Paite

Swahili: New Testament

1 Peter

2

1Huchiin gitlouhna tengteng, zekhemna tengteng, lepchiahna tengteng, hajatna tengteng, gensiatna teng teng tawpsan unla.
1Basi, acheni uovu wote; uongo, unafiki, wivu na maneno ya kashfa visiweko tena.
2naungek suak thakte bangin khalam nawitui bangmah toh hel louh lunggulh un, huaia hotdamna muh donga na khan theihna ding un.
2Kama vile watoto wachanga wanavyotamani maziwa, nanyi pia mnapaswa kuwa na hamu ya maziwa halisi ya kiroho, ili kwa nguvu yake mpate kukua na kukombolewa.
3Toupa tuh mi hehpihthei tak ahi chih na chiam khin thamta uhi.
3Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Mmegundua kwamba Bwana ni mwema."
4Amah tuh suang hing, mihingte deihlouh ngei, Pathian theih a bel tel leh manpha ahi.
4Basi, mwendeeni Bwana! Yeye ndiye jiwe hai lililokataliwa na watu; lakini mbele ya Mungu ni jiwe teule, na la thamani kubwa.
5Amah kiang a hongpaiin, noute leng suang hingte bangin khalam in a leptouhin na om ua, Jesu Kris jiakin Pathian kipahlam kithoihna lan dingin siampu siangthoute hong hi dingin.
5Mwendeeni yeye kama mawe hai mkajengeke na kuwa nyumba ya kiroho, ambamo mtatumikia kama makuhani watakatifu, kutolea dhabihu za kiroho zenye kumpendeza Mungu kwa njia ya Yesu Kristo.
6Huajiakin, laisiangthou ah, Ngai un, Zion ah a ninga suang kiphamohpen, tel manpha tak ka lem hi; amah gingtate tuh a zahlak kei ding uh, chih a tuang ahi.
6Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Tazama! Naweka huko sioni jiwe kuu la msingi, jiwe la thamani kubwa nililoliteua. Mtu atakayemwamini yeye aliye hilo jiwe, hataaibishwa."
7Huchiin, nou a gingtate adingin manpha pi ahi, agingta loute adingin bel, In lamte suang deih louhpen, huai mahmah a ninga suang phatuampen a honghita.
7Kwenu ninyi mnaoamini, jiwe hilo ni la thamani kubwa; lakini kwa wale wasioamini, "Jiwe walilokataa waashi, sasa limekuwa jiwe kuu la msingi."
8Pukna suang leh dalna suangpi toh, Thu tuh a jui kei ua, a kisui puk naknak ngal ua; huchibanga hih dinga seh ahi namah ua.
8Tena Maandiko yasema: "Jiwe hilo ni jiwe la kujikwaa, mwamba wa kuwaangusha watu." Watu hujikwaa kwa sababu hawauamini ule ujumbe; na ndivyo walivyopangiwa tangu mwanzo.
9Himahleh, mial akipan pawta, vak lamdang taka lut dinga nou honsampa hoihna tuh na muhsak theihna ding un, nou jaw chi tel, kumpi siampute, nam siangthou, Pathian mite ngei na hi ngal ua;
9Lakini ninyi ni ukoo mteule, makuhani wa Mfalme, taifa takatifu; watu wake Mungu mwenyewe, mlioteuliwa kutangaza matendo makuu ya Mungu aliyewaiteni kutoka gizani akawaingizeni katika mwanga wake mkuu.
10nidanglaiin nam himhim na hi kei ua; tun jaw Pathian namte na hita uhi; nidang laiin zahngaihna namukei ua, tun jaw zahngaihna na muta uhi.
10Wakati mmoja ninyi hamkuwa watu wa Mungu, lakini sasa ninyi ni watu wake; wakati mmoja hamkupewa huruma ya Mungu, lakini sasa mmeipokea.
11Deih mahmahte aw, mikhual leh khualzin nahih ziakun kha dou naknakpa sa utnate tawpsan dingin nou kahon ngen hi;
11Wapenzi wangu, nawasihi ninyi kama wageni na wakimbizi hapa duniani! Achaneni na tamaa za mwili ambazo hupingana na roho.
12Jentelte lak a na tatdan uh kilawmtak hihen, huchiin thil hihkhialte bang a, a hon gensiatna lam uah na thil hihhoih uh amuhte uh jiakin veha a om chiang un Pathian a pahtawi thei ding uhi.
