Paite

Swahili: New Testament

1 Timothy

5

1Putek deuhte tai kenla, pa bangin thuhilh zawin; tangval deuhte unau bangin;
1Usimkemee mtu mzee, bali msihi kama vile angekuwa baba yako. Watendee vijana kama ndugu zako,
2pitek deuhte nu bang in; nungak deuhte siangthou takin sangam numei bangin.
2wanawake wazee kama mama yako, na wasichana kama dada zako, kwa usafi wote.
3Meithai, meithai takatakte zahtak in.
3Waheshimu wanawake wajane walio wajane kweli.
4Himahleh, meithai kuapeuhin tate hiam, tute hiam aneih uleh, huaiten tuh amau insung lamah Pathian limsakna mohpuakna thei masa uhela, amau nu-le-pa te uh kem uhen; huai tuh Pathian kipah lamtak ahi ngala.
4Lakini mjane aliye na watoto au wajukuu, hao wanapaswa kujifunza kutimiza wajibu wao wa kidini kwa jamaa zao wenyewe na hivyo kuwalipa wazazi wao na wazee wao, kwani hilo ni jambo la kupendeza mbele ya Mungu.
5Meithai taktak amah kiaa om intuh, Pathian tungah lametna aneia, sun leh jan a ngenin a thum gige hi.
5Mwanamke mjane kweli, asiye na mtu wa kumsaidia, amemwekea Mungu tumaini lake na huendelea kusali na kumwomba msaada usiku na mchana.
6Ahihhangin, meithai ama nopna lela kipia zaw, adamlai nangawn in a si ahi.
6Lakini mwanamke ambaye huishi maisha ya anasa, huyo amekufa, ingawa yu hai.
7Gensiat bei a a om theihna ding un huai thu bang leng pia in.
7Wape maagizo haya, wasije wakawa na lawama.
8Himahleh kuapeuh in amah mite ading a angaihtuah sak kei a, ama inkuante khol houh a ngaihtuahsak keileh, ginna tuh azuausana, ginglou mi sangin a gilou zaw ahi.
8Lakini kama mtu hawatunzi watu wa jamaa yake, hasa wale wa nyumbani kwake, basi, mtu huyo ameikana imani, na ni mbaya zaidi kuliko mtu asiyeamini.
9Meithai kum sawmguk chiang nuailam mi hi lou, mikhat ji hisa, meithaia gelh theih ahi.
9Usimtie katika orodha ya wajane, mjane yeyote ambaye hajatimiza miaka sitini. Tena awe amepata kuolewa mara moja tu,
10Thil hih hoih lam a mi phata tate vaktei khina, mikhualte na zintun khina, misiangthoute khe na silta a, mangbangte na dawnzang khina, thil hoih peuhmah thanuam tak a na hih khin a hih peuhmahleh.
10na awe mwenye sifa nzuri: aliyewalea watoto wake vizuri, aliyewakaribisha wageni nyumbani kwake, aliyewaosha miguu watu wa Mungu, aliyewasaidia watu wenye taabu, na aliyejitolea kufanya mambo mema.
11Himahleh, meithai nungaklaisimte zaw gelh ken; Kris lam a a hong kiplouh un pasal neih a ut nak uhi;
11Usiwaandikishe wajane vijana, kwani kama tamaa zao za maumbile zikizidi kuwa na nguvu zaidi kuliko kujitolea kwao kwa Kristo watataka kuolewa tena,
12A gin tung na uh a paih ziak un siamlouh tang in a om nak uhi.
12na wataonekana kukosa uaminifu kuhusu ahadi yao ya pale awali.
13Huan, huailou leng, in teng ah a ban pawt ua, a tha uh a dah nak hi; thadah kia leng hilou in, thugen louh ding gen in, kamtam leh mite thilhih lai a vaihawm sak nak uhi.
13Wajane kama hao huanza kupoteza wakati wao wakizurura nyumba hata nyumba; tena ubaya zaidi ni kwamba huanza kuwasengenya watu, na kujitia katika mambo ya watu wengine, huku wakisema mambo ambayo hawangepaswa kusema.
