1Ngai un, Pa honitna thupi hina tele! Pathian tate chiha i om; tuachibang i hi him uhi; Hiai khawng jiakin khovelin a honthei kei hi, amah a theih louh jiakin.
1Oneni basi, jinsi Baba alivyotupenda mno hata tunaitwa watoto wa Mungu! Na kweli, ndivyo tulivyo. Ndiyo maana ulimwengu haututambui sisi, kwani haumjui Mungu.
2Deihtakte aw, tunah Pathian tate i hi ua, bangchin ahia i om ding chih bel a kithei tadih keia; amah a hongkilak chiangin, amah bangin i om ding chih bel i thei hi, amah tuh a om ngeingei bang takin i mu ding ahi ngala.
2Wapenzi wangu, sisi ni watoto wa Mungu sasa, lakini bado haijaonekana wazi jinsi tutakavyokuwa. Lakini tunajua kwamba wakati Kristo atakapotokea, tutafanana naye kwani tutamwona vile alivyo.
3Kuapeuh amah tunga lametna nei peuhmah, amah a siangthou bangin a kihihsiangthou nak hi.
3Basi, kila mtu aliye na tumaini hili katika Kristo, hujiweka safi kama vile Kristo alivyo safi kabisa.
4Kuapeuh thil hihkhial tuh dan ah leng a talek hi; khelhna tuh dana tatlekna ahi ngala.
4Kila mtu atendaye dhambi anavunja sheria ya Mungu, maana dhambi ni uvunjaji wa sheria.
5Amah tuh khelhnate lamang dingin a honglangta chih na thei uhi; amah ah khelhna bangmah a om ngal keia.
5Mnajua kwamba Kristo alikuja kuziondoa dhambi zetu, na kwamba kwake hamna dhambi yoyote.
6Kuapeuh amaha om gigein thil a hihkhial kei hi; kuapeuh thilhihkhialin amah a mu kei, thil leng a theikei hi.
6Basi, kila aishiye katika muungano na Kristo hatendi dhambi; lakini kila mtu atendaye dhambi hakupata kamwe kumwona, wala kumjua Kristo.
7Tate aw, kuamah khemin om kei un. Diktatna hihmi tuh a diktat hi, amah a diktat mahbangin.
7Basi, watoto wangu, msikubali kupotoshwa na mtu yeyote. Mtu atendaye matendo maadilifu ni mwadilifu kama vile Kristo alivyo mwadilifu kabisa.
8Thil hihkhialmi tuh diabola pawt ahi; diabolin atunga kipan thil a hihkhial ngala. Pathian Tapa honglat napen tuh diabol nasepte a hihmanthat theihna dingin ahi.
8Lakini atendaye dhambi ni wa Ibilisi, maana Ibilisi ametenda dhambi tangu mwanzo. Lakini Mwana wa Mungu alikuja duniani kuiharibu kazi ya Ibilisi.
9Kuapeuh Pathiana suakin, Pathian chi amaha a om gige jiakin thil a hihkhial kei, Pathian suak a hih jiakin, thil a hihkhial theikei hi.
9Kila aliye mtoto wa Mungu hatendi dhambi, maana anayo hali ya kimungu ndani yake; hawezi kutenda dhambi kwa sababu yeye ni mtoto wa Mungu.
10Hiaiah Pathian tate leh diabol tate a theihtheih hi; kuapeuh diktatna hih lou tuh Pathiana suak ahi kei, a unau it lou leng Pathiana suak ahi sam kei hi.
10Lakini yeyote asiyetenda mambo maadilifu, au asiyempenda ndugu yake, huyo si mtoto wa Mungu. Hiyo ndiyo tofauti iliyoko kati ya watoto wa Mungu na watoto wa Ibilisi.
11Hiai tuh a tunga kipana thukhah na jak uh ahi ngala, i kiit tuah chiat ding uh ahi chih;
11Na, ujumbe mliousikia tangu mwanzo ndio huu: Tunapaswa kupendana!
12Kaina, gilou pa akipanpa amah unau thatpa banga om lou in. Bang jiakin ahia a thah tak? Amah thil hihte a gilou a, a unau thil hihte a dik jiakin.
