Paite

Swahili: New Testament

1 Corinthians

16

1Huan, mi siangthoute adia thohlawm thu jaw, Galatia gama saptuam pawlte kianga thu ka piak bangin nou leng na hih sam un.
1Sasa, yahusu ule mchango kwa ajili ya watu wa Mungu: fanyeni kama nilivyoyaagiza makanisa ya Galatia.
2Ni sagih ni masapenin mi chihin, vualjawlna na muh bang jel un koih khol chiat unla; ka hong chianga thohlawm lakkhawm himhim a om louhna dingin.
2Kila Jumapili kila mmoja wenu atenge kiasi cha fedha kadiri ya mapato yake, ili kusiwe na haja ya kufanya mchango wakati nitakapokuja.
3Huan, na hehpih thilpiak uh Jerusalem khuaa hohpih dingin ka hongtun chiangin kuapeuh hoih na chih ua lai na piak uh ka sawl ding hi.
3Wakati nitakapokuja kwenu, nitawatuma wale mtakaowachagua miongoni mwenu wapeleke barua na zawadi zenu Yerusalemu.
4Huan, ka hohna dinga kilawm a hihleh houh, kei toh a hoh ding uhi.
4Kama itafaa nami niende, basi, watakwenda pamoja nami.
5Huan, Masidonia gam ka tot suah khit chiangin na kiang uah ka hong dinga; Masidonia gam lah ka tuan suak himhim dia.
5Nitakuja kwenu, baada ya kupitia Makedonia--maana nataraji kupitia Makedonia.
6Nou kiangah ka tam nilouh kha thei hi, phalbi suang teng houh ahi khamaide, koi peuha ka hohna ding ah nouten non khak theihna ding un.
6Labda nitakaa kwenu kwa muda fulani, au huenda nitakaa pamoja nanyi wakati wote wa baridi, ili mpate kunisaidia niendelee na safari yangu kokote nitakakokwenda.
7Tua pai kawm lela honmuh malam ka ut keia, Toupan lem a sak leh na kiang ua sawltsim tam ka lamen ngala.
7Sipendi kupita kwenu harakaharaka na kuendelea na safari. Natumaini kukaa kwenu kwa kitambo fulani, Bwana akiniruhusu.
8Himahleh Pentikost tanin Ephesa khua ah na tam nilouh ding hi,
8Lakini nitabaki hapa Efeso mpaka siku ya Pentekoste.
9Kong lianpi, phatuampi sepna ding keia din a kihong ngala; huan, doumite leng tampi a om uhi.
9Mlango uko wazi kabisa kwa ajili ya kazi yangu muhimu hapa, ingawa wapinzani nao ni wengi.
10Huan, Timothi a hongtun leh lauthawng loua na kiang ua a omna dingin pilvang un; ken ka sep bangmahin Toupa na a sem ngala.
10Timotheo akija, angalieni asiwe na hofu yoyote wakati yupo kati yenu, kwani anafanya kazi ya Bwana kama mimi.
11Huaijiakin, kuamahin musit kei uhen; ka kianga a hong theihna dingin khamuang takin khajaw unla; unaute toh amah na muh ka lamen ngala.
11Kwa hiyo mtu yeyote asimdharau, ila msaidieni aendelee na safari yake kwa amani ili aweze kurudi kwangu, maana mimi namngojea pamoja na ndugu zetu.
12I unau Apollo thu jaw, unaute toh na kiang ua hong dingin ka chial ngial hi, himahleh, tun jaw hong a ut het keia; a lemtan hun chiangin a hong ding hi.
12Kuhusu ndugu Apolo, nimemsihi sana aje kwenu pamoja na ndugu wengine, lakini hapendelei kabisa kuja sasa ila atakuja mara itakapowezekana.
13Kiveng unla, ginna ah ding kip unla, kihihhang unla, hat takin om un.
13Kesheni, simameni imara katika imani, muwe hodari na wenye nguvu.
14Na hih peuhmah uh itnaa hih hi vek hen.
14Kila mfanyacho kifanyike kwa upendo.
15Unaute aw, Stephena inkuanpihte jaw Akhaia gama gingta makaite ahi ua, mi siangthoute na sem dingin a kipia uh chih na thei uhi;
15Ndugu, mnaifahamu jamaa ya Stefana; wao ni watu wa kwanza kabisa kuipokea imani ya Kikristo katika Akaya, na wamejitolea kuwatumikia watu wa Mungu. Ninawasihi ninyi ndugu zangu,
16Huchibang mite kiangah leh, na sepa panpih leh, semgim peuhte kianga lut dingin kon hasuan ahi.
16muufuate uongozi wa watu kama hao, na uongozi wa kila mtu afanyaye kazi na kutumikia pamoja nao.
17Huan, Stephena te, Fortunate te, Akaika te, a hong ujaw, ka kipak ahi, na om louh uleng kithei loua honbawl jiak un.
17Nafurahi sana kwamba Stefana, Fortunato na Akaiko wamefika; wamelijaza pengo lililokuwako kwa kutokuwako kwenu.
18Amau ka lungsim leh na lungsim uh honhihhalh ngal ua, hichibang mite jaw kipahpih un.
18Wameiburudisha roho yangu na yenu pia. Kwa hiyo inafaa kuwakumbuka watu wa namna hii.
19Asia gama saptuam pawlten chibai a honbuk uhi. Akuila leh Priskilla, a in ua saptuam kikhawmte toh in Toupa ah chibai tampiin honbuk uhi.
19Makanisa yote ya Asia yanawasalimuni. Akula na Priskila pamoja na watu wote wa Mungu walio nyumbani mwao wanawasalimuni sana katika Bwana.
20Unau tengtengin chibai a honbuk uhi. Tawp siangthouin chibai kibuk chiat un.
20Ndugu wote wanawasalimuni. Nanyi salimianeni kwa ishara ya mapendo ya Mungu.
21Kei Paula in hiai chibai bukna keimah khut mahmaha ka gelh ahi.
21Mimi Paulo nawasalimuni, nikiandika kwa mkono wangu mwenyewe.
22Kuapeuhin Toupa a it keileh hamse thuakin om hen. I Toupa a hongpai hi.
22Yeyote asiyempenda Bwana, na alaaniwe. MARANA THA--BWANA, njoo!
23Toupa Jesu Kris hehpihna na kiang uah om hen.Kris Jesua ka itna na vek ua lak ah om hen. Amen.
23Neema ya Bwana Yesu iwe nanyi.
24Kris Jesua ka itna na vek ua lak ah om hen. Amen.
24Mapendo yangu yawe kwenu katika kuungana na Kristo Yesu.