1Peter, Jesu Kris sawltak in, Ponto gamte Galatia gamte, Kappadosia gamte, Asia gamte, Bithinia gamte a dalh-te,
1Mimi Petro, mtume wa Yesu Kristo nawaandikia ninyi wateule wa Mungu Baba, ambao mmetawanyika na mnaishi kama wakimbizi huko Ponto, Galatia, Kapadokia, Asia na Bithunia.
2thumang ding leh Jesu Kris sisan theh tang ding a Kha hihtuam, Pa Pathian theihkholh bang a telte kiang ah: Na tunguah hehpihna leh lemna hihkhanin omhen.
2Mungu Baba aliwateua ninyi kufuatana na kusudi lake, na mmefanywa watakatifu na Roho, mpate kumtii Yesu Kristo na kusafishwa kwa damu yake. Nawatakieni neema na amani tele.
3I Toupa Jesu Kris Pathian leh Pa tuh phatin om hen, Aman tuh a hehpihna thupi tak bang jelin, misi lak akipan Jesu Kris thohnawnna jiakin lametna hing mu dingin a honsuang nawna,
3Asifiwe Mungu na Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo! Kwa huruma yake kuu alitufanya tuzaliwe upya kwa kumfufua Yesu kutoka wafu. Ametujalia tumaini lenye uzima,
4goutan sethei lou, nin bang lou, tul theilou, vana noua dinga sit muhna dingin;
4na hivyo tunatazamia kupata baraka zile ambazo Mungu aliwawekea watu wake. Mungu amewawekeeni baraka hizo mbinguni ambako haziwezi kuoza au kuharibika au kufifia.
5hotdamna, hun nanunga lang dinga zohsa mu dingin, ginna jiakin Pathian thilhihtheihnaa ven na hi uhi.
5Hizo zitakuwa zenu ninyi ambao kwa imani mnalindwa salama kwa nguvu ya Mungu kwa ajili ya wokovu ambao uko tayari kufunuliwa mwishoni mwa nyakati.
6Huaiah nakpi takin na kipak uhi, tuin (a kiphatmoh leh) khemna chiteng jiakin lungkham tadih mahle uchin;
6Furahini kuhusu jambo hilo, ijapokuwa sasa, kwa kitambo kidogo, itawabidi kuhuzunika kwa sababu ya majaribio mbalimbali mnayoteseka.
7na ginna uh zeetna, dangkaeng meia zeet nung nangawna mangthang jel sanga manpha jaw, Jesu Kris kilak chiangin phatna leh pahtawina leh thupina ding a honghih theihna ding in.
7Shabaha yake ni kuthibitisha imani yenu. Hata dhahabu yenyewe ambayo huharibika, hujaribiwa kwa moto; hali kadhalika na imani yenu ambayo ni ya thamani zaidi kuliko dhahabu, ni lazima ijaribiwe ipate kuwa thabiti. Hapo mtapokea sifa na utukufu na heshima Siku ile Yesu Kristo atakapofunuliwa.
8Mu ngeilou piin leng amah na it ua, tuin mu kei mahle uchin leng, amah na gingta ua, kipahna gen tuan theih louh leh thupitakin na kipak mahmah jel uhi;
8Ninyi mnampenda ingawaje hamjamwona, na mnamwamini ingawa hamumwoni sasa. Hivyo, mnafurahi kwa furaha tukufu isiyoelezeka,
9na gintak pen uh, na kha uh hotdamna tak, muin.
9kwa sababu mnapokea wokovu wa roho zenu ambao ni lengo la imani yenu.
10Huai hotdamna thu tuh huai jawlneite hehpihna na kiang ua hongtung ding thu genkholten, a Kankan ua, siamnel takin a zong khia ua:
10Manabii walipeleleza kwa makini na kufanya uchunguzi juu ya wokovu huo, wakabashiri juu ya neema hiyo ambayo ninyi mngepewa.
11Kris kha amaua omin Kris thuakna ding leh, huaizoha thupina honjui dingte a theihkholh sak laiin, bang hun ahia, bangchibang hun ahia, a theihsak chih zonkhiak tum in.
11Walijaribu kujua nyakati na mazingira ya tukio hilo, yaani wakati alioudokezea Roho wa Kristo aliyekuwa ndani yao, akibashiri juu ya mateso yatakayompata Kristo na utukufu utakaofuata.
12Huai thuin amau nasep kisep louin, noumau nasep a sem jaw uh chih a kiang uah theihsak ahita, huai thute tuh van akipana sawlkhiak Kha Siangthou panpih in tanchinhoih nou honhilhten tuin a honhilh ua, huai thilte tuh angelten leng vel a ut uhi.
