Paite

Swahili: New Testament

1 Timothy

4

1Himahleh, tunungchiang in mi khenkkhatten; pimangna kha te leh dawite thu hilhna limsakin, ginna tuh a hon tawpsan ding uh chih Kha in kichiantakin a gena; huai tuh
1Roho asema waziwazi kwamba siku za baadaye watu wengine wataitupilia mbali imani; watazitii roho danganyifu na kufuata mafundisho ya pepo.
2mi zuaitheite lepchiahna jiakin ahi; huai mi juautheite tuh amau sia leh pha theihna ngeia sik-ama bik bang ahi uhi,
2Mafundisho ya namna hiyo yanaenezwa na watu waongo wadanganyifu, ambao dhamiri zao ziko kama zimechomwa kwa chuma cha moto.
3kiten a kham ua, nekding ante, thutak theia gingta ten kipah thu gen a san ding ua Pathian in a siamte mah nek louh ding a chi nak uhi.
3Watu hao hufundisha kwamba ni makosa kuona na pia kula vyakula fulani. Lakini Mungu aliviumba vyakula hivyo, ili wale walio waumini na ambao wanapata kuujua ukweli, wavitumie kwa shukrani.
4Pathian thilsiam chiteng tuh a hoih ngala, kipahthu gena san ahih khit phot leh bangmah deihlouh ding ahi kei;
4Kila kitu alichoumba Mungu ni chema, wala hakuna kinachohitaji kukataliwa, bali vyote vipokelewe kwa sala ya shukrani,
5Pathian thu leh thumna a hihsiangthou ahi khinta ngala.
5kwa sababu neno la Mungu na sala hukifanya kitu hicho kikubalike kwa Mungu.
6Huaite unaute na theihsak leh, Kris Jesu nasempa hoihtak, ginnaleh thuhilhna hoih tutana na zuih thu a vaklian nahi ding hi.
6Kama ukiwapa ndugu wote maagizo haya, utakuwa mtumishi mwema wa Kristo Yesu, ukijiendeleza kiroho kwa maneno ya imani na mafundisho ya kweli, ambayo wewe umeyafuata.
7Ahihhangin, Pathian zahlouhna leh tangthu bulbal neilou bang deih ken. Huan, Pathian limsak dingin kithuzoh in;
7Lakini achana na hadithi zile zisizo za kidini na ambazo hazina maana. Jizoeshe kuishi maisha ya uchaji wa Mungu.
8Pumpi kithuzohna a hihleh a phatuam zeka; Pathian limsakna ichihleh khantawn in, hinna, tua omsa leh hong om nawn ding piak chiamna aneih jiakin thil tengteng ah a phatuam hi.
8Mazoezi ya mwili yana faida yake, lakini mazoezi ya kiroho yana faida za kila namna, maana yanatuahidia uzima katika maisha ya sasa, na pia hayo yanayokuja.
9Hiai thu tuh a muanhuai in a laktuak mahmah hi.
9Usemi huo ni wa kusadikika kabisa na unastahili kukubaliwa.
10Huchiin Pathian hing imuan ziakin I semgim ua, ipang teitei ahi ngala; amah tuh mi tengteng Hondampa ahi-a, a gingtate Hondampa ahi tuanse hi.
10Sisi tunajitahidi na kufanya kazi kwa bidii kwani tumemwekea tumaini letu Mungu aliye hai ambaye ni Mwokozi wa watu wote, na hasa wale wanaoamini.
11Hiai thute pia inla, thuhilh in.
11Wape maagizo hayo na mafundisho hayo.
12Na naupanna kuamahin sit kei hen; thugen lam ah, tatdan lamah, itna lamah, siangthouna lam ah gingtute zuih ding hizaw in.
12Usikubali mtu yeyote akudharau kwa sababu wewe ni kijana, lakini jitahidi uwe mfano kwa wanaoamini: katika usemi wako, mwenendo wako, upendo, imani na maisha safi.
13Ka hongpai masiah simkhawng, thuhilh khawng limsak in.
13Tumia wakati wako na juhudi yako katika kusoma hadharani Maandiko Matakatifu, kuhubiri na kufundisha, mpaka nitakapokuja.
14Nang mah a om thilpiak, thu genkholhnaa piak, upate khut ngaka Pathian in nang a hon neihsak tuh limsak lou ken.
14Usiache kukitumia kile kipaji cha Kristo ndani yako ulichopewa kwa maneno ya manabii na kwa kuwekewa mikono na wazee.
15Mi teng teng kiang a na phattuamna a lat theihna dingin huaithilte ah thanuam inla, huaite ah kizang zou in.Nangmah leh na thuhilh ah pilvang inla; huai thilte hihin om gige in; huchibang hih in nang mah leh na thuzate na hondam ding hi.
15Fikiri kwa makini juu ya hayo yote na kuyatekeleza kusudi maendeleo yako yaonekane na wote.
16Nangmah leh na thuhilh ah pilvang inla; huai thilte hihin om gige in; huchibang hih in nang mah leh na thuzate na hondam ding hi.
16Angalia sana mambo yako mwenyewe, na mafundisho yako. Endelea kufanya hayo maana ukifanya hivyo utajiokoa mwenyewe na wale wanaokusikiliza.