1Upain numei hoih tel leh a tate amau chihtakpeta ka itte kiangah; kei mah kia ka hi keia, thutak thei peuhmahte leng ahi uhi;
1Mimi Mzee nakuandikia wewe Bimkubwa mteule, pamoja na watoto wako ninaowapenda kweli. Wala si mimi tu ninayewapenda, bali pia wote wanaoujua ule ukweli wanawapenda ninyi,
2Thutak eimaha om gige, khantawn leng i kianga om ding a hih jiakin:
2kwa sababu ukweli unakaa nasi milele.
3Pa Pathian leh, Toupa Jesu Kris, Pa Tapa kianga kipan, hehpihnate, zahngaihnate, lemnate thutak leh itnain i kiang uah a om ding hi.
3Neema na huruma na amani zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Yesu Kristo, Mwana wa Baba, zitakuwa pamoja nasi katika ukweli na upendo.
4Pa kianga kipana thupiak i muh bangin na ta kuate hiam thutaka oma ka muh jiakin ka kipak mahmah hi.
4Nilifurahi sana kuona kwamba baadhi ya watoto wako wanaishi katika ukweli kama Baba alivyotuamuru.
5Numei hoih, na kianga thupiak thak gelh bang hi louin, a tunga kipana i neih bangpen gelh jawin, i kiit tuah theihna dingin nget pet mahin ka hon ngen ahi.
5Basi, Bimkubwa, ninalo ombi moja kwako: tupendane. Ombi hili si amri mpya, bali ni amri ileile tuliyokuwa nayo tangu mwanzo.
6Huan, hiai tuh itna ahi, amah thupiak bang jela i om. Thupiak, atunga kipata na jak uh tuh hiai ahi, huaiah na om ding uhi.
6Upendo maana yake ni kuishi kwa kuzitii amri zake Mungu. Amri niliyoisikia tangu mwanzo ndiyo hii: mnapaswa nyote kuishi katika upendo.
7Khemmi tampi Jesu Kris sain a hongpai chih gum loumite khovelah a hongpawtta ngal ua. Tuabang mite ahi, khemmi leh Kris doumi.
7Wadanganyifu wengi wamezuka duniani, watu ambao hawakiri kwamba Yesu Kristo amekuja kwetu akawa binadamu. Mtu asemaye hivyo ni mdanganyifu na ni Adui wa Kristo.
8i sepkhiaksate na mansak louh ua, a man a kima na muh theih jawkna ding un, kiveng hoh un.
8Basi, jihadharini ninyi wenyewe ili msije mkapoteza kile mlichokishugulikia, bali mpate tuzo lenu kamili.
9Kuapeuh huai thukihilhna thua om gige loua, talekin, Pathian a neikei; huai thukihilhna thua a om gigein bel, huaiin tuh Pa leh Tapa a nei kop ahi.
9Asiyezingatia na kudumu katika mafundisho ya Kristo, bali anayakiuka, hana Mungu. Lakini anayedumu katika mafundisho hayo anaye Baba na Mwana.
10Kuapeuh huai thukihilhna thu honpo loua, na kiang ua a hongpai leh, na in uah tungsak kei unla, paukam hoihin leng kha kei un;
10Basi, kama mtu akija kwenu bila kuwaleteeni mafundisho hayo, msimkaribishe nyumbani kwenu, wala msimsalimu.
11Paukam hoiha khami tuh a thil hihkhelhah a pang sam ngal hi.
11Maana anayemsalimu mtu huyo, anashirikiana naye katika matendo yake maovu.
12Na kiang ua thu tampi gen ding ka neih jiakin lai lah laituia gelh ka ut keia; na kipahna uh a kim thiehna dingin na kiang ua honga, kimatuaha kihou ka lamen jaw hi.Na sanggam nu tel tate un chibai a honbuk uhi. Amen.
12Ninayo mengi ya kuwaambieni lakini sipendi kufanya hivyo kwa karatasi na wino; badala yake, natumaini kuwatembeleeni na kuzungumza nanyi ana kwa ana, ili furaha yetu ikamilike.
13Na sanggam nu tel tate un chibai a honbuk uhi. Amen.
13Watoto wa dada yako mteule wanakusalimu.