1Deihtakte aw, kha napeuh gingta kei un, a hihhangin khate tuh Pathian akipan ahi uhiam hi lou chian un; jawlnei taklou tampi khovela a napawt tak jiak un.
1Wapenzi wangu, msimsadiki kila mtu asemaye kwamba ana Roho wa Mungu, bali chunguzeni kwa makini kama huyo mtu anaongozwa na Roho wa Mungu au la, Maana manabii wengi wa uongo wamezuka ulimwenguni.
2Hiaiah Pathian Kha na thei ding uh, bang kha peuh Jesu Kris sain ahongpai chih gum tuh, Pathian akipan ahi;
2Hii ndiyo njia ya kujua kama mtu anaongozwa na Roho wa Mungu: Kila anayekiri kwamba Kristo alikuja, akawa binadamu, mtu huyo anaye Roho wa Mungu.
3Bang kha peuh Jesu gum lou tuh, Pathian akipan ahi kei; huai tuh Kris doumi kha, hongpai ding na jak uh ahi; tuin khovel ah a om khinpah hi.
3Lakini mtu yeyote asiyemkiri Kristo hivyo, hana huyo Roho atokaye kwa Mungu. Mtu huyo ana roho ambaye ni wa Adui wa Kristo; nanyi mlikwisha sikia kwamba anakuja, na sasa tayari amekwisha wasili ulimwenguni!
4Naute aw, Pathian akipan na hi ua, tuate na zouta uhi; noumaua om tuh khovela om sanga a thupijawk jiakin.
4Lakini ninyi, watoto, ni wake Mungu na mmekwisha washinda hao manabii wa uongo; maana Roho aliye ndani yenu ana nguvu zaidi kuliko roho aliye ndani ya hao walio wa ulimwengu.
5Amau tuh khovela ahi ua; huaijiakin khovela bangin a pau ua, khovelin a thu uh a ngaikhe naknak.
5Wao husema mambo ya ulimwengu, nao ulimwengu huwasikiliza kwani wao ni wa ulimwengu.
6Eite Pathian akipan i hi ua, Pathian theimiten i thu angaikhe jel uhi; Pathian akipanlou miten i thu a ngaikhe kei naknak uh. Hiai khawnga Thutak Kha leh thutaklou kha i thei uhi.
6Lakini sisi ni wake Mungu. Mtu anayemjua Mungu hutusikiliza, mtu asiye wa Mungu hatusikilizi. Basi, kwa njia hiyo tunaweza kutambua tofauti kati ya Roho wa ukweli na roho wa uongo.
7Deihtakte aw, i kiit tuah chiat ding uh; itna Pathiana suak ahi ngala, mi chih itna nei peuhmah tuh Pathianaa suak ahi khin uhi, Pathian a thei lai uhi.
7Wapenzi wangu, tupendane, maana upendo hutoka kwa Mungu. Kila mtu aliye na upendo ni mtoto wa Mungu, na anamjua Mungu.
8itna neilouin Pathian a theikei; Pathian lah itna ahi ngala.
8Mtu asiye na upendo hamjui Mungu, maana Mungu ni upendo.
9Hiaiah Pathian itna i tung ua a honglangta, amah vanga i hin theihna dingin Pathianin a Tapa neihsun khovela a honsawlna ah;
9Na Mungu alionyesha upendo wake kwetu kwa kumtuma Mwanae wa pekee ulimwenguni, ili tuwe na uzima kwa njia yake.
10Hiaiah itna a om, eiten Pathian i it uh ka chi ahi kei, amahin ahonit a, i khelhnate thuphatawina hi dingin, a Tapa a honsawl ka chi ahi jaw.
10Hivi ndivyo upendo ulivyo: si kwamba sisi tulikuwa tumempenda Mungu kwanza, bali kwamba yeye alitupenda hata akamtuma Mwanae awe sadaka ya kutuondolea dhambi zetu.
11Deihtakte aw, Pathianin huchi tela a honit leh, eite leng i kiit tuah chiat ding hi.
11Wapenzi wangu, ikiwa Mungu alitupenda hivyo, basi, nasi tunapaswa kupendana.
12Kuamahin chiklai mahin Pathian a mu ngei kei. i kiit tuah chiat uleh Pathian eimau ah a om gige dia, a itna leng eimau ah a kim lai ding hi.
12Hakuna mtu aliyekwisha mwona Mungu kamwe; lakini kama tukipendana Mungu anaishi katika muungano nasi, na upendo wake unakamilika ndani yetu.
13Amah ah i om gige chih leh amah eimau ah a om gige chih hiaiah i thei, a Kha a honpiak tak jiakin.
13Tunajua kwamba tunaishi katika umoja na Mungu, naye Mungu anaishi katika umoja nasi, kwani yeye ametupa Roho wake.
14Huan, Pain Tapa khovel Hondampa hihna neiin a honsawl chih i muta ua, i theisak uhi.
14Sisi tumeona na kuwaambia wengine kwamba Baba alimtuma Mwanae awe Mwokozi wa ulimwengu.
15Kuapeuh Jesu Pathian Tapa ahi, chia gum tuh, amah ah Pathian a om gige a, amah leng Pathian ah a om gige a, amah leng Pathian a om gige hi.
15Kila mtu anayekiri kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu, Mungu anaishi katika muungano na mtu huyo, naye anaishi katika muungano na Mungu.
16Pathianin eimaua dia itna a neih tuh i thei ua, i gingta lai uhi. Pathian itna ahi; itnaa om gige tuh, Pathian ah a om gigea, Pathian leng amahah a om gige ahi.
16Basi, sisi tunajua na tunaamini upendo alio nao Mungu kwetu sisi. Mungu ni upendo, na kila mtu aishiye katika upendo, anaishi katika muungano na Mungu, na Mungu anaishi katika muungano naye.
17Hiaiah i tunguah itna a kimta, vaihawm nia ding lau loua i om theihna ah; amah om banga khovela i om jiakin.
17Upendo umekamilika ndani yetu kusudi tuweze kuwa na ujasiri Siku ile ya Hukumu; kwani maisha yetu hapa duniani ni kama yale ya Kristo.
18itan ah tuh launa himhim a om kei, itan kimin lauhna a delhkhe zo jel hi, lauhna in gawtna hon-ngaihtuahsak; a laumi tuh itna ah a kim tadih kei ahi.
18Palipo na upendo hapana uoga; naam, upendo kamili hufukuza uoga wote. Basi, mtu mwenye uoga hajakamilika bado katika upendo, kwani uoga huhusikana na adhabu.
19Aman a honit masak jiakin, i it uhi.
19Sisi tuna upendo kwa sababu Mungu alitupenda kwanza.
20Min, Pathian ka it, chiin, a unau ho ngal leh, amah tuh juauthei ahi; a unau a muhsa bawn a it ken, Pathian a muh ngei louhpi bangchin a it thei dia?Amah kianga kipanin hiai thupiak i nei uh, Kuapeuhin Pathian a it leh, a unau leng a it sam ding ahi, chih.
20Mtu akisema kwamba anampenda Mungu, hali anamchukia ndugu yake, huyo ni mwongo. Maana mtu asiyempenda ndugu yake ambaye anamwona, hawezi kumpenda Mungu ambaye hamwoni.
21Amah kianga kipanin hiai thupiak i nei uh, Kuapeuhin Pathian a it leh, a unau leng a it sam ding ahi, chih.
21Basi, hii ndiyo amri aliyotupa Kristo: Anayempenda Mungu anapaswa pia kumpenda ndugu yake.