1A tawppenin, unaute aw, Toupa thu tuh, noumau laka a om bangin, khanga hihthupia a om theihna ding leh,
1Hatimaye, ndugu, tuombeeni ili ujumbe wa Bwana uzidi kuenea upesi na kupokelewa kwa heshima kama vile ulivyo kati yenu.
2Migenhakte leh mi giloute laka ka bit theihna ding un, honthum sak un; mi tengtengin lah ginna a nei vek kei ua.
2Ombeni pia ili Mungu atuokoe na watu wapotovu na waovu, maana si wote wanaoamini ujumbe huu.
3Himahleh, Toupa tuh a muanhuaia, aman tuh a hihkipin mi gilou lakah nou a honveng ding hi.
3Lakini Bwana ni mwaminifu. Yeye atawaimarisheni na kuwalinda salama na yule Mwovu.
4Kon thupiak peuhmah uh na hih zou ua. na hih jeljel uleng Toupa ah ka honum uhi.
4Naye Bwana anatupatia tumaini kubwa juu yenu, na hatuna shaka kwamba mnafanya na mtaendelea kufanya yale tuliyowaambieni.
5Huan, Toupan na lungtangte uh Pathian itna ah leh Kris kuhkalna ah pi lut hen.
5Bwana aiongoze mioyo yenu katika upendo wa Mungu na katika uvumilivu tunaopewa na Kristo.
6Huan, unaute aw, ka lak ua kipana thugousiah a muh bang ua om loua, dan lou banga om unau tengteng laka kihemkhe dingin i Toupa Jesu Kris minin thu ka honpia uhi.
6Ndugu, tunawaamuru kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo, mjiepushe na ndugu wote walio wavivu na ambao hawafuati maagizo tuliyowapa.
7Noumau mahmahin non zuihdan ding uh na thei ngal ua; na lak uah dan lou bangin ka gamta ngei kei uhi.
7Ninyi wenyewe mnajua kwamba mnapaswa kufuata mfano wetu. Sisi tulipokuwa nanyi hatukuwa wavivu;
8Kuamah khuta kipanin a mawkin na tanghou uh leng ka ne ngei kei uhi; na lak ua kuamah kon tuailuaisak louhna ding un sun leh jana gimtak leh tawl taka sem kawmin ka ne phet uhi;
8hatukula chakula kwa mtu yeyote bila ya kumlipa. Tulifanya kazi kwa bidii na taabu mchana na usiku ili tusiwe mzigo kwa mtu yeyote kati yenu.
9Huai thu neihna ka neihlouh jiak uh hilouin, noumau zuih dingin ka omdan uah zuih ding konpia uh ahi jaw.
9Tulifanya hivyo si kwa kuwa hatuna haki ya kutaka msaada wenu, ila kwa sababu tunataka kuwapeni mfano.
10Na kiang ua ka om lai un leng, hiai thu ka honpia uhi: kuapeuhin na a sep nop keileh, nek leng ne kei hen, chih.
10Tulipokuwa pamoja nanyi tulikuwa tukiwaambieni, "Mtu asiyefanya kazi, asile."
11Na lak ua khenkhat dan lou banga om nakte tungtang ka za ngal ua, huaiten tuh na himhim a sem kei ua, a lawptawp jaw uhi.
11Tunasema mambo hayo kwa sababu tumesikia kwamba wako baadhi yenu ambao ni wavivu na ambao hawafanyi chochote, isipokuwa tu kujiingiza katika mambo ya watu wengine.
12Huchi a hih chiangin, huai bang mite tuh sem hiathiat ding leh, amau tanghou ne dingin Toupa Jesu Kris ah thupiain ka hasuan uhi.
12Kwa jina la Bwana wetu Yesu Kristo tunawaamuru na kuwaonya watu hao wawe na nidhamu na kufanya kazi ili wajipatie maslahi yao wenyewe.
13Unaute aw, nou jaw thil hoih hih chimtak kei un.
13Lakini ninyi ndugu, msichoke kutenda mema.
14Huan, kuapeuhin hiai ka laikhak ua ka thu uh a zuih keileh, huai mi tuh na kithuahpih het louhna ding un chiamteh un, a zum theihna dingin.
14Huenda kwamba huko kuna mtu ambaye hatautii huu ujumbe tunaowapelekeeni katika barua hii. Ikiwa hivyo, basi, mfichueni mtu huyo na msiwe na uhusiano wowote naye kusudi aone aibu.
15Himahleh, melma bangin jaw bawl kei un, unau bangin hilh jaw un.
15Lakini msimtendee mtu huyo kama adui, bali mwonyeni kama ndugu.
16Huan, lemna Toupa ngeiin khantawnin banglam peuhah nou lemna honpia hen. Toupa tuh na vek ua lakah om hen.
16Bwana mwenyewe ndiye chanzo cha amani, awajalieni amani siku zote kwa kila namna. Bwana awe nanyi nyote.
17Kei, Paulain, keimah khut ngeiin hiai chibaibukna ka gelh hi; hiai tuh ka laikhak tengah chiamtehna ahi; hichibang tuh ka gelh dan ahi.I Toupa Jesu Kris hehpihna na vek ua kiangah om hen. Amen.
17Kwa mkono wangu mwenyewe naandika hivi: Salamu kutoka kwa Paulo! Hivi ndivyo ninavyotia sahihi kila barua; ndivyo ninavyoandika.
18I Toupa Jesu Kris hehpihna na vek ua kiangah om hen. Amen.
18Tunawatakieni nyote neema ya Bwana wetu Yesu Kristo.