1Unaute aw, hiai khawng na theih louh uh ka deih kei, huchia i pipute tengteng mei nuaia a om vek ua, a vek ua tuipi leng a kan ua,
1Ndugu, nataka mjue kwamba babu zetu wote walikuwa chini ya ulinzi wa lile wingu, na kwamba wote walivuka salama ile bahari.
2A vek ua meia leh tuipi-a Mosi-a baptis luta a om vek ua,
2Wote walibatizwa katika umoja na Mose kwa lile wingu na ile bahari.
3A vek ua khalam an kibang leng a nek chiat ua.
3Wote walikula chakula kilekile cha kiroho,
4A vek ua khalam dawn ding kibang leng a dawn chiat uh. Amaute jui, khalam Suangpi-a a dawn chiat ngal ua; huai Suangpi tuh Kris ahi.
4wakanywa pia kinywaji kilekile cha kiroho, maana walikunywa kutoka ule mwamba wa kiroho uliowafuata; mwamba huo ulikuwa Kristo mwenyewe.
5Himahleh, a lak ua mi tamjaw tungah Pathian a lunghita keia; gamdai ah puklumin a om uhi.
5Hata hivyo, wengi wao hawakumpendeza Mungu, na maiti zao zilisambazwa jangwani.
6Huan, huaite tuh ei dinga etjuiding ahi, thil gilou a lunggulh bang ua i lunggulh sam louhna dingin.
6Sasa, mambo hayo yote ni mfano tu kwetu; yanatuonya sisi tusitamani ubaya kama wao walivyotamani.
7A lak ua khenkhat milim bemi a hih bang un milim bemi hi kei un. Mipi tuh ne ding leh dawn dingin a tu chiat ua, lam dingin a ding nawn uh, chih gelh bangin.
7Msiwe waabudu sanamu kama baadhi yao walivyokuwa; kama yasemavyo Maandiko: "Watu waliketi kula na kunywa, wakasimama kucheza."
8A lak ua khenkhatin nungak a ngai ua, ni khatin sing nih leh sang thumin a puklup loh bang un, i kingai sam kei ding uh,
8Wala tusizini kama baadhi yao walivyozini, wakaangamia siku moja watu ishirini na tatu elfu.
9A lak ua khenkhatin Toupa a zeet ua, gula hihmana a om bang un, Toupa jaw i zeet kei ding uh.
9Tusimjaribu Bwana kama baadhi yao walivyomjaribu, wakauawa na nyoka.
10A lak ua khenkhat a phun ua, hihmangthangpa hihmanthata a om bang un, phun sam kei ni.
10Wala msinung'unike kama baadhi yao walivyonung'unika, wakaangamizwa na Mwangamizi!
11Huan, huaite tuh vaukholhna dingin a tunguah a hongtung h; eite, hun tawp hongtunnate, honthuhilhna ding aleng gelh ahi uhi.
11Basi, mambo hayo yaliyowapata wao ni kielelezo kwa wengine, na yaliandikwa ili kutuonya sisi, ambao mwisho wa nyakati unatukabili.
12Huaijiakin dinga kingaihtuah tuh pilvang hen, huchilou injaw a puk kha ding.
12Anayedhani amesimama imara ajihadhari asianguke.
13Mihing thuak theih val khemna himhim na tuang uah a tung ngei kei hi. Pathian jaw a muanhuai ahi, aman na thuak theih val uh khemna na tuah uh a phal kei ding; na thuak theihna ding un khemna peuhah taikhiak na lampi abawl pah zo ding hi.
13Majaribu mliyokwisha pata ni ya kawaida kwa binadamu. Mungu ni mwaminifu, naye hataruhusu mjaribiwe kupita nguvu zenu, ila pamoja na majaribu, yeye atawapeni pia nguvu ya kustahimili na njia ya kutoka humo salama.
14Huaijiakin ka deihtakte aw, milimbiak jaw taisan un.
14Kwa hiyo, wapenzi wangu, epeni ibada za sanamu.
15Mi pilte kianga gen bangin ka gen ahi; ka thugen ngaihtuah un.
15Naongea nanyi, watu wenye busara; jiamulieni wenyewe hayo nisemayo.
16Vualjawlna noua vual ka honjawl sak uh, Kris sisan kikoppihna ahi ka hia? Tanghou ka balkhap uh, Kris pumpi kikoppihna ahi ka hia?
16Tunapomshukuru Mungu kwa kikombe kile cha baraka, je, huwa hatushiriki damu ya Kristo? Na tunapoumega mkate, je, huwa hatushiriki mwili wa Kristo?
17Eite mi tampi tanghou beu khat, pumpi pumkhat, i hi hi; i vek un tanghou beu khata i tang chiat ngal ua.
17Kwa kuwa mkate huo ni mmoja, sisi, ingawa ni wengi, tu mwili mmoja; maana sote twashiriki mkate huohuo.
18Sa lama Israelte en dih ua; kithoihna sa neten maitam a kikoppih kei ua hia?
