Paite

Swahili: New Testament

1 Peter

3

1Huchimahbangin, nou jite aw, noumau pasalte thuthu in om un, huchiin alakua khenkhatin Pathian thu um kei mahle uh na tatdan uh zohin a om ding uhi,
1Nanyi wake, jiwekeni chini ya mamlaka ya waume zenu, ili kama wako waume wowote wasioamini neno la Mungu, wapate kuamini kwa kuuona mwenendo wenu. Haitakuwa lazima kwenu kusema neno,
2laudan siam kawma na tatdan siangthou uh en in.
2kwani wataona jinsi mwenendo wenu ulivyo safi na wa kumcha Mungu.
3Na kivatnauh pawlam kivatna samphekte, dangkaeng khi awhte, puansilha kivatte bang hilou in,
3Katika kujipamba kwenu msitegemee mambo ya njenje, kama vile mitindo ya kusuka nywele, kujivalia vitu vya dhahabu na nguo maridadi.
4lungtang a mihing thuguk lungsim thu nuailut leh nunnem puansilh setheilou a kivat hizawleh, huaituh Pathian mitmuh in a manpha mahmah hi.
4Bali, uzuri wenu unapaswa kutokana na hali ya ndani ya utu wa kweli, uzuri usioharibika wa wema na utulivu wa roho, ambao ni wa thamani kubwa mbele ya Mungu.
5Huchibang in tuma lam a numei siangthou Pathian gingtate leng amau pasalte thuthu a om in a kivan ngei jel ua.
5Ndivyo walivyojipamba hapo kale wanawake waadilifu waliomtumainia Mungu; walijiweka chini ya mamlaka ya waume zao.
6Sara in Abraham tuh, toupa chi a athua a om bang in. Thilhoih hih a, khem launa himhim laulou a na om uleh Sara tate nahi ding uhi.
6Sara kwa mfano alimtii Abrahamu na kumwita yeye bwana. Ninyi mmekuwa sasa binti zake kama mkitenda mema bila kuogopa tisho lolote.
7Nou pasal te aw, huchibang mah in, numei zaw bel kitambaih zaw ahihjiakun leh, hehpihna hinna tanpihte ahih jiakun, pahtawi kawm in theihna bang jel in najite uh kiang ah om un, na thumnate uh dal a a om louhna ding in.
7Kadhalika nanyi waume, katika kuishi na wake zenu mnapaswa kutambua kwamba wao ni dhaifu na hivyo muwatendee kwa heshima; maana nao pia watapokea pamoja nanyi zawadi ya uzima anayowapeni Mungu. Hapo ndipo sala zenu hazitakataliwa.
8Atawppen in, navekun lungsim munkhat in om unla, ki lainat tuah unla, thunuailut in om un.
8Mwisho nasema hivi: mnapaswa kuwa na moyo mmoja, na fikira moja; mnapaswa kupendana kidugu, kuwa wapole na wanyenyekevu ninyi kwa ninyi.
9Khelhna khelhna in thuk kei unla, salhna salhna in thuk sam kei unla, vualzawl zogeih un. Hiaijiakin sap nahi ngal ua, vualjawlna tang ding in.
9Msiwalipe watu ovu kwa ovu, au tusi kwa tusi; bali watakieni baraka, maana ninyi mliitwa na Mungu mpate kupokea baraka.
10Hinna it ut leh nihoihte mu ut in khelhna lak ah a lei venghoih leh, a muk leng zekhemna thu genlou ding innveng hoih hen.
10Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Anayetaka kufurahia maisha, na kuona siku za fanaka, anapaswa kuacha kusema mabaya na kuacha kusema uongo.
11Gilou nungngat san in thilhoih hih hen; kituahna zong in delh zel hen.
11Na ajiepushe na uovu, atende mema, atafute amani na kuizingatia.
12Toupa mit tuh midiktatte tungah a tu a, abil leng a thumna lam uah a doh zel a, ahihhangin Toupa mel tuh thil hihkhialte tungah a nim nak, chih ahi ngala.
