Paite

Swahili: New Testament

James

4

1Nalak ua ki douna leh kinaknate koia kipan a hong suak ahi ua? Na pumpi hiangte ua kidouna bawlnak, na duhgawlna ua kipante a pawt ahi kei ua hia?
1Mapigano na magombano yote kati yenu yanatoka wapi? Hutoka katika tamaa zenu mbaya ambazo hupigana daima ndani yenu.
2Na lunggulh ua, na nei tuankei ua; huchi in tual nathat uh. Na eng ua, na ngah thei tuankei ua na kidou ua, gal na bawl uh. Na ngetlouh ziakun na neikei uh.
2Mnatamani vitu na kwa vile hamvipati mko tayari kuua; mwatamani sana kupata vitu, lakini hamvipati, hivyo mnagombana na kupigana. Hampati kile mnachotaka kwa sababu hamkiombi kwa Mungu.
3Na ngen ua, na nget diklouh ziak un na mu kei uh, na nawpsak bawlna ding ua zat na tup ziakun.
3Tena, mnapoomba hampati kwa sababu mnaomba kwa nia mbaya; mnaomba ili mpate kutosheleza tamaa zenu.
4Nou angkawm hatte aw, khovel lawm hihna Pathian melma hihna ahi chih nathei keiua hia? Huchi in kuapeuhmah khovel lawm hih ut tuh Pathian melma in a kibawl nak hi.
4Ninyi ni watu msio na uaminifu kama wazinzi. Je, hamjui kwamba kuwa rafiki wa ulimwengu ni kuwa adui wa Mungu? Yeyote anayetaka kuwa rafiki wa ulimwengu anajifanya adui wa Mungu.
5Ahihkeileh, Kha eimah a teng in haza phial in a hondeih hi, chih Laisiangthou in bangmahlou in gen in na gingta ua hia?
5Msifikiri kwamba Maandiko Matakatifu yamesema maneno ya bure, yanaposema: "Roho ambaye Mungu amemweka ndani yetu ana wivu mkubwa."
6Himahleh hehpihna tamsem a pe nak; huaziakin Laisiangthou in, Pathian in mi kisatheite a dou a, ki ngaineute bel hehpihna a pe nak, a chi ahi.
6Lakini, neema tunayopewa na Mungu ina nguvu zaidi; kama yasemavyo Maandiko: "Mungu huwapinga wenye majivuno lakini huwapa neema wanyenyekevu."
7Huchiin, Pathian thuthu in awm un; ahihhangin diabol dou un, huchiin a hon taimang san ding hi.
7Basi, jiwekeni chini ya Mungu; mpingeni Ibilisi naye atawakimbieni.
8Pathian naih unla, huchiin aman a hon naih ding. Khialte aw, na khut uh silsiang un: lungsim bulbal neiloute aw, na lungtang uh hih siangthou un.
8Mkaribieni Mungu, naye atakuja karibu nanyi. Osheni mikono yenu enyi wakosefu! Safisheni mioyo yenu enyi wanafiki!
9Haksa sa unla, lungkham unla, kap un; nanuih uh lungkham suak henla, na kipah uh nguina suak hen.
9Oneni huzuni, lieni na kuomboleza; kicheko chenu na kiwe kilio; na furaha yenu iwe huzuni kubwa.
10Toupa mitmuh in kingaineu un, huchi in a hon hihlian ding hi.
10Nyenyekeeni mbele ya Bwana, naye atawainueni.
11Unaute aw, ki gensia tuah kei un. Kuapeuh in a unau a gensiat in hiam aw, a unau a vaihawm khum in hiam, dan a gensia in dan a vaihawm khum ahi; himahleh dan na gensiat leh dan zuimi na hi kei a, vaihawmpa na hizaw hi.
11Ndugu, msilaumiane ninyi kwa ninyi. Anayemlaumu ndugu yake na kumhukumu, huyo huilaumu na kuihukumu Sheria. Kama ukiihukumu Sheria, basi, wewe huitii Sheria, bali waihukumu.
12Dan pepa leh vaihawmpa khatlel om, hondam theipa leh hihmang thei pa Nang na vengte vaihawm khumpa kua na hia?
12Mungu peke yake ndiye mwenye kuweka Sheria na kuhukumu. Ni yeye peke yake anayeweza kuokoa na kuangamiza. Basi, wewe ni nani hata umhukumu binadamu mwenzako?
13Tunah ngai un, nou, tuni hiam zingchiang hiam in, huai khawpi ah ihawh ding ua, huailai ah kumkhat iva tam ding ua, I sumsin ding ua, punna imu ding, chite aw.
13Basi, sasa sikilizeni ninyi mnaosema: "Leo au kesho tutakwenda katika mji fulani na kukaa huko mwaka mzima tukifanya biashara na kupata faida."
14Jingchiangin bang hongawm ding ahia chih nathei ngalkei ua. Na hinna uh bang ahia? Mei sawtlou kal a hongdawk a, mangnawn lel jel bangphet na hi ngal ua,
14Ninyi hamjui hata maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Ninyi ni kama ukungu unaotokea kwa muda mfupi tu na kutoweka tena.
15Huchiin, Toupan pha asak leh idam dia, hiai hiam, huai hiam ihih ding, nachih ding uh ahi.
15Mngalipaswa kusema: "Bwana akitujalia tutaishi na tutafanya hiki au kile."
16Himahleh na kiotsaknate uh na suang zaw ngal ua, huchibang suanna tengteng tuh gilou ahi.Huchiin kuapeuh thilhoih ding thei a hihtuanlou tuh amaha dingin khelhna ahi.
16Lakini sasa mwajivuna na kujigamba; majivuno ya namna hiyo ni mabaya.
17Huchiin kuapeuh thilhoih ding thei a hihtuanlou tuh amaha dingin khelhna ahi.
17Basi, mtu ambaye hafanyi lile jambo jema analojua kwamba anapaswa kulifanya, anatenda dhambi.