1Huchiin, na lak ua saptuam upate tuh, kei, na upat pih uh, Kris thuaknate theipa thupina honglang ding tangsam dingin ka honhasuan ahi;
1wazee! Mimi niliye mzee ninalo ombi moja kwenu wazee wenzangu. Mimi mwenyewe nilishuhudia kwa macho yangu mateso ya Kristo na natumaini kuushiriki ule utukufu utakaofunuliwa. Mimi nawaombeni
2Na lak ua Pathian pawlte om tuh kem un; hih ding a hih jiak hi louin, Pathian thu banga ut kawm jawin, punna thanghuai deih jiak leng hi louin, lungsima deih taktak jawin,
2mlichunge lile kundi la Mungu mlilokabidhiwa, mlitunze si kwa kulazimika, bali kwa hiari kama atakavyo Mungu. Fanyeni kazi hiyo si kwa tamaa ya fedha, bali kwa moyo wenu wote.
3na tante uh tungah kilal sak tuan louin pawlte zuih dinga kibawl jawin, kem un.
3Msiwatawale kwa mabavu hao waliowekwa chini ya ulinzi wenu, bali muwe mfano kwa hilo kundi.
4Huan, Belamchingpapen a honglat chiangin, thupina lallukhu tul theilou na mu ding uhi.
4Na wakati Mchungaji Mkuu atakapotokea, ninyi mtapokea taji ya utukufu isiyofifia.
5Huchibang mahin, nou valnou deuhte aw, upate nuaiah lut un. A hi, na nek ua na kisepsak tuah chiat dingin thunuailutnain kithuam un; Pathianin kisatheite a dou a, kingaineute bel hehpina a pe naknak hi.
5Kadhalika nanyi vijana mnapaswa kujiweka chini ya mamlaka ya wazee. Ninyi nyote mnapaswa kuwa na unyenyekevu mpate kutumikiana; maana Maandiko Matakatifu yasema: "Mungu huwapinga wenye majivuno, lakini huwajalia neema wanyenyekevu."
6Huaijiakin, a hun taka nou a honpahtawi theihna dingin, Pathian khut hat tak nuaiah kihihniam unla,
6Basi, nyenyekeeni chini ya mkono wa enzi wa Mungu, ili awainue wakati ufaao.
7Aman a honlimsak gige jiakin na mangbatna tengteng uh amah tungah nga vek un.
7Mwekeeni matatizo yenu yote, maana yeye anawatunzeni.
8Pilvang unla, limsak un; na melma uh Diabol, humpinelkai humham bangin a nek theih ding zongin a vial vakvak hi;
8Muwe macho; kesheni! Maana adui yenu, Ibilisi, huzungukazunguka kama simba angurumaye akitafuta mawindo.
9na unau uh khovela omte tungah huchibang thuaknate a tung sam chih theiin, ging kip taka omin, amah dou un.
9Muwe imara katika imani na kumpinga, mkijua kwamba ndugu zenu pote duniani wanapatwa na mateso hayohayo.
10Huan, hehpihna tengteng Pathian, a khantawn thupina tang dinga Krisa nou honsampa ngeiin, sawtlou kal na thuak nung un a siam hoihkimin, a hihkipin, a honhihhat ding hi.
10Lakini mkisha teseka muda mfupi, Mungu aliye asili ya neema yote na ambaye anawaiteni muushiriki utukufu wake wa milele katika kuungana na Kristo, yeye mwenyewe atawakamilisheni na kuwapeni uthabiti, nguvu na msingi imara.
11Amah kiangah vaihawmna khantawnin om hen. Amen.
11Kwake uwe uwezo milele! Amina.
12Ka unaupa muanhuai tak ka chih Silvana khutin, noumau hasuan leh, huai tuh Pathian hehpihna taktak ahi chih theiin, tom chikin na kiang uah ka gelh ahi; huai ah tuh ding kip un.
12Nimewaandikieni barua hii fupi kwa msaada wa Silwano, ndugu ambaye namjua na kumwamini. Nataka kuwapeni moyo na kushuhudia kwamba jambo hili ni neema ya Mungu kweli. Kaeni imara katika neema hiyo.
13Babulon khuaa om noumau banga telnun chibai a honbuk ahi; huchibangmahin ka tapa Markain leng chibai a honbuk ahi.itna tawpnaa tawpin chibai kibuk un, Na lak ua Krisa om peuhmahte kiang ah lemna om hen. Amen.
13Jumuiya ya wenzenu walioteuliwa na Mungu hapa Babuloni wanawasalimuni. Vilevile mwanangu Marko anawasalimuni.
14itna tawpnaa tawpin chibai kibuk un, Na lak ua Krisa om peuhmahte kiang ah lemna om hen. Amen.
14Salimianeni kwa ishara ya upendo wa Kikristo. Nawatakieni amani ninyi mlio wake Kristo.