12Tusiwe kama Kaini ambaye, kwa kuongozwa na yule Mwovu, alimuua ndugu yake. Na, kwa nini alimuua? Kwa sababu matendo yake yalikuwa maovu, lakini yale ya ndugu yake yalikuwa mema!
13Naute aw, khovelin nou a nonhuat leh lamdang sa kei un.
13Basi, ndugu zangu, msishangae kama ulimwengu unawachukia ninyi.
14Unaute i it jiakin sihna akipanin i pawt ua, hinna ah i lutta chih i thei uh. Kuapeuh itna neilou tuh sihna ah a om gige lai hi.
14Sisi tunajua kwamba tumekwisha pita kutoka katika kifo na kuingia katika uzima kwa sababu tunawapenda ndugu zetu. Mtu asiye na upendo hubaki katika kifo.
15Kuapeuh a uanu hua tuh tualthat ahi; tualthatmi kuamah khantawn hinna pai himhim a om kei uh chih na thei ngal ua.
15Kila anayemchukia ndugu yake ni muuaji; nanyi mnajua kwamba muuaji yeyote yule hana uzima wa milele ndani yake.
16Hiaiah itna bang ahia chih i thei hi, aman tuh ei adingin a hinna a piak tak jiakin; en leng unaute adingin i hinna i piak sam ding ahi.
16Sisi tumepata kujua upendo ni nini, kwani Kristo aliyatoa maisha yake kwa ajili yetu. Nasi vilevile tunapaswa kuyatoa maisha yetu kwa ajili ya ndugu zetu.
17Himahleh, kuapeuhin khovel sum neiin, a unau tasamin mu taleh, amah tuh lainat tuan kei leh, Pathian itna amaha bangchin a om ding?
17Basi, mtu akiwa na mali za hapa duniani, halafu akamwona ndugu yake ana shida, lakini akawa na moyo mgumu bila kumwonea huruma, anawezaje kusema kwamba anampenda Mungu?
18Naute aw, thu kiain it kei ni, lei kiain leng it sam kei ni, thilhih leh chihtak takin hi jaw hen.
18Watoto wangu, upendo wetu usiwe maneno matupu, bali uwe upendo wa kweli na wa vitendo.
19Hiaiin thutaka suak i hi chih i kithei dinga, amah ma ah i lungtangte i muangsak thak ding hi.
19Hivyo ndivyo tuwezavyo kuwa na hakika kwamba sisi ni watu wa ukweli; na hatutakuwa na wasiwasi mbele ya Mungu.
20i lungtangin siamlouh a hontangsak peuhmah chiangin; banghang hiam i chih leh Pathian jaw i lungtangte sangin a lian jawa thil bangkim a thei hi.
20Kwa maana, hata kama dhamiri yetu yatuhukumu, twajua kwamba Mungu ni mkuu zaidi kuliko dhamiri, na kwamba yeye ajua kila kitu.
21Deihtakte aw, i lungtangin siamlouh a hontansak kei leh, Pathian lamah i hang ahi:
21Wapenzi wangu, kama dhamiri yetu haina lawama juu yetu, basi, twaweza kuwa na uthabiti mbele ya Mungu,
22A thupiakte i juih ua, a mit muhna thil kipahhuai i hih jel jiakin i nget peuhmah amah akipanin i mu jel ahi.
22na twaweza kupokea kwake chochote tunachoomba, maana tunazitii amri zake na kufanya yale yanayompendeza.
23Huan, a thupiak tuh hiai ahi, a Tapa Jesu Kris min ging lehang, aman thu a honpiak bangin kiit tuah chiat lai lehang.A thupiakte juimi tuh amahah a om gige a, amah mah leng amah ah a om gige hi. Huan, hiaiah amah tuh eimau ah a om gige chih i thei uh, Kha a honpiak ah.
23Na, amri yake ndiyo hii: Kumwamini Mwanae Kristo, na kupendana kama alivyotuamuru.
24A thupiakte juimi tuh amahah a om gige a, amah mah leng amah ah a om gige hi. Huan, hiaiah amah tuh eimau ah a om gige chih i thei uh, Kha a honpiak ah.
24Anayezitii amri za Mungu anaishi katika muungano na Mungu na Mungu anaishi katika muungano naye. Kwa njia ya Roho ambaye Mungu ametujalia, sisi twajua kwamba Mungu anaishi katika muungano nasi.