Paite

Swahili: New Testament

1 Thessalonians

5

1Ahihhangin, unaute aw, a hun leh a ni lam thute himhim gelh sak na kiphamoh kei uhi.
1Ndugu, hakuna haja ya kuwaandikieni juu ya nyakati na majira yatakapotukia mambo haya.
2Toupa ni tuh jana guta bangin a hongtung ding chih noumau ngeiin chiantakin na thei ngal ua,
2Maana ninyi wenyewe mwajua kwamba Siku ya Bwana itakuja kama mwizi ajavyo usiku.
3Muanna leh bitna, chia a gen lai tak un numei nauvei bangin thakhatin manthatna a tunguah a tung dinga, a suakta kei hial ding uhi.
3Watu watakapokuwa wanasema: "Kila kitu ni shwari na salama" ndipo uharibifu utakapowaangukia ghafla! Mambo hayo yatatukia ghafla kama uchungu wa uzazi unavyomjia mama anayejifungua, wala watu hawataweza kuepukana nayo.
4Himahleh, unaute aw, nou jaw, huai niin guta banga a honbingphawn dingin mialah na om kei uh;
4Lakini ninyi ndugu, hamko gizani, na siku hiyo haipaswi kuwajieni ghafla kama vile mwizi.
5Vak tate leh sun tate na hi vek ngal ua; jana mi i hi kei ua, miala mi leng i hi sam kei hi.
5Ninyi nyote ni watu mnaoishi katika mwanga, watu wa mchana. Sisi si watu wa usiku, wala wa giza.
6Huai jiakin, midang te bangin i ihmu kei ding uh, hak niin, limsak jaw ni.
6Basi, tusilale usingizi kama wengine; tunapaswa kukesha na kuwa na kiasi.
7Ihmute tuh janah ahi a ihmut uh; zukhamte leng janin ahi a kham uh.
7Wanaolala hulala usiku, na walevi hulewa usiku.
8Himahleh, ei bel suna mi i hih jiakin, ginna leh itna lum tawiin, hotdam lametna tuh lukhua zangin limsak jaw ni.
8Lakini sisi ni watu wa mchana na tunapaswa kuwa na kiasi. Tunapaswa kuvaa imani na upendo kama vazi la kujikinga kifuani, na tumaini letu la wokovu kama kofia ya chuma.
9Pathianin thangpaihna thuak ding hi louin, Toupa Jesu Kris jiaka hotdamna mu ding jawin a honchi ahi ngala.
9Maana Mungu hakututeua ili tuangamizwe na ghadhabu yake, bali tuupate wokovu kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo,
10I hahin leng, i ihmutin leng, amah toh i hin khawm theihna ding in amah tuh i sih sikin a si hi.
10ambaye alikufa kwa ajili yetu, ili tuishi pamoja naye, iwe tu hai au tumekufa.
11Huaijiakin, kihasuan chiatin, kitungding tuah chiat un, na hih naknak mahbang un.
11Kwa hiyo farijianeni na kusaidiana ninyi kwa ninyi kama mnavyofanya sasa.
12Himahleh, unaute aw, na lak ua semgim leh, Toupaa na heutu ua omleh, nou honhilhte thei dingin ka honngen ahi;
12Ndugu, tunawaombeni muwastahi wale wanaofanya kazi kati yenu, wale wanaowaongoza na kuwafundisheni kuhusu maisha ya Kikristo.
13A na sep jiak ua itna ngaithupi mahmah dingin. Kituakin om un.
13Wapeni heshima kubwa na kuwapenda kwa sababu ya kazi wanayofanya. Muwe na amani kati yenu.
14Huan, unaute aw, kon hasuan uhi, danbangloua omte hilh unla, lungkete hasuan unla, hatloute panpih unla, mi tengteng lakah thuakzou takin om un.
14Ndugu, tunawahimizeni muwaonye watu walio wavivu, muwatie moyo watu wanyonge, muwasaidie watu dhaifu, muwe na subira kwa wote.
15Kuamahin kua gitlouh leng gitlouhna thuk lou dingin pilvang un; thil na kihihsak tuahna lam uah leh mi tengteng tunga na hih sakna lam uah leng, a hoih lamlam jui jaw un.
15Angalieni mtu yeyote asimlipe mwingine maovu kwa maovu, ila nia yenu iwe kutendeana mema daima na kuwatendea mema watu wote.
16Nuam gige un;
16Furahini daima,
17Tawp louin thum un;
17salini kila wakati
18Bangkim ah kipahthu gen gige un; haui tuh noumau lam thu ah Kris Jesu ah Pathian deihlam ahi ngala.
18na muwe na shukrani katika kila hali. Hayo ndiyo anayotaka Mungu kwenu katika kuungana kwenu na Kristo Yesu.
19Kha tuh phelh kei un;
19Msimpinge Roho Mtakatifu;
20Thugente simmoh kei un;
20msidharau unabii.
21Bangkim enchian jaw unla, a hoihlam peuhmah len chinten unla;
21Pimeni kila kitu: zingatieni kilicho chema,
22Gilou lam peuhmah ah kihemkhai un.
22na epukeni kila aina ya uovu.
23Huan, lemna Pathian ngeiin nou honhihsiangthou sipsip hen; huan, na kha uh leh, na lungsim uh leh, na pumpi uh i Toupa Jesu Kris hongpai chiangin, gensiatbeiin humbit in om suak sipsip hen.
23Mungu anayetupatia amani awafanye ninyi watakatifu kwa kila namna na kuzilinda nafsi zenu--roho, mioyo na miili yenu--mbali na hatia yoyote wakati wa kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo.
24Nou honsampa a muanhuaia, hih leng a hih ding hi.
24Yeye anayewaita ninyi atafanya hivyo kwani ni mwaminifu.
25Unaute aw, honthum sak un.
25Ndugu, tuombeeni na sisi pia.
26Unaute tengteng tawp siangthouin chibai honna buk sak un.
26Wasalimuni ndugu wote kwa ishara ya upendo.
27Hiai lai a hih leh unau tengteng kiangah sim dingin Toupa minin ka honngen hi.I Toupa Jesu Kris hehpihna na kiang uah om hen. Amen.
27Nawahimizeni kwa jina la Bwana muwasomee ndugu zetu wote barua hii.
28I Toupa Jesu Kris hehpihna na kiang uah om hen. Amen.
28Tunawatakieni neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.