Paite

Swahili: New Testament

1 John

2

1Ka naute aw thil na hihkhelh louhna dingun hiai thute na kiang uah ka gelh ahi. Huan, kuapeuhin thil a hihkhelh aleh, Pa kianga hon genpihpa, Jesu Kris Mi diktat i nei hi;
1Watoto wangu, ninawaandikieni mambo haya, kusudi msitende dhambi. Lakini, ikijatokea mtu akatenda dhambi, tunaye mmoja ambaye hutuombea kwa Baba, ndiye Yesu Kristo aliye mwadilifu kabisa.
2A mah tuh i khelhnate thupha tawina ahi; eimah khelhna kia hi louin, khovel tengteng khelhna thupha tawina leng ahi.
2Kristo ndiye sadaka iondoayo dhambi zetu; wala si dhambi zetu sisi tu, bali pia dhambi za ulimwengu wote.
3Huan, a thupiakte jui i hih leh, huaiah amah i thei chih i kithei hi.
3Tukizitii amri za Mungu, basi, tunaweza kuwa na hakika kwamba tunamjua.
4A thupiakte jui loua, Amah ka thei, chimi tuh amah mi juauthei ahi, thutak amah ah a om kei hi.
4Mtu akisema kwamba anamjua, lakini hazitii amri zake, basi mtu huyo ni mwongo, na ukweli haumo ndani yake.
5Kuapeuh a thu jui peuhmah amah ah Pathian a itna a kim petmahhi. Amah ah i om chih hiaiah i kithei ahi.
5Lakini mtu yeyote anayeshika neno la Mungu, huyo ndiye aliye na upendo kamili wa Mungu ndani yake. Hivi ndivyo tunavyoweza kuwa na hakika kwamba tunaungana naye:
6Amah ah ka om gige, chi mi tuh amah om bangin a om sam ding ahi.
6mtu yeyote anayesema kwamba ameungana na Mungu, anapaswa kuishi kama alivyoishi Yesu Kristo.
7Deihtakte aw, thupiak thak jaw na kiang uah ka hon gelh keia: thupiak lui, a tunga kipana na neih uh ka hongelh jaw ahi. Huai thupiak lui tuh na thu theihsa pen uh ahi.
7Wapenzi wangu, amri hii ninayowaandikieni si amri mpya; ni amri ileile ya zamani mliyokuwa nayo tangu mwanzo. Amri hiyo ya zamani ni ule ujumbe mliousikia.
8Himahleh, thupiak gelh zong hi sam na veng, huai tuh amah ah leh noumau ah a lang ahi, mial a man lellel jiakin leh, vak taktak tuh tua a hongvak tak jiakin.
8Hata hivyo, amri hii ninayowaandikieni ni amri mpya, na ukweli wake unaonekana ndani ya Kristo na ndani yenu pia. Maana giza linatoweka, na mwanga wa ukweli umekwisha anza kuangaza.
9A unau ho napia, Vakah ka om, chimi tuh tutanin leng mialah a om gige hi.
9Yeyote asemaye kwamba yumo katika mwanga, lakini anamchukia ndugu yake, mtu huyo bado yumo gizani.
10A unau itmi tuh vakah a om gige a. amah ah kipalpaihna dingsan himhim a om kei hi.
10Yeyote ampendaye ndugu yake, yuko katika mwanga, na hamna chochote ndani yake kiwezacho kumkwaza mtu mwingine.
11A unau homi bel mialah a oma, mialah a khosaa, mialin a mit a tawt sak jiakin a paina leng a theikei hi.
11Lakini anayemchukia ndugu yake, yumo gizani; anatembea gizani, na hajui anakokwenda, maana giza limempofusha.
12Naute aw, amah min jiaka na khelhnate uh ngaihdam a hihtak jiakin na kiang uah ka gelh ahi.
12Ninawaandikieni ninyi watoto, kwa kuwa dhambi zenu zimeondolewa kwa jina la Kristo.
13Pate aw, amah, a tunga kipana om gige na theih jiak un na kiang uah ka gelh ahi. Tangvalte aw, Pathian thu noumau ah a om gige a, mi gilou tuh na zohtak jiak un na kiang uah ka gelh ahi. Naute aw, Pa na theih jiak un na kiang uah ka gelh ahi.
13Nawaandikieni ninyi kina baba kwani mnamjua yeye ambaye amekuwako tangu mwanzo, Nawaandikieni ninyi vijana kwa sababu mmemshinda yule Mwovu.
14Pate aw, amah a tunga kipana om gige na theih jiak un na kiang uah ka gelh ahi. Tangvalte aw, na hat ua, Pathian thu noumau ah a om gige a, mi gilou na zohtak jiak un na kiang uah ka gelh ahi.
14Nawaandikieni ninyi watoto, kwa sababu mnamjua Baba. Nawaandikieni ninyi kina baba, kwa kuwa mnamjua yeye ambaye amekuwako tangu mwanzo. Nawaandikieni ninyi vijana kwa sababu mna nguvu; neno la Mungu limo ndani yenu na mmemshinda yule Mwovu.
15Khovel it kei unla, khovela thil omte leng it sam kei un. Mi kuapeuhin khovel a it leh, Pa a itna amah ah a om kei hi.
15Msiupende ulimwengu, wala chochote kilicho cha ulimwengu. Mtu anayeupenda ulimwengu, upendo wa Baba hauwezi kuwamo ndani yake.