18Chukueni, kwa mfano, Wayahudi wenyewe: kwao, wenye kula vilivyotambikiwa madhabahuni waliungana na hiyo madhabahu.
19Bang ka genna ahia leh? Milim laka kithoihna leh, milim leng banghiamtak ahi chih ka gen ahia?
19Nataka kusema nini, basi? Kwamba chakula kilichotambikiwa sanamu ni kitu zaidi ya chakula? Na hizo sanamu, je, ni kitu kweli zaidi ya sanamu?
20Jentelte kithoihna, Pathian lakah hi louin dawite lakah a kithoih uh ahi chih, ka gen jaw ahi; nou jaw dawite na kikoppih uh hondeih lou ka hi.
20Hata kidogo! Ninachosema ni kwamba tambiko wanazotoa watu wasiomjua Mungu wanawatolea pepo, sio Mungu. Sipendi kamwe ninyi muwe na ushirika na pepo.
21Toupa nou leh dawi nou na dawn khawm theikei ding uh; Toupa dohkan ah leh dawi dohkan ah na ne khawm theisam kei ding uh.
21Hamwezi kunywa kikombe cha Bwana na kikombe cha pepo; hamwezi kushiriki katika meza ya Bwana na katika meza ya pepo.
22Ahihkeileh, Toupa hajatna hantoh i tum uh ahi maw? Amah sangin i hatjaw ua hi?
22Au je, tunataka kumfanya Bwana awe na wivu? Mnadhani tuna nguvu zaidi kuliko yeye?
23Thil bangkim hih a sianga, himahleh thil bangkim hih a hoih khol kei. Thil bangkim hih a sianga, himahleh thil bangkim hihin mi a bawl hoih kei hi.
23Vitu vyote ni halali, lakini si vyote vinafaa. Vitu vyote ni halali lakini si vyote vinajenga.
24Kuapeuhin amah hoihna ding zong louin midang hoihna ding zong jaw hen.
24Mtu asitafute faida yake mwenyewe, ila faida ya mwenzake.
25Sa dawla a juak peuhmah uh sia leh pha-theihtheihna jiakin bangmah dong louin ne mai un.
25Kuleni chochote kile kiuzwacho sokoni bila ya kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu;
26Lei leh a sunga tengteng Toupaa ahi ngala.
26maana Maandiko yasema: "Dunia na vyote vilivyomo ni mali ya Bwana."
27Ginglou mi laka kuahiamin nou honsapa, hoh na ut ngal un, sialehphatheihna jiaka bangmah dong sese louin, a honlui peuh uh ne mai un.
27Kama mtu ambaye si muumini akiwaalikeni nanyi mkakubali kwenda, basi, kuleni vyote atakavyowaandalieni bila kuulizauliza kwa sababu ya dhamiri zenu.
28Ahihhangin, kuahiamin, Hiai jaw kithoihna ahi, chia, a honhilh leh, sia leh pha theihna jiakin ne kei un amah nou a honhilhpa jiakin;
28Lakini mtu akiwaambieni: "Chakula hiki kimetambikiwa sanamu," basi, kwa ajili ya huyo aliyewaambieni hivyo na kwa ajili ya dhamiri, msile.
29Nangmah sia leh pha theihna ka chi keia, amah sia leh pha theihna pen ahi ka chih jawk. Bang achia midang sialehphatheihnain ka noplenna thunun ahia?
29Nasema, "kwa ajili ya dhamiri," si dhamiri yenu, bali dhamiri yake huyo aliyewaambieni. Mtaniuliza: "Kwa nini uhuru wangu utegemee dhamiri ya mtu mwingine?
30Kipaktaka ka tan leh, a tunga kipahthu ka genna tungah bang dinga gensiat ka hia?
30Ikiwa mimi nashiriki chakula hicho huku namshukuru Mungu, kwa nini nilaumiwe kwa chakula ambacho kwa ajili yake nimemshukuru Mungu?"
31Huchiin, na nek uhiam na dawn uhiam, na hehpeuhmah uah leng, Pathian thupina ding ngenin hih un.
31Basi, chochote mfanyacho iwe ni kula au kunywa, fanyeni yote kwa ajili ya utukufu wa Mungu.
32Judate ding hiam, Grikte ding hiam, Pathian saptuamte ding hiamin a pukna ding uh bangmah hih kei un,Ken keimah phattuamna zong loua, hotdam a hih theihna ding ua mi tampi phattuamna zong jawa, mi tengteng bangkim a ka kipahsak bang takin.
32Msiwe kikwazo kwa Wayahudi au kwa Wagiriki au kwa kanisa la Mungu.
33Ken keimah phattuamna zong loua, hotdam a hih theihna ding ua mi tampi phattuamna zong jawa, mi tengteng bangkim a ka kipahsak bang takin.
33Muwe kama mimi; najaribu kuwapendeza wote kwa kila njia, bila kutafuta faida yangu mwenyewe ila faida ya wote, wapate kuokolewa.