Paite

Swahili: New Testament

James

2

1Ka unaute aw, I Toupa Jesu Kris, Thupina Toupa gingta kawmin, mi khentuam neikei un,
1Ndugu zangu, mkiwa mnamwamini Bwana Yesu Kristo, Bwana wa utukufu, msiwabague watu kamwe.
2Na kikhopna in uah mi dangkaeng zungbuh bun, puan hoih tak silh honglut leh, huan, mi genthei puan se tak silh honglut samta leh;
2Tuseme mtu mmoja ambaye amevaa pete ya dhahabu na mavazi nadhifu anaingia katika mkutano wenu, na papo hapo akaingia mtu maskini aliyevaa mavazi machafu.
3huchiin, puan hoih tak silhmi tuh na limsak ua, a kiangah, Nang hiai mun hoih ah tuin, na chi ua, mi genthei kiang abel, Nang jaw huaiah ding inla, a hih keileh, ka khe ngakna nuaiah tuin, na chih uleh,
3Ikiwa mtamstahi zaidi yule aliyevaa mavazi ya kuvutia na kumwambia: "Keti hapa mahali pazuri," na kumwambia yule maskini: "Wewe, simama huko," au "Keti hapa sakafuni miguuni pangu,"
4na lungsim uah khentuam neia ngaihtuahna gilou pu, gense mite na hong hi kei ding ua hia?
4je, huo si ubaguzi kati yenu? Je, na huo uamuzi wenu haujatokana na fikira mbaya?
5Ka unau deihtakte aw, Pathianin hiai khovela gentheite ginnaa hau ding leh, amah itte kianga achiam gam luah ding khawng bangin a chi kei ahia?
5Ndugu zangu wapenzi, sikilizeni! Mungu amechagua watu ambao ni maskini katika ulimwengu huu ili wapate kuwa matajiri katika imani na kupokea Utawala aliowaahidia wale wanaompenda.
6Nou bel migentheite bang na zahlaksak zota ua. Mihaute hilou uhia nou honnuaisiah? Mihaute hilou uhia vaihawmna ina nou honkailut?
6Lakini ninyi mnawadharau watu maskini! Je, matajiri si ndio wanaowakandamizeni na kuwapeleka mahakamani?
7Amaute hilou uhia min manpha na put uh gensete?
7Je, si haohao wanaolitukana hilo jina lenu zuri mlilopewa?
8Himahleh laisiangthouin, Nangmah na kiit bangin na vengte na it ding ahi, chih kumpi dan na zop uleh, na hih hoih uh;
8Kama mnaitimiza ile sheria ya Utawala kama ilivyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: "Mpende binadamu mwenzako kama unavyojipenda wewe mwenyewe", mtakuwa mnafanya vema kabisa.
9Himahleh mi khentuam na neih uleh, na hih khial uhi, danin talekte na hih uh a honthei sak ngala.
9Lakini mkiwabagua watu, basi, mwatenda dhambi, nayo Sheria inawahukumu ninyi kuwa mna hatia.
10Kuapeuhin dan jui kim mahleh, munkhata a hihkhelh ngalin tuh, a vekah siamlouhtangin a om khinta ahi.
10Anayevunja amri mojawapo ya Sheria, atakuwa na hatia ya kuivunja Sheria yote.
11Angkawm ken, chipan, Tualthat ken, a chi laingala. Huchiin angkawm keimah lechin tual na thah ngalin tuh, dana talekpa na hita himhim ahi.
11Maana yuleyule aliyesema: "Usizini," alisema pia "Usiue". Kwa hiyo, hata ikiwa hukuzini lakini umeua, wewe umeivunja Sheria.
12Huaijiakin noplenna dana vaihawm sakdingte bangin thugen unla, thil hih belap un.
12Basi, semeni na kutenda kama watu watakaohukumiwa kwa sheria iletayo uhuru.
13Mi tunga chitna neilou tuh chitna pang louin vaihawm a zou nak ahi.
13Maana, Mungu hatakuwa na huruma atakapomhukumu mtu asiyekuwa na huruma. Lakini huruma hushinda hukumu.
