Paite

Swahili: New Testament

James

3

1Ka unaute aw, na lak uah mi tampi heutuin hongom kei un, heutuin vaihawmna thupi sem I tuak ding chih I thei ngala.
1Ndugu zangu, wengi wenu msiwe walimu. Kama mjuavyo, sisi walimu tutapata hukumu kubwa zaidi kuliko wengine.
2Thil tampi ah I vek un I gilou nak ngal ua. Kuapeuh thugen lam a a gitlouh kei leh, huai mi tuh piching ahi a, a pumpi leng vengthei mi ahi.
2Lakini kama mtu hakosi katika usemi wake, basi, huyo ni mkamilifu, na anaweza kutawala nafsi yake yote.
3Ngai un, I thu a man theina ding un, Sakol kamte khawng ah sikkual I bah leh a pumpi uh ikaihei hi.
3Sisi huwatia farasi lijamu kinywani mwao ili watutii; na kwa njia hiyo twaweza kuwaongoza kokote tunakotaka.
4Ngai un, longte khawng a lian mahmah ua, huih hattak mutleng in a om nak uh, himahleh a kiheksakpan a paisak utna lam peuhah a heksakna neuchik pet mahin a kihek sak hi.
4Meli nazo pia, ingawa ni kubwa sana, na husukumwa na upepo mkali, huweza kugeuzwa kwa usukani mdogo sana, zikaelekea kokote nahodha anakotaka.
5Hichibangmahin lei leng pumpi hiang neuchik phet ahi a, nakpitakin a kiuang sak nak hi. Ngaiun, mei neuchik phet in sing nak katsak natel e!
5Vivyo hivyo, ulimi, ingawa ni kiungo kidogo cha mwili, hujisifia makuu sana. Moto mdogo waweza kuteketeza msitu mkubwa.
6Huan, lei tuh mei ahi. I pumpi hiangte lak a gitlouhna lumpi, pumpi aveka ninsak a, mihing ki suansawn dan pian phungpi kangsak ahi; huai lei mah tuh gawtmun mei in a pehloh ahi.
6Hali kadhalika ulimi ni kama moto. Umejaa maovu chungu nzima, unayo nafasi yake katika miili yetu na hueneza ubaya katika nafsi zetu zote. Huteketeza maisha yetu yote kwa moto utokao Jehanamu kwenyewe.
7Sa chichih, vasa chichih, ganhing chichih tuipi a te khawizual theih ahi ngal ua, mite khawizual in a awm uhi.
7Binadamu anaweza kuwafuga wanyama, na amefaulu kufuga viumbe vyote--wanyama wa mwituni, ndege, nyoka na viumbe vya baharini.
8ahihhangin lei zaw kuamahin a khawizual theikei uhi; sihna gu-a dim gilou awm kinken theilou ahi.
8Lakini hakuna mtu aliyeweza kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kiovu, hakitawaliki, na kimejaa sumu inayoua.
9huai in Toupa leh Pa iphat ua; huaimah in Pathian bang a bawl mihingte ihamasiat zel uhi.
9Kwa ulimi sisi twamshukuru Bwana na Baba yetu. Kwa ulimi huohuo twawalaani watu, watu ambao wameumbwa kwa mfano wa Mungu.
10Kam khat mah a kipan in phatna leh hamsiatna a pawtkhenak hi. Ka unaute aw, huchibang thilte tuachi ding hilou hi.
10Maneno ya laana na ya kusifia hutoka katika kinywa kimoja. Ndugu zangu, mambo haya hayapaswi kuwa hivyo.
11Tuikhuk in nak khat mah a kipan in tui lim leh tui limlou a suaksak zel ahia?
11Je, chemchemi moja yaweza kutoa maji matamu na maji machungu pamoja?
12Ka unaute aw, theipi kung ah Olive thei a gahthei ahia? Ahihkeileh, grape gui ah theipi a gah thei ahia? huchimahbangin chikhuk in tui allou a suaksak thei samkei hi.
12Ndugu zangu, je, mti wa mtini waweza kuzaa zeituni? Au, mzabibu waweza kuzaa tini? Chemchemi ya maji ya chumvi haiwezi kutoa maji matamu.
13Nalak uah kua a pil in, thu theithei a awm a? thunuailut tak leh piltakin a thilhihte awmdan hoih in ensak hen.
13Je, ni nani mwenye hekima na akili miongoni mwenu? Basi, aonyeshe jambo hilo kwa mwenendo wake mzuri na kwa matendo yake mema yanayofanyika kwa unyenyekevu na hekima.
14Himahleh na lungtang uah hazatna thupitak leh kidemna naneih uleh, thudik zuausan kei un.
14Lakini ikiwa mioyo yenu imejaa wivu, chuki na ubinafsi, basi, msijisifu na kusema uongo dhidi ya ukweli.
15Huai pilna tuh tunglam a kipan a hong paisuk ahi kei a, khovel leh pumpi utna dawi a kipan ahi zaw hi.
15Hekima ya namna hiyo haitoki juu mbinguni; hekima hiyo ni ya ulimwengu, na ya kidunia, tena ni ya kishetani.
16Ki hazatna leh ki demna awmna ah buaina leh thil hihkhelhna chiteng a om naknak ngal a.
16Maana popote palipo na wivu na ubinafsi hapo pana fujo na kila aina ya uovu.
17Tunglam a kipan pilnabel, a tungin a siangthou phawt a, huakhitin kituah a ut a, anunnema, a chihnuam a, hehpihna leh gah hoih in a dim a, khentuam a neikei a, a lepchiah kei hi.Diktatna gah tuh kituahna bawlte kituahna tuh ahi.
17Lakini hekima itokayo juu mbinguni, kwanza ni safi; inapenda amani, upole na huwajali watu; imejaa huruma na huzaa matunda ya matendo mema; haina ubaguzi wala unafiki.
18Diktatna gah tuh kituahna bawlte kituahna tuh ahi.
18Uadilifu ni mazao ya mbegu ambazo wapenda amani hupanda katika amani.