Paite

Swahili: New Testament

1 Timothy

3

1Kuapeuh saptuam heutua pan utin nasep hoih a ut ahi, chih a dik ahi,
1Msemo huu ni wa kweli: mtu akitaka kuwa kiongozi katika kanisa, huyo anatamani kazi nzuri.
2Huchiin, saptuam heutu tuh gensiatbei, ji khat nei, kidek thei, navak tak, mi diktat, mi paktakdan siam, thuhilhsiam,
2Basi, kiongozi wa kanisa anapaswa awe mtu asiye na lawama; anapaswa awe na mke mmoja tu, awe mwenye kiasi, nidhamu na utaratibu; ni lazima awe mkarimu na anayeweza kufundisha;
3uain kham hatlou, mi vuak hatlou mi nunnem hi zaw ding, selhatlou, sum deihta lou,
3asiwe mlevi au mtu wa matata, bali awe mpole, apendaye amani; asiwe mtu wa kupenda fedha;
4zahtakhuai taka tate kepsiam, amah insung vaihawm kizen taka hihsiam mi hi ding ahi;
4anapaswa awe mtu awezaye kuongoza vema nyumba yake, na kuwafanya watoto wake wawe watii kwa heshima yote.
5min amah insung vaihawm nangawn kizen taka a hihsiam kei ngalin, bangchin ahia Pathian saptuamte a kep theih ding?
5Maana kama mtu hawezi kuongoza vema nyumba yake, atawezaje kulitunza kanisa la Mungu?
6Gingthakmi ahi ding ahi kei, huchilou in jaw kisatheiin a om dia, diabol siamlouhtansakna ah a puk kha ding.
6Mtu ambaye hajakomaa bado katika imani asifanywe kuwa kiongozi katika kanisa, asije akajaa majivuno na kuhukumiwa kama vile Ibilisi alivyohukumiwa.
7Huaite louleng, polama mite phatin a om nalai ding ahi, huchilou in jaw, gensiata a omin, diabol thang ah a awk kha ding.
7Anapaswa awe mwenye sifa njema kati ya watu walio nje ya kanisa, ili asije akalaumiwa na kuanguka katika mtego wa Ibilisi.
8Huchimahbangin, saptuam upate tuh mi zahtakhuai ahi ding uh ahi; kamtamte, uain haite, lepna nina huaiham mite ahi ding uh ahi kei;
8Wasaidizi katika kanisa wanapaswa pia kuwa watu wenye tabia njema na wanyofu; wasiwe wanywaji mno wa divai au wenye tamaa ya fedha;
9sia leh pha theihna sianga ginna thuguk kemmi ahi zaw ding ahi.
9wanapaswa kuzingatia kwa dhamiri njema ukweli wa ndani wa imani.
10Huan, huaite leng chetin om masa uhen, huai nungin gensiatbei a honghih uleh, saptuam upa na sem uhen.
10Ni lazima kwanza wathibitishwe, na wakionekana kuwa wanafaa, basi, watoe huduma yao.
11Huchimahbangin a numeite uh leng mi zahtakhuai ahi ding uhi, gensiathatte hi louin, kidekthei leh bangkima muanhuai ahi ding uhi.
11Wake zao wanapaswa pia kuwa na tabia njema, wasiowasengenya watu, wenye kiasi na waaminifu katika mambo yote.
12Saptuam upate tuh ji khat nei a tate uleh amau insung vaihawm navak tak a hih mi hi uhen.
12Msaidizi katika kanisa lazima awe na mke moja tu, na awezaye kuongoza vema watoto wake na nyumba yake.
13Saptuam upa na hoihtak a semten amau adingin phattak hihna aloh ua, huan Kris Jesu-a om ginna a muanna leh hangsanna thupitak amu ngal ua.
13Maana wasaidizi wanaofanya kazi yao vizuri hujipatia msimamo mzuri, na wanaweza kusema bila hofu juu ya imani yao katika Kristo Yesu.
14Sawtlouchik chiang a na kianga hongpai lamenin hiai thu khawng na kiangah ka gelh ahi;
14Ninakuandikia barua hii nikiwa na matumaini ya kuja kwako hivi karibuni.
15himahleh ka hong om sawt khak leh Pathian inkuanpihte laka mi bangchibangin ahia a om ding uh chih na theihna dingin ka gelh ahi; Pathian inkuanpihte tuh Pathian hing saptuamte, thutak khuam leh kingakna tuh ahi uhi.I gen uh, I Pathian biakna thuguk tuh selvuallouhin a thupi ahi: Pathian tuh sa a muhtheih a latsakin hongoma, Kha a siamtansak, angelte muh, namte laka tangkoupih, khovela mite gin, thupina a pitouh ahi.
15Lakini kama nikicheleweshwa, basi, barua hii itakufahamisha mwenendo tunaopaswa kuwa nao katika nyumba ya Mungu, ambayo ni kanisa la Mungu aliye hai, na ambalo ni nguzo na msingi wa ukweli.
16I gen uh, I Pathian biakna thuguk tuh selvuallouhin a thupi ahi: Pathian tuh sa a muhtheih a latsakin hongoma, Kha a siamtansak, angelte muh, namte laka tangkoupih, khovela mite gin, thupina a pitouh ahi.
16Hakuna mashaka yoyote juu ya ukuu wa siri ya dini yetu: Alionekana katika umbo la kibinadamu alithibitishwa na Roho kuwa ni mwadilifu, akaonekana na malaika. Alihubiriwa kati ya mataifa, aliaminiwa popote ulimwenguni, akachukuliwa juu mbinguni katika utukufu.