12Mungu aliwafunulia kwamba wakati walipokuwa wanasema juu ya hayo mambo ambayo ninyi mmekwisha sikia sasa kutoka kwa wale wajumbe waliowatangazieni Habari Njema kwa nguvu ya Roho Mtakatifu aliyetumwa kutoka mbinguni, hiyo kazi yao haikuwa kwa faida yao wenyewe, bali kwa ajili yenu. Hayo ndiyo mambo ambayo hata malaika wangependa kuyafahamu.
13Huajiakin na lungsim puan uh tengin pilvang unla, Jesu Kris kilak chiangin hehpihna nou a honpuak ding tak lungke lou in lamen jel un;
13Kwa hiyo, basi, muwe tayari kabisa kwa nia, na kukesha. Wekeni tumaini lenu lote katika baraka ile mtakayopewa wakati Yesu Kristo atakapoonekana!
14ta thumangte bangin, na theihlouh lai ua na nidang lai duhgawlna uh banga omlou in;
14Kama watoto wa Mungu wenye utii, msikubali kamwe kufuata tena tamaa mbaya mlizokuwa nazo wakati mlipokuwa wajinga.
15nou honsampa a siangthou bangin nou leng na tatdan tengteng uah hong siangthou jaw un;
15Bali mnapaswa kuwa watakatifu katika mwenendo wenu wote, kama vile yule aliyewaiteni ni mtakatifu.
16Noute na siangthou ding uh ahi, kei ka siangthou ngala, chih gelh ahi.
16Maandiko yasema: "Muwe watakatifu, kwa kuwa mimi ni mtakatifu."
17Huan, khentuam neiloua michih nasep bang chiata ngaihtuahpa tuh Pa banga na loh uleh, hiailaia na tam laiteng un laudansiam in om un;
17Mnapomtaja Mungu ninyi humwita Baba. Basi, jueni kwamba yeye humhukumu kila mmoja kadiri ya matendo yake, bila ubaguzi. Hivyo tumieni wakati wenu uliowabakia hapa ugenini katika kumcha Mungu.
18na pipute uh piaksawn, na awmdan uh bangmah hilou khawng a kipan, thil sethei, dangka leh dangkaeng a tat na hikei ua,
18Maana mnajua kwamba ninyi mlikombolewa katika mwenendo wenu usiofaa ambao mliupokea kutoka kwa wazee wenu, si kwa vitu vyenye kuharibika: kwa fedha na dhahabu;
19Belamnou gensiatbei leh ninbanglou sisan bang a, Kris sisan pha a tat nahi zaw uh chih nathei ngalua;
19bali mlikombolewa kwa damu tukufu ya Kristo, ambaye alikuwa kama mwana kondoo asiye na dosari wala doa.
20Amahtuh leilung pianma in sehkhawlh in a om ngeitak a, himahleh, hun nanungte ah noumau ziakin kilak in a om hi;
20Yeye alikuwa ameteuliwa na Mungu kabla ya ulimwengu kuumbwa, akafunuliwa siku hizi za mwisho kwa ajili yenu.
21Amahziakin misilak akipan kaithoupa leh a thuipina pepa Pathian gingtate na hi uhi, na ginna uhleh na lametna uh Pathian a aom theihna ding in.
21Kwa njia yake, ninyi mnamwamini Mungu aliyemfufua kutoka wafu na kumpa utukufu; na hivyo imani na matumaini yenu yako kwa Mungu.
22Unaute it taktak dinga thutak juia na kha uh na hihsiangthou tak jiak un lungtanga phatuamngai takin kiit tuah chiat un;
22Maadamu sasa, kwa kuutii ukweli, ninyi mmezitakasa roho zenu na kuwapenda wenzenu bila unafiki, basi, pendaneni kwa moyo wote.
23chi sethei lakah hi louin, Pathian thu hing gige leh om gige ah, chi se theilou laka piang thak na hi zaw ngal ua.
23Maana kwa njia ya neno hai la Mungu, ninyi mmezaliwa upya, si kama watoto wa baba awezaye kufa, bali baba asiyekufa milele.
24Mi tengteng tuh loupa bang ahi ua, a thupina tengteng uleng loupa pak bang ahi. Loupa tuh a vuaia, a paka pulha,Toupa bel khantawnin a om gige ahi, chih ahi ngala. Huaituh ahi, tanchin hoih thu nou a honhilh uh.
24Kama Maandiko yasemavyo: "Kila binadamu ni kama nyasi, na utukufu wake wote ni kama maua ya porini. Nyasi hunyauka na maua huanguka.
25Toupa bel khantawnin a om gige ahi, chih ahi ngala. Huaituh ahi, tanchin hoih thu nou a honhilh uh.
25Lakini neno la Bwana hudumu milele." Neno hilo ni hiyo Habari Njema iliyohubiriwa kwenu.