Paite

Swahili: New Testament

James

1

1Jakob, Pathian leh Toupa Jesu Kris sikha in, Nam Sawm leh Nih dalhte chibai a buk hi.
1Mimi Yakobo, mtumishi wa Mungu na wa Bwana Yesu Kristo, nawaandikia ninyi, makabila kumi na mawili, yaliyotawanyika ulimwenguni! Salaam!
2Ka unaute aw, na ginna uh zeetnain kuhkalna a siam chih theiin, khemna chiteng na tuah chiang un, kipahna ngenin sim un,
2Ndugu zangu, muwe na furaha mnapopatwa na majaribu mbalimbali,
3Hiai, na ginna zeetna un kuhkalna a siam chih theiin.
3kwani mwajua kwamba imani yenu ikisha stahimili, itawapatieni uvumilivu.
4Huan, bangmah tasam loua na kim ua, na pum ua na bit theihna ding un, kuhkalna in semkim hen.
4Muwe na hakika kwamba uvumilivu wenu utawategemeza mpaka mwisho, mpate kuwa wakamilifu na watimilifu, bila kupungukiwa chochote.
5Na lak ua kuapeuhin pilna a taksap leh, mi tengteng kianga tai lou leh it loua pepa Pathian tuh ngen hen, huchiin a kiangah piaka hi ding hi.
5Lakini kama mmoja wenu ametindikiwa hekima, basi, anapaswa kumwomba Mungu ambaye atampatia; kwani Mungu huwapa wote kwa wingi na kwa ukarimu.
6Himahleh, ginglel het louin ginna neiin ngen hen, ginglelmi tuh tuipi kihot huih mutleng leh sep banga hi ngala.
6Lakini anapaswa kuomba kwa imani bila mashaka yoyote. Mtu aliye na mashaka ni kama mawimbi ya bahari ambayo husukumwa na kutupwatupwa na upepo.
7Huchibang min tuh Toupa kiangah bangmah muh kiging kei hen.
7Mtu wa namna hiyo, mwenye nia mbili na asiye na msimamo katika mwenendo wake wote,
8Lungsim det neilou tuh a thilhih tengtengah a kip kei hi.
8asidhani ya kwamba atapata chochote kile kutoka kwa Bwana.
9Unau daikilkala om, pahtawia a om jiakin kipak hen;
9Ndugu aliye maskini anapaswa kufurahi wakati Mungu anapomkweza,
10Mihau tuh, hihneua a om jiakin kipak jaw hen; loupa pak banga a man ding jiakin.
10naye tajiri anapaswa kufurahi anaposhushwa na Mungu. Maana tajiri atatoweka kama ua la porini.
11Ni a hongsuaka huihlum tak a hongnunin loupa tuh a vuaisaka; huai pak tuh a kia a; a omdan hoih tuh a mangthang hi; huchibang maha mihau tuh a paina a vuai ding ahi ngala.
11Jua huchomoza na kwa joto lake kali hukausha mimea, nayo maua yake huanguka, na uzuri wake wote huharibika. Vivyo hivyo, tajiri ataangamizwa katika shughuli zake.
12Khemna thuak teitei mi a hampha hi; zeeta om nungin hinna lallukhu, Toupan amah itte kianga achiam a muh ding jiakin.
12Heri mtu anayebaki mwaminifu katika majaribu, kwani akisha stahimili atapewa tuzo la uzima ambalo Mungu aliwaahidia wale wanaompenda.
13Kuamahin, khemna a tuah laiin, Pathian khem ka hi, chi kei hen. Pathian tuh gitlouha khem vual ahi kei, aman leng kua mah a khem ngei kei hi.
13Kama mtu akijaribiwa, asiseme: "Ninajaribiwa na Mungu." Maana Mungu hawezi kujaribiwa na uovu, wala yeye hamjaribu mtu yeyote.
14Mi chih amau utnaa pimang leh hipa a om un, khemna a tuak uh ahi jaw hi.
14Lakini mtu hujaribiwa anapovutwa na kunaswa na tamaa zake mbaya.
15Huan, utnain nou a paia, gilou a hongpichinin sihna a suak sak jel hi.
15Tamaa ikiiva huzaa dhambi; nayo dhambi ikikomaa huzaa kifo.
