenda anasa kuliko kumpenda Mungu.
5som har gudfryktighets skinn, men fornekter dens kraft - og disse skal du vende dig fra.
5Kwa nje wataonekana kama watu wenye kumcha Mungu, lakini wataikana nguvu yake. Jiepushe kabisa na watu wa namna hiyo.
6For til dem hører de som lurer sig inn i husene og fanger kvinnfolk som er tynget av synder og drives av mangehånde lyster
6Baadhi yao huenda katika nyumba za watu na huwateka wanawake dhaifu waliolemewa mizigo ya dhambi na ambao wanaongozwa na tamaa za kila aina;
7og alltid lærer og aldri kan komme til sannhets erkjennelse.
7wanawake ambao wanajaribu daima kujifunza lakini hawawezi kuufikia ujuzi wa huo ukweli.
8Som Jannes og Jambres stod Moses imot, således står også disse sannheten imot, mennesker som er fordervet i sitt sinn og uduelige I troen.
8Watu hao huupinga ukweli kama vile Yane na Yambre walivyompinga Mose.
9Dog, de skal ikke få mere fremgang; for deres uforstand skal bli åpenbar for alle, likesom og hines blev.
9Lakini hawataweza kuendelea zaidi kwa maana upumbavu wao utaonekana wazi kwa wote. Ndivyo ilivyokuwa kwa akina Yane na Yambre.
10Men du har efterfulgt min lære, min ferd, mitt forsett, min tro, min langmodighet, min kjærlighet, min tålmodighet,
10Wewe lakini, umeyafuata mafundisho yangu, mwenendo wangu, makusudi yangu katika maisha, imani yangu, uvumilivu wangu, upendo wangu, subira yangu,
11mine forfølgelser, mine lidelser, sådanne som møtte mig i Antiokia, i Ikonium, i Lystra, sådanne forfølgelser som jeg har utholdt, og Herren har fridd mig ut av dem alle sammen.
11udhalimu na mateso yangu. Unayajua mambo yaliyonipata huko Antiokia, Ikonio na Lustra. Nilivumilia udhalimu mkubwa mno! Lakini Bwana aliniokoa katika mambo hayo yote.
12Og alle som vil leve gudfryktig i Kristus Jesus, skal bli forfulgt.
12Kila mtu anayetaka kuishi maisha ya kumcha Mungu katika kuungana na Kristo Yesu lazima adhulumiwe.
13Men onde mennesker og slike som kverver synet på folk, går frem til det verre; de fører vill og farer vill.
13Watu waovu na wadanyanyifu watazidi kuwa waovu zaidi na zaidi kwa kuwadanganya wengine na kudanganyika wao wenyewe.
14Men bli du i det som du har lært, og som du er blitt overbevist om, da du vet hvem du har lært det av,
14Lakini wewe dumu katika ukweli ule uliofundishwa, ukaukubali kabisa. Unawajua wale waliokuwa walimu wako.
15og da du fra barndommen av kjenner de hellige skrifter, som kan gjøre dig vis til frelse ved troen på Kristus Jesus.
15Unakumbuka kwamba tangu utoto wako umeyajua Maandiko Matakatifu ambayo yaweza kukupatia hekima iletayo wokovu kwa njia ya imani kwa Kristo Yesu.
16Den hele Skrift er innblest av Gud av Gud og nyttig til lærdom, til overbevisning, til rettledning, til optuktelse i rettferdighet,
16Maandiko yote Matakatifu yameandikwa kwa uongozi wa Mungu, na yanafaa katika kufundishia ukweli, kuonya, kusahihisha makosa, na kuwaongoza watu waishi maisha adili,
17forat det Guds menneske kan være fullkommen, duelig til all god gjerning.
17ili mtu anayemtumikia Mungu awe mkamilifu, na tayari kabisa kufanya kila tendo jema.