Paite

Swahili: New Testament

1 Timothy

2

1Huchiin, a masapen in, thilnget thumnate, thumna himhimte, thumsaknate, kipahthu genna te, mi tengteng ading a bawl sak dingin ka hon hasuan hi;
1Kwanza kabisa, basi naomba dua, sala, maombi na sala za shukrani zitolewe kwa Mungu kwa ajili ya watu wote,
2Kumpipate leh thuneite tengteng ading inleng; Pathian limsak leh zahtakhuai taka kituaka khamuang a I om theihna dingin.
2kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, ili tupate kuishi maisha ya utulivu na amani pamoja na uchaji wa Mungu na mwenendo mwema.
3Huaituh I Hondampa Pathian theih in a hoih in, a kipahhuai hi;
3Jambo hili ni jema na lampendeza Mungu Mwokozi wetu,
4Aman tuh mi tengteng hotdama om ding leh thutak thei dingin a deih hi.
4ambaye anataka watu wote waokolewe na wapate kuujua ukweli.
5Pathian khat kia a om, Pathian leh mihing kikal ah Palai khat kia a om nawn,
5Maana yuko Mungu mmoja, na pia yuko mmoja anayewapatanisha watu na Mungu, binadamu Kristo Yesu,
6Amah tuh mihing ahi, Khris Jesu, mi tengteng tatna dia kipiapen; huai heihpihna tuh a huntaka piak ahi.
6ambaye alijitoa mwenyewe kuwakomboa watu wote. Huo ulikuwa uthibitisho, wakati ufaao ulipowadia.
7Hiai hihding a tangkoupihpa ding leh sawltaka seh ka hi (thu taktak ka gen, ka juai kei); ginna leh thutak a Jentelte hilhpa a seh ka hi.
7Kwa sababu hiyo mimi nilitumwa niwe mtume na mwalimu wa watu wa mataifa, niutangaze ujumbe wa imani na ukweli. Nasema ukweli; sisemi uongo!
8Huchiin, pasalten mun chiha khut siangthou jakin, thangpailou leh kisellouin thum le uh ka deih ahi.
8Basi, popote mnapokutana kufanya ibada nataka wanaume wasali, watu waliojitolea kweli na ambao wanaweza kuinua mikono yao wakisali bila hasira wala ubishi.
9Tua bangmah in numeite zumthei leh omdan siamin puansilh kilawm lelin kivan le uh; sam phek hiam, dangkaeng hiam, tuikepsuang hiam, puan mantam taktak khawng a kivan louin:
9Hali kadhalika, nawataka wanawake wawe wanyofu na wenye busara kuhusu mavazi yao; wavae sawasawa na si kwa urembo wa mitindo ya kusuka nywele, kujipamba kwa dhahabu, lulu au mavazi ya gharama kubwa,
10Ahihhangin numei Pathian limsak kichite a kihun lelin thil hih hoihin kivan le uh, ka deih hi.
10bali kwa matendo mema kama iwapasavyo wanawake wamchao Mungu.
11Numei in thumang hiathiatin om dinden in zil hen.
11Wanawake wanapaswa kukaa kimya na kuwa wanyenyekevu wakati wa kujifunza.
12Ahihhangin, numeiin thu a hilh jaw ka phal kei, pasal tunga thuneih leng ka phal sam kei, dai dindenin om jaw hen.
12Mimi simruhusu mwanamke amfundishe au amtawale mwanamume; anapaswa kukaa kimya.
13Adam tuh siam masak ahi a, huai nungin Evi siam ahi ngala.
13Maana Adamu aliumbwa kwanza, halafu Hawa.
14Huan, Adam tuh khemin a om keia, numei bel khemin a om a, tatlekna ah a pukta hi.Himahleh, omdan siamna toh ginna leh itna leh siangthounaa a om gige leh, numei tuh nau a pianna jiakin hotdamin a om ding hi.
14Na wala si Adamu aliyedanganywa; bali mwanamke ndiye aliyedanganywa, akaivunja sheria ya Mungu.
15Himahleh, omdan siamna toh ginna leh itna leh siangthounaa a om gige leh, numei tuh nau a pianna jiakin hotdamin a om ding hi.
15Hata hivyo, mwanamke ataokolewa kwa kupata watoto, kama akidumu katika imani, upendo, utakatifu na unyofu.