14Huchiin, methai nungaklaisimte zaw pasal nei uhenla, tate nei uhenla, insung khosak ngaihtuah uhenla, gensiatna ding lemtang himhim melma musak kei le uh kadeih hi.
14Kwa hiyo ningependelea wajane vijana waolewe, wapate watoto na kutunza nyumba zao ili adui zetu wasipewe nafasi ya kusema mambo maovu juu yetu.
15Tuin leng mi khenkhat in setan lam naihin a pialsanta ngal ua.
15Kwa maana wajane wengine wamekwisha potoka na kumfuata Shetani.
16Gingtami numei in methaite neita leh, dawnzang hen; saptuamte tuh hihbuai in om kei hen; meithai taktakte a dawnzang theihna ding un.
16Lakini kama mama Mkristo anao wajane katika jamaa yake, yeye anapaswa kuwatunza na si kuliachilia kanisa mzigo huo, ili kanisa liweze kuwatunza wajane wale waliobaki peke yao kabisa.
17Saptuam upa vaihawm hoihte tuh a lehnih a thupi tuak a seh hi uhen. Thuhilh leh thu a semgimte tuh hihthupi tuaka seh nawn sem hi uhen.
17Wazee wanaowaongoza watu vizuri wanastahili kupata riziki maradufu, hasa wale wanaofanya bidii katika kuhubiri na kufundisha.
18Laisiangthou in, Bawngtalin buh a chil lain a muk hen ken, a chi a. Nasemmi tuh a loh mutak ahi, a chi nawna.
18Maana Maandiko Matakatifu yasema: "Usimfunge ng'ombe kinywa anapopura nafaka." na tena "Mfanyakazi astahili malipo yake."
19Saptuam upa a hekna uh tuh, theihpih nih hiam kama lou zaw la ken.
19Usikubali kupokea mashtaka dhidi ya mzee yasipowakilishwa na mashahidi wawili au watatu.
20Mikhialte tuh mi tengteng maah taihilh in, midangten leng a lau theihna ding un.
20Wale wanaotenda dhambi waonye hadharani, ili wengine wapate kuogopa.
21Deihsak tuam neilou a, khentuam nei a bangmah hih lou-a hiai thute zui ding in Pathian leh Khris Jesu leh angel telte mitmuh in phatuamngai takin ka hontheisak hi.
21Nakuamuru mbele ya Mungu, mbele ya Kristo Yesu, na mbele ya malaika watakatifu uyazingatie maagizo haya bila kuacha hata moja, wala kumpendelea mtu yeyote katika kila unachotenda.
22Kuamah tungah khut nga pah kenla, midang khelhna bangah leng kikum ken; ki hih siangthou gige in.
22Usiharakishe kumwekea mtu yeyote mikono kwa ajili ya kumtumikia Bwana. Usishiriki dhambi za wengine; jiweke katika hali safi.
23Tui kia dawn kenla, na gilpi ziakin leh na damlouh nak ziakin uain neu khakha zang zel in.
23Usinywe maji tu, bali unywe divai kidogo kwa ajili ya tumbo lako, kwani unaugua mara kwa mara.
24mi khenkhat khelhna tuh a lang gige a, vaihawmna atun nak hi; mi khenkhat khelhnate bel a khawnung in a hong kilang.huchibang mahin thil hoih hih kilangsa a om a, huchibang loute leng sel theih ahi kei hi.
24Dhambi za watu wengine huonekana waziwazi, nazo zawatangulia kwenye hukumu; lakini dhambi za wengine huonekana tu baadaye.
25huchibang mahin thil hoih hih kilangsa a om a, huchibang loute leng sel theih ahi kei hi.
25Vivyo hivyo, matendo mema huonekana waziwazi, na hata yale ambayo si dhahiri hayawezi kufichika.