16Khovela thil om tengteng, sa utnate, mit utnate, dam sung thupina limte khawng Pa akipan ahi keia, khovel akipan ahi zo ngala,
16Vitu vyote vya ulimwengu-tamaa mbaya za mwili, vitu wanavyoviona watu na kuvitamani, majivuno yasababishwayo na mali-vyote hivyo havitoki kwa Baba, bali vyatoka kwa ulimwengu.
17Khovel, a utnate toh, a mangthang lellel ahi. Pathian deihlam hihmi bel khantawnin a om gige ding hi.
17Ulimwengu pamoja na vitu vyake vyote vyenye kutamanika unapita; lakini mtu atendaye atakalo Mungu, anaishi milele.
18Naute aw, hun nanungpen hita e, Kris doupa a hongpai ding chih na jak bang un, tuin leng Kris doumi tampitak a hongpawtta uhi; huaijiakin hun nanungpen a hita chih i thei uhi.
18Watoto, mwisho u karibu! Mlikwisha sikia kwamba adui wa Kristo anakuja, na sasa adui wengi wa Kristo wamekwisha fika, na hivyo twajua kwamba mwisho u karibu.
19Amau tuh i lak ua kipanin a pawt ua, himahleh eimah mi tak ahi kei uh; eimah mi tak hi le uh i kiang uah a om sam jel ding uh ahi ngala; himahleh a vek un eimah mi tak ahi kei vek uh chih a lat chetna dingin a hon pawtsanta uhi.
19Watu hao wametokea kati yetu lakini hawakuwa kweli wa kwetu na ndiyo maana walituacha; Kama wangalikuwa wa kwetu, wangalibaki nasi. Lakini waliondoka, wakaenda zao, kusudi ionekane wazi kwamba hawakuwa kamwe wa kwetu.
20Mi siangthou kianga kipan thaunilhna na tang ua, bangkim na thei uhi.
20Ninyi, lakini, mlipata kumiminiwa Roho Mtakatifu na Kristo, na hivyo mnaujua ukweli.
21Thutak na theih louh jiak ua ka gelh ahi kei, na theih jiak uh leh, thutaka juau bangmah a pawt ngei louh jiakin ka gelh ahi jaw.
21Basi, nawaandikieni, si kwa kuwa hamuujui ukweli, bali kwa sababu mnaujua; na pia mnajua kwamba uongo wowote haupatikani katika ukweli.
22Jesu tuh Kris ahi chih gingta lou mi vala juauthei kua a oma? Kris doumi tuh Pa leh Tapa gingta lou mi ahi hi.
22Mwongo ni nani? Ni yule anayekana kwamba Yesu ni Masiha. Mtu wa namna hiyo ni adui wa Kristo--anamkana Baba na Mwana.
23Kuapeuh Tapa gingta louin Pa leng a sang tuan kei; Tapa gingtain bel Pa leng a sang hi.
23Maana yeyote anayemkana Mwana, anamkana pia Baba; na yeyote anayemkubali Mwana, anampata Baba pia.
24Nou jaw, a tunga kipana na jak uh, noumau ah om sak gige un. Huai atunga kipana na jak uh noumaua a om gige leh, nou leng Tapa ah Pa ah na om gige ding uh.
24Basi, ujumbe ule mliousikia tangu mwanzo na ukae mioyoni mwenu. Kama ujumbe huo mliousikia tangu mwanzo ukikaa ndani yenu, basi, mtaishi daima katika umoja na Mwana na Baba.
25Huan hiai ahi amah ngeiin thil a honchiam pen- khantawn hinna.
25Na ahadi aliyotuahidia sisi ndiyo hii: uzima wa milele.
26Huai noumau honpimang tumte thu mah na kiang uah ka gelh ahi.
26Nimewaandikieni mambo haya kuhusu wale wanaotaka kuwapotosha ninyi.
27Nou jaw, amah kianga kipan a thaunilhna na tan uh noumau ah a om gige a, kuamah hilh na kiphamoh kei uhi; amah thaunilhnain thil tengteng thu a honhilh jawk jiakin leh, diktat ahi a, juau leng a hih louh jiakin, huaiin nou a honhilh bangin amah ah om gige un.
27Lakini, kwa upande wenu ninyi, Kristo aliwamiminieni Roho wake. Na kama akiendelea kukaa ndani yenu, hamhitaji kufundishwa na mtu yeyote. Maana Roho wake anawafundisheni kila kitu na mafundisho yake ni ya kweli, si ya uongo. Basi shikeni mafundisho ya huyo Roho na kubaki katika muungano na Kristo.
28Huchiin naute aw, amah ah om gige un; huan, amah tuh hongkilak mahleh, a hongpaiin a mahah zum louin hangtakin i om thei ding hi.Amah tuh mi diktat ahi chih na theih uleh, mi kuapeuh diktatna hih tuh amaha suak ahi chih na thei uhi.
28Naam, watoto, kaeni ndani yake kusudi wakati atakapotokea tuwe hodari bila kuwa na sababu ya kujificha kwa aibu Siku ya kuja kwake.
29Amah tuh mi diktat ahi chih na theih uleh, mi kuapeuh diktatna hih tuh amaha suak ahi chih na thei uhi.
29Mnajua kwamba Kristo ni mwadilifu kabisa; basi, mnapaswa kujua pia kwamba kila mtu atendaye mambo adili ni mtoto wa Mungu.