1Paula, Pathian deihlama Kris Jesu sawltak leh i unaupa Timothi in: Korinth khuaa Pathian saptuam omte kiangah, leh Akhaia gam tengtenga mi siangthou om tengtengte kiang ah:
1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo, tunawaandikia ninyi mlio kanisa la Mungu huko Korintho, na watu wote wa Mungu kila mahali katika Akaya.
2Pathian i pa leh Toupa Jesu Kris kianga kipan hehpihna leh lemna na kiang uah om hen.
2Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Bwana Yesu Kristo.
3I Toupa Jesu Kris Pathian leh Pa, hehpihnate Pa leh khamuanna tengteng Pathian, phatin om hen.
3Atukuzwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba mwenye huruma na Mungu mwenye kuleta faraja yote.
4Pathianin koumau honkhamuanna ngeiin gimthuakna peuhmaha omte leng ka khamuan sam theihna dingun, aman ka gimthuaknate uah a honkhamuan jel hi.
4Yeye hutufariji sisi katika taabu zetu zote, ili nasi tupate kuwafariji wengine katika kila taabu kwa faraja hiyohiyo tunayopokea kutoka kwa Mungu.
5Kris thuaknate tampitak ka tan bangun, Kris jiakin khamuanna leng tamsem ka tang uhi.
5Naam, kadiri mateso ya Kristo yanavyozidi ndani yetu, ni kadiri hiyohiyo tunazidi kufarijiwa naye.
6Himahleh, gimthuaka ka om uleh, noumau khamuanna ding leh hotdamna ding ahia; huan, khamuana ka om uleh, ka thuak bang uh na thuak chiangua na theih ua na khamuanna ding uh ahi.
6Ikiwa tunapata taabu, basi ni kwa ajili ya faraja na wokovu wenu. Tukifarijika, ni kwa ajili ya kuwafariji ninyi na kuwaunga mkono mpate nguvu ya kustahimili mateso yaleyale tunayoteseka sisi.
7Huan, gimthuakna tang samte na hih bang un, khamuanna tang samte leng na hi uh chih ka theih un, ka hon lamet sakna uh a kip ahi.
7Tena, matumaini tuliyo nayo kwa ajili yenu ni imara; tunajua kwamba mkishiriki mateso yetu, mtashiriki pia faraja yetu.
8Unaute aw, Asia gama ka tung ua gimthuakna tung na theih louh uh ka deih kei uh, huchia, nakpitaka thuakzoh vual louha, hin himhim leng lamen lou khop hiala delhdena ka om uh.
8Ndugu, tunataka kuwajulisheni taabu zilizotupata kule Asia; taabu hizo zilitulemea kupita kiasi, hata tukakata matumaini yote ya kuendelea kuishi.
9Ahi, sihna thupukna mutain ka kingai hial uhi; himah leh huai tuh koumau kimuang loua misite kaithoupa Pathian ka muan jawk nading uh ahi;
9Naam, tulikuwa kama watu waliohukumiwa kuuawa, ili tufundishwe kumtegemea Mungu mwenye kuwafufua wafu, badala ya kutegemea nguvu zetu sisi wenyewe.
10Aman huchibang sih lauhuai lakah honhunkhetaa, a honhunkhe nawn ding; a honhunkhe nawn jel ding chih amah tungah kalametna uh ka nga uhi.
10Yeye alituokoa katika hatari kubwa ya kifo, na anaendelea kutuokoa; sisi tumemwekea tumaini letu kwamba atatuokoa tena,
11Nou leng thumna a non panpih luat ding uh ahi, huchiin tampite thumna dawnna vualjawlna piaka ka om chiangun koute jiakin mi tampiin kipahthu a gen ding uhi.
11ninyi mkiwa mnatuunga mkono kwa kutuombea. Hivyo neema tutakazokuwa tumepata kutokana na maombi ya watu wengi hivyo, ziwe sababu ya watu wengi zaidi kumshukuru Mungu kwa ajili yetu.
12Ka suan uh jaw hiai ahi, ka sia leh pha theihna thu uh theihsak, siangthouna leh Pathian dikna neiin, sa pilna ah hi louin, Pathian hehpihna hi jawin khovel ah ka gamta ua, nou lam ah ka gamta hoih nawn sem uhi.
12Sisi tunajivunia kitu kimoja: dhamiri yetu inatuhakikishia kwamba tumeishi ulimwenguni hapa, na hasa kati yenu, kwa unyenyekevu na unyofu tuliojaliwa na Mungu; hatukuongozwa na hekima ya kibinadamu bali neema ya Mungu.