12Mwenendo wenu kati ya watu wasiomjua Mungu unapaswa kuwa mwema kabisa, ili hata watakapowasingizieni kwamba mnatenda mabaya, waweze kutambua matendo yenu mema na hivyo wamtukuze Mungu Siku ya kuja kwake.
13Toupa jiakin mihing dan bawl peuhmah ah lut un; tungnunga om kumpipa kiang ah hiam,
13Basi, jiwekeni chini ya mamlaka yote ya kibinadamu, kwa ajili ya Bwana: utii kwa mfalme aliye mtawala mkuu,
14thil hihkhialte tung a thuk ding leh, thil; hihhoihte phat ding a sawlsawn gam upate kiang ah leng.
14utii kwa wakuu wa mikoa ambao wameteuliwa naye kuwaadhibu wahalifu na kuwasifu watendao mema.
15Hiaituh Pathian deihlam ahi ngala, mihaite haina tuh thil hoih hih in na hih dai ding uhi;
15Maana Mungu anataka mweze kuyakomesha maneno ya kijinga ya watu wasio na akili kwa matendo mema mnayofanya.
16nuamlen na hi ua, himahleh na noplenna uh khelhna khuhna ding a zanglou in, Pathian sikha a omna dingin zangzaw un.
16Ishini kama watu huru; lakini msiutumie uhuru wenu kuuficha ubaya, bali ishini kama watumishi wa Mungu.
17Mi tengteng pahtawi un. Unaute it un; Pathian laudan siam un. Kumpipa tuh pahtawi un.
17Waheshimuni watu wote, wapendeni ndugu zenu waumini, mcheni Mungu, mheshimuni mfalme.
18Sikhate aw, laudan siam in nou hon heute thuthu in om un mihoih leh mi nunnem te lakkia hilou in, migiloute lak ah leng.
18Enyi watumishi wa nyumbani, watiini wakuu wenu kwa heshima yote, wawe wema na wapole au wenye kuchukiza.
19Min Pathian theihna ziakin thuaklouh dingding thuak in lungkhamna a thuak teitei leh; tuabang Pathian pahtak lam ahi ngala.
19Maana kama mnavumilia maumivu ya mateso msiyostahili kwa sababu mwajua kwamba Mungu anataka hivyo, basi Mungu atawafadhili.
20Nou na khelh ua, khut khak na thuak un, kuhkal takin thuak mahleuchin leng phatna bang naloh ua? Ahihangin thil na hihhoih ua, na thuak ua, kuhkal taka nathuak uleh, huai tuh Pathian kipahpih lam ahi.
20Maana, mtapata tuzo gani mkivumilia mapigo mnayostahili kwa sababu ya makosa yenu? Lakini kama mnavumilia mateso hata ingawa mmetenda mema, Mungu atawapeni baraka kwa ajili hiyo.
21Kris mah inleng nou a hon thuaksak jiakin, tuabang hih ding a sap na hi uhi; a khap a na juihna ding un juih ding a hon nutsiat ahi.
21Hayo ndiyo mliyoitiwa; maana Kristo mwenyewe aliteseka kwa ajili yenu, akawaachieni mfano, ili muufuate mwenendo wake.
22Aman tuh thil himhim a hihkhial kei a, a kam ah zekhemna leng a om sam kei;
22Yeye hakutenda dhambi, wala neno la udanganyifu halikusikika mdomoni mwake.
23mi koua a om laiin, akou thuk kei a, a thuak lai in a vau kei hi; diktat taka ngaihtuah pa kiang ah akipe zaw hi.
23Alipotukanwa yeye hakujibu kwa tukano; alipoteseka yeye hakutoa vitisho, bali aliyaweka matumaini yake kwa Mungu, hakimu mwenye haki.
24Khelhna lama sikhin a diktatna lama ihin theihna ding in amahmah in tua sing ah asa in ikhelhnate a pua hi; amah vuakna golhte ah hihdam in na omta uhi.Belam mang bangin na mang ua, tun zaw nou hon chingpa leh heupa kiang ah na kik nawnta uhi.
24Yeye mwenyewe alizibeba dhambi zetu katika mwili wake juu ya msalaba, tupate kufa kuhusu dhambi, na kuishi kwa ajili ya uadilifu. Kwa majeraha yake, ninyi mmeponywa.
25Belam mang bangin na mang ua, tun zaw nou hon chingpa leh heupa kiang ah na kik nawnta uhi.
25Ninyi mlikuwa kama kondoo waliokuwa wamepotea; lakini sasa mmemrudia Mchungaji na Mlinzi wa roho zenu.