1Paula, Pathian in Hondampa leh Khrist Jesu, I Lamet, thupiak banga Kris Jesu sawltak in:
1Mimi Paulo, mtume wa Yesu Kristo kwa amri ya Mungu Mwokozi wetu na Yesu Kristo tumaini letu,
2Ginna a ka ta taktak Timothi kiang ah: Pathian I Pa leh, Kris Jesu I Toupa kiang a kipan, hehpihna, zahngaihna, lemna hong om hen.
2nakuandikia Timotheo mwanangu halisi katika imani. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu na Kristo Yesu Bwana wetu.
3Masidonia gama ka hoh dek laia konnget bangin Ephesa khua ah om gige in, huchia mi khenkhat thugin tuam himhim sinsak lou dinga na hilh theihna dingin.
3Napenda ukae huko Efeso, kama nilivyokuomba nilipokuwa ninakwenda Makedonia. Wako watu fulani huko wanaofundisha mafundisho ya uongo. Wakomeshe watu hao.
4Huan Pathian lama phattuamna, ginnaa ompen hiloua, kiselna leh gintakthu gen khawng omsak lel tangthu lel khang thu sui zohlouh peuh buaipih sam lou dinga na hilh theihna dingin:
4Waambie waachane na zile hadithi tupu na orodha ndefu za mababu, ambazo huleta tu ubishi, wala haviwajengi watu katika mpango ujulikanao kwa imani.
5Eiten thuhilh ding I kep pen bel lungtang siangthou leh sialehphatheihna siang leh ginnah taktak akipana pawt itna ahi zaw ngala.
5Shabaha ya amri hii ni kuhimiza mapendo yatokayo katika moyo safi, dhamiri njema, na imani ya kweli.
6Mi khenkhatten hiaite pialsanin thuginalou genna lamah a vakmangta ua.
6Watu wengine wamepotoka na kugeukia majadiliano yasiyo na maana.
7A thu gen uh leh thil ahi-a agente uleng bang ahia chih theiloupe in, dan hilhmite hih a ut nak uhi.
7Wanapenda kuwa walimu wa Sheria, lakini hawaelewi maneno yao wenyewe au mambo wanayosisitiza.
8Dan jaw a hoih chih I thei ngal ua, min a zat hoih peuhmah uleh.
8Twajua kwamba Sheria ni njema, kama ikitumiwa ipasavyo.
9Ahia lah, dan jaw mi dikatte adinga bawl ahi keia, dan kalhte leh dan lou a omte ading, Pathian limsakloute leh khialte mi siangthouloute leh Pathian zahloute, pate that khawng leh nute that khawng, mihing that khawng.
9Lakini tunapaswa kukumbuka kwamba sheria haziwekwi kwa ajili ya watu wema, bali kwa ajili ya wahalifu na wasiotii, wasiomcha Mungu na wenye dhambi, watu wasio na dini na wa kidunia. Watu wanaowaua baba na mama zao, au wauaji wowote wale;
10kingaihhat khawng ading, tawkohuk khawng a ding, mihing gukhat khawng a ding, juauthei khawng a ding, kichiam khemkhem khawng a ding leh
10sheria imewekwa kwa ajili ya waasherati, wafiraji, wanaowaiba watu, waongo, na wanaoapa uongo au wanaofanya chochote ambacho ni kinyume cha mafundisho ya kweli.
11phat tuak Pathian tanchinhoih thupi hilhna dik ka kiang a kepsak bang kalha om thil dang himhim a dinga leng bawl ahi jaw hi.
11Mafundisho hayo hupatikana katika Habari Njema ambayo mimi nimekabidhiwa niihubiri, Habari Njema ya Mungu mtukufu na mwenye heri.
12A honhihhatpa Kris Jesu I Toupa kiangah kipahthu ka gen hi, muanhuai a honsak a, a nasempa dia a hon chih tak jiakin;
12Namshukuru Bwana wetu Yesu Kristo aliyenipa nguvu kwa ajili ya kazi yangu. Namshukuru kwa kuniona mimi kuwa ni mwaminifu, akaniteua nimtumikie,
13tumalamin Pathian gensepa leh sawipa leh hihsemi nahita mahleng; himahleh, ginglou pia theilou a hih ka hih jiakin ahi, zahngaihna ka namuh tak;
13ingawa pale awali mimi nilimtukana na kumtesa na kumdhulumu. Lakini Mungu alinionea huruma, kwa sababu sikuwa na imani bado, na hivyo sikujua nilichokuwa ninafanya.
14huan, I Toupa hehpihna tuh, gina leh Kris Jesua itna in nakpi takin a dimletta.
14Lakini Bwana wetu alinijalia neema yake kwa wingi, akanipa imani na upendo katika kuungana na Kristo Yesu.
15Kris Jesu khialte hondam dingin khovel ah a hongpai chih tuh ataksanhuai in a laktuak mahmah hi. A lak ua khialpen ka hi;
15Usemi huu ni wa kuaminika, na tena unafaa kukubaliwa kabisa: Kristo Yesu alikuja ulimwenguni kuwaokoa wenye dhambi. Nami ni mkosefu zaidi kuliko hao wote,
16himaleh, hiai jiakin ahi zangaihna ka na muh: Jesu Kris in a dohzohna kim akhialpen keimaha a latsak theihna ding ahi, huai tuh tubansiah khantawna hinna muhna dinga Amah hon gingta ding-te adia etsakna hi ding in.
16lakini Mungu alinionea huruma, ili Kristo aonyeshe uvumilivu wake wote kwangu mimi, kama mfano kwa wale wote ambao baadaye watamwamini na kupokea uzima wa milele.
17Kumpipa khantawna om, setheilou, muhtheihlouh, Pathian tak kia, khantawna zahtak leh thupiin om hen, Amen.
17Kwake yeye aliye Mfalme wa milele na asiyekufa, yeye aliye Mungu pekee--kwake viwe heshima na utukufu milele na milele! Amina.
18Ka tapa Timothi aw, na tungtang genkholhnate toh kituakin, hiai mohpuakna leh thuhilhna konpia, huchia huai thute-a hilha om a, kidouna hoih na dou heihna ding in,
18Mwanangu Timotheo, nakukabidhi amri hii kufuatana na maneno ya unabii yaliyosemwa zamani juu yako. Yatumie maneno hayo yawe silaha yako katika kupigana vita vizuri,
19ginna leh sialehpha theihna siang tak len chinten in, Mi khenkhatten huai sialehpha- theihna tuh paikhia in ginna lamah long sia bangin a kekseta uhi;huaite lakah tuh Himenai leh Aleksandar a tel ua; Pathian gensiat louh a chin theihna ding un amau tuh Setan ka peta hi.
19na ushike imani yako na dhamiri njema. Watu wengine hawakusikiliza dhamiri zao na hivyo wakaiharibu imani yao.
20huaite lakah tuh Himenai leh Aleksandar a tel ua; Pathian gensiat louh a chin theihna ding un amau tuh Setan ka peta hi.
20Miongoni mwao ni Humenayo na Aleksanda ambao nimewakabidhi kwa Shetani, ili wafundishwe wasimtukane Mungu.