1Himahleh, unaute aw, i Toupa Jesu Kris hongpaina leh amah tuak dinga i vakikhopna ding thu ah,
1Sasa yahusu kuja kwake Bwana wetu Yesu Kristo na kukusanywa kwetu pamoja tukae naye. Ndugu, tunawaombeni sana
2Toupa ni tuh a tungkhinta chihna khain hiam aw, thu jiakin hiam aw, kou akipana laikhak jiak khawngin hiam aw, na lungsim uh a lin pah louhna dingin leh na buai tuan louhna ding un ka honngen uhi.
2msifadhaike upesi moyoni, na wala msitiwe wasiwasi kwa sababu ya madai kwamba Siku ya Bwana imekwisha fika. Labda inadhaniwa kwamba jambo hili limetokana na uaguzi fulani, mahubiri au barua inayosemekana kuwa imetoka kwetu.
3Kuamahin bangmahin honkhem kei uhen; puksanna tak a hongtun masak phota, khelhna mipa, mangthang tapa ngei a hongkilat keileh huai ni tuh tung lou ding ahi ngala.
3Msikubali kudanganywa na mtu yeyote kwa namna yoyote ile. Maana Siku hiyo haitakuja mpaka kwanza ule Uasi Mkuu utokee na yule Mwovu aonekane ambaye mwisho wake ni kuangamizwa kabisa.
4Amah tuh Pathian a hihsak peuhmah uleh, sabiak tengteng douin, a tung ua om tumin a kihihthupi ding: huchiin Pathian temple-a tuin Pathian banghialin a kitung khe ding hi.
4Yeye atapinga kila kitu wanachokiona watu kuwa ni mungu, au wanachokiabudu. Naam, hata ataingia na kuketi ndani ya Hekalu la Mungu akijidai kuwa Mungu.
5Na lak ua ka om laiin leng tuabang thu ka honhilh jel chih na theigige kei ua hia?
5Je, hamkumbuki kwamba niliwaambieni haya yote wakati nilipokuwa pamoja nanyi?
6Amah hun tuam kiaa a hongkilat theihna dingin bangin ahia tua kham na thei uhi.
6Lakini kuna kitu kinachomzuia sasa, nanyi mwakijua kitu hicho. Basi, huyo Mwovu ataonekana wakati wake ufaao.
7Danloua omna thugukin tuin leng a sem lelel ngala; himahleh lakmanga a om masiah tua a khampan huchibangin a kham ding hi.
7Hata hivyo, Mwovu huyo aliyefichika anafanya kazi sasa, lakini hataonekana mpaka yule anayemzuia aondolewe.
8Huai lakmang chiangin dana talekpa tuh a honkilangta dia, Toupa Jesun amah tuh a kam hatnain a hihlum dia, a hongpaina leh kilaknain a hihmang ding hi.
8Hapo ndipo Mwovu atakapotokea; lakini Bwana Yesu anapokuja atamuua kwa pumzi ya kinywa chake na kumwangamiza kwa mng'ao wa kuja kwake.
9Huai dana talekpa a hongpaina tuh Setan sepdan bang jelin, thilhihtheihna chiteng, chiamtehna chiteng, juau thillamdang chiteng toh,
9Huyo Mwovu atakuja na nguvu za Shetani na kufanya kila namna ya miujiza na maajabu ya uongo,
10Mangthang lellelte dingin khemna gilou chiteng toh ahi ding; hotdama a om theihna ding ua thutak itna tuh a pom louh jiak un.
10na kutumia udanganyifu wa kila namna kwa wale walio katika mkumbo wa kupotea. Hao watapotea kwa sababu hawakuupokea na kuupenda ule ukweli ili waokolewe.
11Huaijiakin juau thu a ginna ding un, Pathianin diklouhna nasep a kiang uah a honsawl ding.
11Ndiyo maana Mungu amewaweka chini ya nguvu ya upotovu, wauamini uongo.
12Thu tak ging loua diktatlohnaa kipak zoten siamlouh a tan vek theihna ding un.
12Matokeo yake ni kwamba wote wasioamini ukweli, ila wafurahia dhambi, watahukumiwa.
13Unau, Toupa ngaihtakte aw, Kha hihsiangthou leh thutak gingtaa hotdama om dingin a tunga kipan Pathianin nou a hontel jiakin na tungthu uah jaw Pathian kiangah kipahthu gen jel ding him ka hi uhi.
13Tunapaswa kumshukuru Mungu daima kwa ajili yenu ninyi ndugu, ninyi mnaopendwa na Bwana, kwa maana Mungu amewateua tangu mwanzo mpate kuokolewa kwa nguvu ya Roho mfanywe watu wake watakatifu kwa imani yenu katika ukweli.
14Huchimahbang dingin aman tuh ka tangchin hoih un nou a honsam hi, i Toupa Jesu Kris thupina tang dingin.
14Mungu aliwaitieni jambo hili kwa njia ya Habari Njema tuliyowahubirieni; aliwaiteni mpate kupokea sehemu yenu katika utukufu wa Bwana wetu Yesu Kristo.
15Huchiin, unaute aw, ding kip unla, thugousiah thugenin hiam, kon laikhak uhiama nou kon hilhte uh tuh, leh kip un.
15Basi, ndugu, simameni imara na zingatieni yale mafundisho tuliyowafundisheni kwa mahubiri yetu na barua zetu.
16Huchiin, i Toupa Jesu Kris mah leh Pathian i Pa, eite honitpa leh hehpihna jiaka khantawna khamuanna leh lametna hoih honpepan,Na lungtangte uh hihkhamuangin, thil hihhoih leh thugen chiteng ah hihkip hen.
16Tunamwomba Bwana wetu Yesu Kristo mwenyewe na Mungu Baba yetu ambaye alitupenda, na kwa neema yake akatujalia faraja ya milele na tumaini jema,
17Na lungtangte uh hihkhamuangin, thil hihhoih leh thugen chiteng ah hihkip hen.
17aifariji mioyo yenu na kuwaimarisheni ili mweze daima kutenda na kusema yaliyo mema.