14Ka unauate aw, min ginna ka nei chimahleh, thil hih aneihkei leh, bang a phatuam dia? Huchibang ginna in amah a hondam thei ding hia?
14Ndugu zangu, kuna faida gani mtu kusema ana imani, lakini haonyeshi kwa vitendo? Je, hiyo imani yawezaje kumwokoa?
15Unaupa hiam, unau nu hiam, vuaktanga om in a niteng annek tasam le uh,
15Tuseme kaka au dada hana nguo au chakula.
16Huchiin nalak ua kuahiam in a kiang ah, khamuang takin pai unla, lum tak leh vahtak in awm un chi unla, asa a ding a thil kiphamawh pe tuankei le uchin bang a phatuam dia?
16Yafaa kitu gani ninyi kuwaambia hao: "Nendeni salama mkaote moto na kushiba," bila kuwapatia mahitaji yao ya maisha?
17Huchibangmahin ginna leng thilhih neiloua amah kiaa a om leh a si ahi.
17Vivyo hivyo, imani peke yake bila matendo imekufa.
18Ahi, mi kuahiamin, Nang ginna na neia, ken thilhih ka nei ahi; na ginna tuh na thilhih panglouin hon ensak in huan ken ka thilhihin ka ginna ka hon ensak ding,
18Lakini mtu anaweza kusema: "Wewe unayo imani, mimi ninayo matendo!" Haya! Nionyeshe jinsi mtu anavyoweza kuwa na imani bila matendo, nami nitakuonyesha imani yangu kwa matendo yangu.
19Pathian tuh khat ahi, na gingta maw? Na hih hoih e: dawiten leng a gingta ua, a ling zel uhi, a chi ding.
19Je, wewe unaamini kwamba yuko Mungu mmoja? Sawa! Lakini hata pepo huamini hilo, na hutetemeka kwa hofu.
20Mi thulimlou aw, thilhih panglou a ginna lel bangmah ahi kei chih na thei nuam hia?
20Mpumbavu wee! Je, wataka kuonyeshwa kwamba imani bila matendo imekufa?
21I pu Abrahamin a tapa Isaak maitam tung a alat laiin thilhih ziaka siamtang ahika hia?
21Je, Abrahamu baba yetu alipataje kukubalika mbele yake Mungu? Kwa matendo yake, wakati alipomtoa mwanae Isaka sadaka juu ya madhabahu.
22Ginna in a thilhih toh a sem khawm khawma, huan, thilhih ziakin ginna uh akimta chih I thei hi.
22Waona basi, kwamba imani yake iliandamana na matendo yake; imani yake ilikamilishwa kwa matendo yake.
23Huan, Abrahamin Pathian a gingtaa, huai ginna tuh a diktatna a sim ahi, chih Laisiangthou hihkim in a om a; huchiin mah tuh Pathian lawm chih in a om hi.
23Hivyo yakatimia yale Maandiko Matakatifu yasemayo: "Abrahamu alimwamini Mungu na kwa imani yake akakubaliwa kuwa mtu mwadilifu; na hivyo Abrahamu akaitwa rafiki wa Mungu."
24Ginna ziak maimah hilou in, thilhih ziak zaw in, min siam a tang jel uh chih natheita uhi.
24Mnaona basi, kwamba mtu hukubaliwa kuwa mwadilifu kwa matendo yake na si kwa imani peke yake.
25Huchibangmah in, Rahab kizuaknun leng sawltakte a nakipahpih a lam tuama a pai sak laiin, thilhih ziakin siam a tang ahi kei maw?Kha panglou in sa tuh si ahi, huchibangmahin thilhihte panglou in ginna leng si ahi.
25Ilikuwa vivyo hivyo kuhusu yule malaya Rahabu; yeye alikubaliwa kuwa mwadilifu kwa sababu aliwapokea wale wapelelezi na kuwasaidia waende zao kwa kupitia njia nyingine.
26Kha panglou in sa tuh si ahi, huchibangmahin thilhihte panglou in ginna leng si ahi.
26Basi, kama vile mwili bila roho umekufa, vivyo hivyo imani bila matendo imekufa.