Paite

Swahili: New Testament

1 John

5

1Kuapeuh Jesu tuh Kris ahi chih gingta tuh Pathian suahsak ahi; kuapeuh a suaksakpa itin a suahsak leng a it nak.
1Kila mtu anayeamini kwamba Yesu ni Kristo, huyo ni mtoto wa Mungu; na, anayempenda mzazi humpenda pia mtoto wa huyo mzazi.
2Hiaiah Pathian tate i it chih i thei, Pathian i ita, a thupiakte i zuihin.
2Hivi ndivyo tunavyojua kwamba tunawapenda watoto wa Mungu: Kwa kumpenda Mungu na kuzitii amri zake;
3Pathian i itna tuh hiah ahi, a thupiakte i zuihna; a thupiakte tuh a haksa ngal keia.
3maana kumpenda Mungu ni kuzitii amri zake. Na, amri zake si ngumu,
4Pathian suahsak peuhin khovel a zou jel ngala; hiai ahi khovel tunga vualzohna, i ginna.
4maana kila aliye mtoto wa Mungu anaweza kuushinda ulimwengu. Hivi ndivyo tunavyoushinda ulimwengu: kwa imani yetu.
5Jesu tuh Pathian Tapa ahi chih gingmi kia ngal lou, kuan khovel a zou jela?
5Nani, basi, awezaye kuushinda ulimwengu? Ni yule anayeamini kwamba Yesu ni Mwana wa Mungu.
6Hiai ahi, tui leh sisana hongpaipa, Jesu Kris; tui kiaah hi louin, tuiah leh sisan ah ahi jaw.
6Yesu Kristo ndiye aliyekuja kwa maji ya ubatizo wake na kwa damu ya kifo chake. Hakuja kwa maji tu, bali kwa maji na kwa damu. Naye Roho anashuhudia kwamba ni kweli, kwani Roho ni ukweli.
7Theisakpa tuh Kha ahi, Kha tuh thutak a hihjiakin.
7Basi, wako mashahidi watatu:
8Theihpihtu thum a om uhi, Kha leh tui leh sisan; huai thumte tuh akituhtuak uhi.
8Roho, maji na damu; na ushahidi wa hawa watatu waafikiana.
9Mihing theihsakna bawn i san leh, Pathian theihsakna a thupi zo ngala; Pathian theihsakna tuh hiai ahi, Ka Tapa tanchin ka theisakta, chih ahi ngala.
9Ikiwa twaukubali ushahidi wa binadamu, ushahidi wa Mungu una uzito zaidi; na huu ndio ushahidi alioutoa Mungu mwenyewe juu ya Mwanae.
10Pathian Tapa gingmi amah ah theihna aneia Pathian gingloumin amah tuh juautheiin abawl ahi, Pathianin a Tapa tanchin a theihsak tuh a gintak louh jiakin.
10Anayemwamini mwana wa Mungu anao ushahidi huo ndani yake; lakini asiyemwamini Mungu, anamfanya yeye kuwa mwongo, maana hakuamini ushahidi alioutoa Mungu juu ya Mwanae.
11Theihsakna tuh hiai ahi, Pathianin khantawna hinna a honpia a, huai hinna tuh a Tapa ah a om hi.
11Na, ushahidi wenyewe ndio huu: Mungu alitupatia uzima wa milele, na uzima huo uko kwa Bwana.
12Tua Tapa neiin hinna a nei hi; Pathian Tapa neilouin hinna a neikei hi.
12Yeyote, aliye na Mwana wa Mungu anao uzima huo; asiye na Mwana wa Mungu, hana uzima.
13Khantawnin hinna na nei uh chih na theihna ding un, nou Pathian Tapa min gingtate kiangah hiai thu ka gelh a hi
13Nawaandikieni mpate kujua kwamba mnao uzima wa milele ninyi mnaoamini kwa jina la Mwana wa Mungu.
14Hiaipen amah tunga i hanna ahi, bangpeuhmah amah deihlam banga i nget leh, aman a honngaihkhiak sak nakna ah;
14Na sisi tuko thabiti mbele ya Mungu kwani tuna hakika kwamba tukimwomba chochote kadiri ya mapenzi yake, yeye hutusikiliza.
15Huchiin, bangpeuhmah i nget tuh a honngaih khiaksak chih i thei leh, a kianga i thil nget tak tuh i muta chih i thei hi.
15Yeye hutusikiliza kila tunapomwomba; na kwa vile tunajua kwamba yeye hutusikiliza kila tunapomwomba, twajua pia kwamba atupatia yote tunayomwomba.
16Kuapeuhmahin a unau, sihna khop hi lou khelhna hihin mu leh, a nget sak ding, huchiin Pathianin a ngenmi kiangah sihna khop hi lou khelhna hihte adingin hinna a pe ding hi. Sihna khop khelhna a oma; huchi bang lamah a nget sak ding ka chi ahi kei hi.
16Mtu akimwona ndugu yake ametenda dhambi isiyompeleka kwenye kifo anapaswa kumwombea kwa Mungu, naye Mungu atampatia uzima. Nasema jambo hili kuhusu wale waliotenda dhambi ambazo si za kifo. Lakini ipo dhambi yenye kumpeleka mtu kwenye kifo nami sisemi kwamba mnapaswa kumwomba Mungu kwa ajili ya hiyo.
17Diktatlouhna tengteng tuh khelhna ahi; sihna khop hi lou khelhna leng a om sam hi.
17Kila tendo lisilo adilifu ni dhambi, lakini kuna dhambi isiyompeleka mtu kwenye kifo.
18Kuapeuh Pathian suahsakin thil a hihkhial kei chih i thei hi; Pathian Suahsakpan amah a kem gige a, giloupan khoih leng a khoih theikei him ahi.
18Tunajua kwamba kila aliye mtoto wa Mungu hatendi dhambi, kwa sababu Mwana wa Mungu humlinda salama, na yule Mwovu hawezi kumdhuru.
19Huan, Pathian akipan i hih ua leh, khovel pumpi tuh giloupa thuthuin a om chih i thei hi.
19Tunajua kwamba sisi ni wake Mungu ingawa ulimwengu wote unatawaliwa na yule Mwovu.
20Huan, Pathian Tapa tuh ahongpaia, Mi diktat tuh theithei dingin theihtheihna a honpia chih i thei behlap uhi; huan, eite, a Tapa Jesu Krisa i om in, Mi Diktat ah i om uhi. Amah tuh Pathian dik tak ahi a, khantawn hinna leng a nei hi.Naute aw, milim lakah kihemkhia un. Amen.
20Twajua pia kwamba Mwana wa Mungu amekuja, akatupa elimu ili tumjue Mungu wa kweli; tuishi katika muungano na Mungu wa kweli--katika muungano na Mwanae, Yesu Kristo. Huyu ndiye Mungu wa kweli, na huu ndio uzima wa milele.
21Naute aw, milim lakah kihemkhia un. Amen.
21Watoto wangu, epukaneni na sanamu za miungu.