16Ka nau deihtakte aw, khemin om kei un.
16Ndugu zangu wapenzi, msidanganyike!
17Thilpiak hoih leh thil piak buching tuh tunglama kipana vakte Pa kianga kipana hongsuk ahi a, amahah tuh lamdanna leh kiheina lim himhim a om theikei hi.
17Kila kipaji chema na kila zawadi kamilifu hutoka mbinguni; hutoka kwa Baba, Muumba wa mianga, ambaye habadiliki wala hana alama yoyote ya ugeugeu.
18A thilsiamte makaite I honghih theihna dingin, amah deihlamin thutak lakah a honsuak sak ahi.
18Kwa kupenda kwake mwenyewe alituzaa kwa neno lake la ukweli, ili tuwe namna ya matunda ya kwanza miongoni mwa viumbe vyake.
19Unau deihtakte aw, huaite na thei uhi; himahleh, mi chih ngaihkhiak kilawp henla, thugen kituhpih kei henla, heh hak leh:
19Ndugu zangu wapenzi, kumbukeni jambo hili! Kila mtu na awe mwepesi wa kusikia lakini asiwe mwepesi wa kusema wala mwepesi wa kukasirika.
20Mihing thangpaihna in Pathian diktatna a bawl ngal kei a.
20Mwenye hasira hawezi kutimiza matakwa ya Mungu yaliyo ya haki.
21Huaijiakin, nin tengteng leh gilou dimval koih mang unla, thu tuh, na kha uh hondam thei, thunuai lut takin pom un.
21Kwa hiyo, tupilieni mbali mwenendo mchafu na tabia zote mbovu; jiwekeni chini ya Mungu na kupokea ule ujumbe uliopandwa mioyoni mwenu, ambao waweza kuziokoa nafsi zenu.
22Himahleh, noumau kikhemin ngaikhete kia hi louin thujuite honghi jaw un.
22Msijidanganye wenyewe kwa kusikiliza tu neno lake, bali litekelezeni kwa vitendo.
23Kuapeuh thu ngaikhia hi a, jui hi tuan lou tuh, mi limlanga a pianpih maitang hoih taka kien bang phet tuh ahi.
23Yeyote anayesikiliza hilo neno lakini halitekelezi, huyo ni kama mtu anayejiangalia sura yake mwenyewe katika kioo.
24Hoih takin a kiena, a pai manga, mi bang chi ahia a hih chih a kimangngilh nawn pah ngal hi.
24Hujiangalia mwenyewe, kisha huenda zake, na mara husahau jinsi alivyo.
25Himahleh kuapeuh dan kim, noplenna dan tuh, vela, huchibanga om gigea, ngaikhiaa, mangngilhnawn maimah nak bang hi loua, juia na sem gige hi jaw tuh, huai mi tuh a thilhih ah vual jawlin a om ding hi.
25Lakini mtu anayeangalia kwa makini sheria kamilifu ambayo huwapa watu uhuru, mtu anayeendelea kuizingatia, na si kuisikia tu na kuisahau baadaye, bali anaitekeleza, mtu huyo atabarikiwa katika kila kitu anachofanya.
26Kuapeuh sabiak limsak hia kigingtaa a lei veng hoih loua, amah lungtang kikhemjaw tuh huai mi sabiak dan tuh bangmah ahi kei hi.I Pathian leh Pa mitmuha sabiak siangthou leh gilou pang lou jaw hiai ahi, tagah leh meithaite gimthuak laia veh leh, khovel buahna bang loua kibawl jel.
26Kama mtu akijiona kuwa ni mtu mwenye dini, lakini hawezi kuutawala ulimi wake, dini yake haifai kitu, na anajidanganya mwenyewe.
27I Pathian leh Pa mitmuha sabiak siangthou leh gilou pang lou jaw hiai ahi, tagah leh meithaite gimthuak laia veh leh, khovel buahna bang loua kibawl jel.
27Dini iliyo safi na isiyo na hitilafu mbele ya Mungu Baba ni hii: Kuwasaidia yatima na wajane katika shida zao, na kujilinda mwenyewe usichafuliwe na ulimwengu huu.