1Huchiin, Kris in a saa a thuak jiakin, nou leng huchi bang lungsimin kivan sam un; saa thuak khinsain gilou a tawpsanta ngala;
1Maadamu Kristo aliteseka kimwili, nanyi pia mnapaswa kujiimarisha kwa nia hiyo yake; maana mtu akisha teseka kimwili hahusiki tena na dhambi.
2huchiin, tunung saa a omlai teng, mihing duhgawlna lam banga omta louin, Pathian deihlamin a omta hi.
2Tangu sasa, basi, maisha yaliowabakia kuishi hapa duniani yanapaswa kuongozwa na matakwa ya Mungu, si na tamaa za kibinadamu.
3Jentelte utlam hihna- huknate, sa utna te, uaiin haina te, zu dawn khamna te, milim biakna kihhuai takte hiha omna tumalama teng hunta hen aw;
3Wakati uliopita mlikuwa na muda mrefu wa kufanya mambo wanayofanya watu wasiomjua Mungu. Mliishi maisha ya anasa, ubinafsi, ulevi, ugomvi, kunywa mno na ya ibada haramu za sanamu.
4huaia amau nuam bawl luatna banga nouten tu-a na bawlsam louh uh lamdang a sa ua, nou a hon-gense nak uhi;
4Sasa, watu hao wasiomjua Mungu wanashangaa wanapoona kwamba hamwandamani nao tena katika hali ya kuishi vibaya, na hivyo wanawatukaneni.
5amau tuh mihing leh misite ngaihtuah dinga mansa kiangah a tanchin uh a gen ding uhi.
5Lakini watapaswa kutoa hoja juu ya jambo hilo mbele yake Mungu aliye tayari kuwahukumu wazima na wafu!
6Hiai jiakin ahi, misite kianga leng tanchin hoih gen a hih, saa om mihingte banga ngaihtuahin om mahle-uh, khaa bel Pathian banga a hin theihna ding un.
6Kwa sababu hiyo, hao waliokufa ambao walikuwa wamehukumiwa katika maisha yao ya kimwili kama anavyohukumiwa kila mmoja, walihubiriwa Habari Njema kusudi katika maisha yao ya kiroho waishi kama aishivyo Mungu.
7Himahleh, thil tengteng tawpna tuh a naita, huaijiakin na thum theihna ding un lungsim diktak puin pilvangun.
7Mwisho wa vitu vyote umekaribia. Kwa hiyo mnapaswa kuwa na utaratibu na nidhamu, ili mweze kusali.
8Bangkimteng sangin phatuamngai takin kiit tuah chiat unla; itnain gilou tampi a khuh jel ngala.
8Zaidi ya yote pendaneni kwa moyo wote, maana upendo hufunika dhambi nyingi.
9Phun louin kizintun tuah unla;
9Muwe na ukarimu ninyi kwa ninyi bila kunung'unika.
10mi chihin thilpiak na muh bang jel un, Pathian hehpihna chiteng kem hoihte bangin, huaitein na kisep sak tuah chiat un.
10Kila mmoja anapaswa kutumia kipaji alichojaliwa na Mungu kwa faida ya wengine, kama vile uwakili mwema wa zawadi mbalimbali za Mungu.
11Mi kuapeuhin thu a gen leh Pathian thute bangin gen hen; mi kuapeuhin na a sep leh Pathianin hatna a piak bang jelin sem hen; huchiin Jesu Kris jiakin Pathian tuh thil bangkimah pahtawiin a om thei ding, thupina leh vaihawmna tuh khantawna amaha ahi ngala. Amen.
11Anayesema kitu, maneno yake na yawe kama maneno ya Mungu; anayetumika anapaswa kutumikia kwa nguvu anayojaliwa na Mungu, ili katika mambo yote, Mungu atukuzwe kwa njia ya Yesu Kristo, ambaye utukufu na nguvu ni vyake milele na milele! Amina.
12Deih takte aw, na lak ua zeetna thupi tak hongom, noumau zeetna dinga na tung ua hong tung, thil lamdang na tung ua tung bangin lamdangsa kei un.
12Wapenzi wangu, msishangae kuhusu majaribio makali mnayopata kana kwamba mnapatwa na kitu kisicho cha kawaida.
13Kris thuaknate bangah thuakpihte na hihdan bang jel un kipak jaw un; huchiin a thupinaa a hongkilak chiangin noumau leng nuamtakin na kipak thei ding uhi.
13Ila furahini kwamba mnashiriki mateso ya Kristo ili mweze kuwa na furaha tele wakati utukufu wake utakapofunuliwa.
14Kris min jiaka tai nahih uleh, na hampha uhi; thupina kha leh Pathian kha tuh na tunguah a om ngala.
14Heri yenu ikiwa mnatukanwa kwa sababu ya jina la Kristo; jambo hilo lamaanisha kwamba Roho mtukufu, yaani Roho wa Mungu, anakaa juu yetu.
15Himahleh, na lak uah kuamahin tualthatmi a hih jiakin hiam, mi dangte thil hih gensakmi a hih jiakin hiam thuak kei hen.
15Asiwepo mtu yeyote miongoni mwenu ambaye anapaswa kuteseka kwa sababu ni muuaji, mwizi, mhalifu au mwovu.
16Ahihhangin, Kristian a hih jiakin thuakta leh zum kei hen; huai min jiakin Pathian pahtawi jaw hen.
16Lakini kama mtu akiteseka kwa sababu ni Mkristo, basi asione aibu, bali amtukuze Mungu, kwa sababu mtu huyo anaitwa kwa jina la Kristo.
17Vaihawmna tuh Pathian inkuanpihte ah pat a hunta ngala; huan, eite ngeia a pat masak leh, Pathian tanchin hoih thumang loute tawpna tuh bangchi phet ahi de aw?
17Wakati wa hukumu umefika, na hukumu hiyo inaanza na watu wake Mungu mwenyewe. Ikiwa hukumu hiyo inaanzia kwetu sisi, basi mwisho wake utakuwa namna gani kwa wale wasioamini Habari Njema ya Mungu?
18Huan, mi diktat nangawn hotdam liailiai a hih in tuh, Pathian limsaklou leh mi gilou tuh koiah a lang ding?Huai jiakin, Pathian hoihsak banga thuakten tuh thil hoih hihin a khate uh Siampa muanhuaitak kiangah kemsak hen.
18Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Ni vigumu kwa watu waadilifu kuokolewa; itakuwaje basi kwa wasiomcha Mungu na wenye dhambi?"
19Huai jiakin, Pathian hoihsak banga thuakten tuh thil hoih hihin a khate uh Siampa muanhuaitak kiangah kemsak hen.
19Kwa hiyo, wale wanaoteseka kufuatana na matakwa ya Mungu, wanapaswa, kwa matendo yao mema, kujiweka chini ya Muumba wao ambaye ni wa kuaminika kabisa.