13Na sim theih uleh na theihtheih ding uh lou ngal thu dang himhim na kiang uah ka gelh kei uhi; a tawp phain ka thu uh na theihsiam uh ka lamen lai uhi,
13Tunawaandikia ninyi mambo mnayoweza kuyasoma na kuyaelewa. Ninatumaini kwamba mtaelewa vizuri kabisa,
14Theihsiamna tan na neihtak bangun, i Toupa Jesu ni chiangin, noute kon suan theih bangun nouleng koute nonsuang thei sam ding uhi.
14maana mpaka sasa mmenielewa kiasi fulani tu. Tunajua kwamba katika ile Siku ya Bwana Yesu mtaweza kutuonea sisi fahari kama nasi tunavyowaonea ninyi fahari.
15Huan, huai gintakna neiin, na kiang uah hong masa leng ka chi a, kipahna thuahnih na neih theihna ding un,
15Nikiwa na matumaini hayo, nilikusudia kuja kwenu hapo awali ili mpate baraka maradufu.
16Noumau tawn kawmin Masidonia gamah pai jel leng la, Masidonia gama kipana na kiang uah hongkihei nawn leng la, huan Judia gama ka hohna ding ah noumau khakin om leng, leng ka chi a.
16Nilikusudia kupita kwenu nikiwa safarini kwenda Makedonia, na wakati wa kurudi pia, ili nipate msaada wenu kwa safari yangu kwenda Yudea.
17Huchiin, huchibang ka ngaihtuah laiin ka lungsim kip louhdan lang sak hia ka hih? Ahihkeileh, Ahi, chih leh, Ahi kei, chi tuaktuak dingin, thil hih ka tup nak pen khovelmi bangin hia ka tup?
17Je, mnadhani nilipopanga hivyo nimekuwa kama mtu asiye na msimamo? Je, mnadhani kwamba ninafanya uamuzi wangu kwa fikira za kibinadamu na kwamba nasema "Ndiyo" na "Siyo" papo hapo?
18Ahihhangin, Pathian a muanhuai bangin, noumau lama ka thu uh tuh, Ahi, chih leh, Ahi kei, chih ahi kei hi.
18Mungu ni ukweli mtupu; basi, kile tulichowaambia ninyi si jambo la "Ndiyo" na "Siyo".
19Abang abang hi hen aw, Pathian Tapa Jesu Kris, a thu kei leh Silvana leh Timothiin na lak ua ka gen un, Ahi, leh Ahi kei, a chi tuaktuak kei ngala, amahah jaw thil teng teng Ahi, chih ahi gige hi.
19Maana Kristo Yesu, Mwana wa Mungu, ambaye mimi, Silwano na Timotheo, tulimhubiri kwenu, hakuwa mtu wa "Ndiyo" na "Siyo"; bali yeye daima ni "Ndiyo" ya Mungu.
20Pathian thu chiamte tengtengin amahah, Ahi, chih a mu vek hi. Huaijiakin ahi Pathian thupina dinga amah jiaka, Amen, ka chih uh.
20Maana ndani yake ahadi zote za Mungu zimekuwa "Ndiyo". Kwa sababu hiyo, "Amina" yetu husemwa kwa njia ya Kristo kwa ajili ya kumtukuza Mungu.
21Huan, Krisa noumau toh honhihkippa leh kou honsawlpa Pathian ahi;
21Mungu mwenyewe ndiye mwenye kutuimarisha sisi na ninyi pia katika Kristo, na ndiye anayetuweka wakfu;
22Amah jaw honchiamtehpa leh, i lungtanga khamna Kha honpepa leng ahi.
22ndiye aliyetutia mhuri wa kuwa mali yake yeye na kutujalia Roho mioyoni mwetu kama dhamana ya mambo yote ambayo ametuwekea.
23Himahleh, ka kha tunga theihpih dingin Pathian ka sam ahi, noumau honhawi dingin ahi Korinth khuaa ka hongtak louh jaw.Na ginna uh honthuneih khum hilou-in, na kipahna ding ua nou tawh sem khawm ka hi jaw uhi; ginnaa ding kip na hi ngal ua.
23Mungu ndiye shahidi wangu--yeye anajua moyo wangu! Mimi sikuja tena Korintho, kwa sababu tu ya kuwahurumieni.
24Na ginna uh honthuneih khum hilou-in, na kipahna ding ua nou tawh sem khawm ka hi jaw uhi; ginnaa ding kip na hi ngal ua.
24Hatutaki kutumia mabavu juu ya imani yenu; ninyi mko imara katika imani yenu. Wajibu wetu ni kufanya kazi pamoja kwa ajili ya furaha yenu.