Paite

Swahili: New Testament

James

5

1Mihaute aw, ngai un! na tung ua gimthuak na hongtung ding ziakin, kap unla, mau tuaituai un.
1Na sasa sikilizeni enyi matajiri! Lieni na kuomboleza kwa sababu ya taabu zitakazowajieni.
2Na goute uh seta hi, na puante uh leikha in nekhinta hi.
2Mali zenu zimeoza, na nguo zenu zimeliwa na nondo.
3Na dangkaeng uleh na dangkate uh tuiek khinta hi; a tuiek tuh na mawhdan uh theihna ding ahi ding a, nasa uh tuh meikat bang in a nezou ding hi.
3Dhahabu yenu na fedha vimeota kutu, na kutu hiyo itakuwa ushahidi dhidi yenu, nayo itakula miili yenu kama vile moto. Ninyi mmejilundikia mali katika siku hizi za mwisho!
4Ngaiun, na lou ua buh at-a kilawhte lawh, amau khema na piaklouh uh a kikou ua, a-atte amangbang kikou aw leng Mipite Toupa bil ah alutta hi.
4Hamkuwalipa mishahara watumishi waliofanya kazi katika mashamba yenu. Sikilizeni malalamiko yao! Kilio cha hao wanaovuna mashamba yenu kimefika masikioni mwa Bwana, Mwenye Nguvu.
5Khawvel ah nuamsatakin na awm ua, na kizangbei mawkmawk ua, na thahni un na lungtang uh na taisak uhi.
5Mmeishi duniani maisha ya kujifurahisha na ya anasa. Mmejinenepesha tayari kwa siku ya kuchinjwa.
6Midiktat siamlouh na tangsak ua, na thatta ua; aman zaw nou a hon doukei hi.
6Mmemhukumu na kumwua mtu asiye na hatia, naye hakuwapigeni.
7Huchiin, unaute aw, Toupa hongpaima teng kuhkaltakin awm un. Ngai un, lou nei miin vuahtui ke masaleh nanung a muh mateng lei gah hoihtak tuh angak zel hi.
7Basi, ndugu zangu, muwe na subira mpaka Bwana atakapokuja. Tazameni mkulima anavyongoja kwa subira mimea yake itoe mavuno mazuri. Yeye hungojea kwa subira mvua za masika na za vuli.
8Nou leng kuhkaltakin awm un; na lungtang uh hihkip un; Toupa hongpaina lah anaita ngala.
8Nanyi pia mnapaswa kuwa na subira; imarisheni mioyo yenu, maana siku ya kuja kwake Bwana inakaribia.
9Unaute aw, siamlouh tang a na awmlouhna ding un, ki phunkhum kei un; ngai un, vaihawmpa tuh kongkhak bulah a ding hi.
9Ndugu zangu, msinung'unikiane ninyi kwa ninyi msije mkahukumiwa na Mungu. Hakimu yu karibu, tayari kuingia.
10Unaute aw, Toupa min a thugen mi jawlneite tuh thuakdan leh kuhkal dan lam ah zuih ding in zang un.
10Ndugu, mkitaka kuona mfano wa subira na uvumilivu katika mateso, fikirini juu ya manabii ambao walinena kwa jina la Bwana.
11Ngaiiun, a thuak mite tuh nuamsa ichi ua; Job kuhkal dan bang naza ua, Toupan a tawp a ahihdan leng na mu lai ua, Toupa tuh hehpihna a adimdan leh zah a ngaih theih dan leng.
11Tunawaita hao wenye heri kwa sababu walivumilia. Mmesikia habari za uvumilivu wa Yobu, na mnajua jinsi Bwana alivyomtendea mwishoni. Maana Bwana amejaa huruma na rehema.
12Himahleh, ka unaute aw, bangteng bangteng hih mah le uchin, kichiam kei un; vanlou in hiam, lei lou in hiam, thil dang himhima lou in hiam kichiam kei un. Hi, nachih uh, Hi, hihenla; Hilou na chih uh hilou hihen; huchilou inzaw siamlouh tang in na awm ding uhi.
12Zaidi ya hayo yote, ndugu zangu, msiape kwa mbingu, wala kwa dunia, wala kwa kitu kingine chochote. Semeni "Ndiyo" kama maana yenu ni ndiyo, na "La" kama maana yenu ni la, na hapo hamtahukumiwa na Mungu.
13Nalak uah thil hoihlou thuak aom uhia? Thum uhen. Kipak a om uhia? Phatna lasa uhen.
13Je, pana mtu yeyote miongoni mwenu aliye na shida? Anapaswa kusali. Je, yuko mwenye furaha? Anapaswa kuimba nyimbo za sifa.
14Nalak uah china a om uhia? Saptuam upa samsak uhenla, aman Toupa min a sathau nilh in atung ah thum hen;
14Je, yuko mgonjwa kati yenu? Anapaswa kuwaita wazee wa kanisa, nao watamwombea na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.
15Huan, ginna a thumna in china tuh a hondam ding a, Toupan amah a kaithou ding; huan, thil ana hihkhelh takleh ngaihdam sak ahi ding hi.
15Wakiomba kwa imani mgonjwa ataponyeshwa; Bwana atampatia nafuu, na dhambi alizotenda zitaondolewa.
16Huchiin, hihdama na om theihna ding un, na khelhnate uh thupha kitawituah unla, ki thumsak tuah zel un.
16Basi, ungamanianeni dhambi zenu, na ombeaneni, ili mpate kuponywa. Sala ya mtu mwema ina nguvu ya kutenda mengi.
17Midiktat thumna in thil thupitak ahih zel hi. Elija leng eimah piandan bang pu mihing mah ahia, amah tuh vuah zuk louhna ding in phatuam ngai takin a thum a, huan, kum thum leh khaguk sungteng leitung ah vuah a zu takei hi.
17Eliya alikuwa binadamu kama sisi. Aliomba kwa moyo mvua isinyeshe, nayo haikunyesha nchini kwa muda wa miaka mitatu na miezi sita.
18Huan, athum nawn a, van in vuah a zusak a lei in a gahte ahon suaksak ta hi.
18Kisha akaomba tena, mvua ikanyesha kutoka angani na nchi ikatoa mazao yake.
19Ka unaute aw, nalak ua mikuapeuh thutak a kipan in namang taleh huan, kuahiam in pikiknawn leh,mikhial a lamhaihna a kipan a kiheisak pan sihna akipan akha ahondam ding a, khelhna tampi a khuhsak lai ding chih kithei heh.
19Ndugu zangu, mmoja wenu akipotoka kuhusu ukweli, na mwingine akamrudisha,
20mikhial a lamhaihna a kipan a kiheisak pan sihna akipan akha ahondam ding a, khelhna tampi a khuhsak lai ding chih kithei heh.
20fahamuni kwamba, huyo anayemrudisha mwenye dhambi kutoka njia yake ya upotovu, ataiokoa roho yake kutoka kifo, na dhambi nyingi zitaondolewa.