12Maana Bwana huwatazama kwa wema waadilifu na kuzisikiliza sala zao. Lakini huwapa kisogo watu watendao maovu."
13Thil hoih lam a phatuam nangaih uleh, na pawi khoih ding uh kua a om dia?
13Ni nani atakayeweza kuwadhuru ninyi kama mkizingatia kutenda mema?
14Himahleh, diktatna jiaka na thuakta bang na hih uleh, na hampha ding uhi. A kihtakhuaina uh kihta kei un;
14Lakini, hata kama itawapasa kuteseka kwa sababu ya kutenda mema, basi, mna heri. Msimwogope mtu yeyote, wala msikubali kutiwa katika wasiwasi.
15ahihhangin na lungtang uah Kris tuh Toupa in bawl un; noumau a om na lamet pen uh hon dong peuhmah dawng ding in mansa gige in om uh, himahleh thunuai lut tak leh laudan siam tak kawm in:
15Lakini mtukuzeni Kristo kama Bwana mioyoni mwenu. Muwe tayari kumjibu yeyote atakayewaulizeni juu ya matumaini yaliyo ndani yenu,
16sia leh pha theihna siang tak nei un, huchiin nou a hon gensiatna lam uah, Kris a na omdan hoihtak uh gen thanghuaite tuh hih jahlakin a om thei ding uhi.
16lakini fanyeni hivyo kwa upole na heshima. Muwe na dhamiri njema, kusudi mnapotukanwa, wale wanaosema ubaya juu ya mwenendo wenu mwema kama Wakristo, waone aibu.
17Thil gilou hih ziaka thuak sangin Pathian hoihsak lam ahih leh thil hoih hih jiak a thuak tuh a hoihjaw ngala.
17Maana ni afadhali kuteseka kwa sababu ya kutenda mema, kama Mungu akipenda, kuliko kuteseka kwa sababu ya kutenda uovu.
18Pathian kiang a hon pi theihna ding in Kris in khehnate jiakin khatvei a thuakta ngala, midiktat-in mi diktatloute sik in a thuak a; sa ah hihsih in a om a, kha ah tuh hih hin in a omta hi;
18Kwa maana Kristo mwenyewe alikufa kwa ajili ya dhambi zenu; alikufa mara moja tu na ikatosha, mtu mwema kwa ajili ya waovu, ili awapeleke ninyi kwa Mungu. Aliuawa kimwili lakini akafanywa hai kiroho;
19huain suangkulh a kha omte kiang a thu ava tangkou pih a,
19na kwa maisha yake ya kiroho alikwenda kuwahubiria wale roho waliokuwa kifungoni.
20huaimiten nidanglai a Noa damlai a long bawl sungteng a, Pathian thuakzawhna in a ngak lai in thu amang kei ua; huai long ah mi tawmchik, huaituh mi giat tui apan humbit in a om uhi.
20Hao ndio wale waliokataa kumtii Mungu alipowangoja kwa saburi wakati Noa alipokuwa anatayarisha ile safina. Ndani ya chombo hicho ni watu wachache tu, yaani watu wanane, waliookolewa majini,
21Huan, huai etsakna baptisma in, sapum nitna siansakna dan hilou in, Pathian mai a sianlehpha- theihna siansakna dan hizaw in, Jesu Kris thohnawnna ziakin tu in nou hon hukheta hi.Amahtuh van a pai in Pathian taklam ah a om a; angelte, thuneihnate, thil hihtheihnate amah thuthu-a omsak in a omta hi.
21ambayo yalikuwa mfano wa ubatizo unaowaokoa ninyi sasa. Ubatizo si shauri la kuondoa uchafu mwilini, bali ni ahadi kwa Mungu inayofanyika katika dhamiri njema. Huwaokoeni kwa njia ya ufufuo wa Yesu Kristo,
22Amahtuh van a pai in Pathian taklam ah a om a; angelte, thuneihnate, thil hihtheihnate amah thuthu-a omsak in a omta hi.
22ambaye alikwenda mbinguni na sasa amekaa upande wa kulia wa Mungu, anatawala juu ya malaika, wakuu na wenye enzi.