1Ka kiuangsak himhim ding ahi. Ka metna ding jaw om het keia, himehleh Toupa kianga kipan kilakna leh theihsakna thu ka gen zom mai deh.
1Nitajivuna basi, ingawa haifai! Lakini sasa nitasema juu ya maono na ufunuo alivyonijalia Bwana.
2Krisa mi khat ka thei; huai mi mah tuh kum sawm leh kum li a hita (pumpiin hia a om ka theikei, pumpi louin hia a om ka thei sam kei: Pathianin a thei) van thumna hialah lak touhin a oma.
2Namjua mtu mmoja Mkristo, ambaye miaka kumi na minne iliyopita alinyakuliwa mpaka katika mbingu ya tatu. (Sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua.)
3Huan, huai mi mahmah (pumpiin hia a om, pumpi louin hia ka theikei; Pathianin a thei; )
3Narudia: najua kwamba mtu huyo alinyakuliwa mpaka peponi. (Lakini sijui kama alikuwa huko kwa mwili au kwa roho; Mungu ajua.)
4Paradisa lak touha a om dan, thugen vual louh, mihing gensiang loute a ja chih ka thei.
4Huko akasikia mambo ya siri ambayo binadamu hastahili kuyatamka.
5Mi huchibang a hihleh ka suang ding; himahleh, ka hatlouhna lou jaw keimah ka kisuang kei ding.
5Basi, nitajivunia juu ya mtu wa namna hiyo, na si juu yangu mimi binafsi, isipokuwa tu juu ya udhaifu wangu.
6Suan ut mahleng mi hai ka hi kei ding, thu taktak ka gen dek ngala; himahleh ka kidek ding, huchilou injaw kuapeuhin honmuh bang uleh ka laka thu a jak bang sang un honngai thupi zo kha ding hi.
6Kama ningetaka kujivuna singekuwa mpumbavu hata kidogo, maana ningekuwa nasema ukweli mtupu. Lakini sitajivuna; sipendi mtu anifikirie zaidi ya vile anavyoona na kusikia kutoka kwangu.
7Huan, theihsaknate a thupi mahmah jiaka ka kingaihlet luat louhna dingin saa ling honpia ahi, Setan sawltak, khutthak nuhna dia honzang ding ngei tuh; huchilouin jaw ka kingailian kha ding hi.
7Lakini, kusudi mambo haya makuu niliyofunuliwa yasinifanye nilewe majivuno, nilipewa maumivu mwilini kama mwiba, mjumbe wa Shetani mwenye kunipiga nisijivune kupita kiasi.
8Huai thil tungtang thuah hon awngsut theihna dingin Toupa thumvei ka ngena.
8Nilimsihi Bwana mara tatu kuhusu jambo hili ili linitoke.
9Huan, aman ka kiangah, Ka hehpihna nang din a hun hi, ka thilhihtheihna hat louhnaah ahi hihkima a om a chi a. Huchiin, Kris thilhihtheihna ka tunga a om theihna dingin kipak takin ka hatlouhna te ka suang zo ding hi.
9Lakini akaniambia: "Neema yangu inatosha kwa ajili yako; maana uwezo wangu hukamilishwa zaidi katika udhaifu." Basi, ni radhi kabisa kujivunia udhaifu wangu ili uwezo wake Kristo ukae juu yangu.
10Huaijiakin, Kris jiaka hatlouhna ah, liamna ah, taksapna ah, sawina ah, lungngaihna ah ka kipak jel ahi; ka hatlouh peuhpeuhin ahi ka hat jawk.
10Kwa hiyo nakubali kwa radhi udhaifu, madharau, taabu, udhalimu na mateso, kwa ajili ya Kristo; maana ninapokuwa dhaifu, ndipo ninapokuwa na nguvu.
11Hai ka nahita: nou hai lou theilou in non bawl ua ahi: kei pen noumau honpahtawi ding kei ve, bangmah hi kei mahleng, banglam peuhah leng sawltak lianpente ka pha lou kei ngala.
11Nimekuwa kama mpumbavu, lakini, ninyi mmenilazimisha kuwa hivyo. Ninyi ndio mngalipaswa kunisifu. Maana, ingawa mimi si kitu, kwa vyovyote, mimi si mdogo zaidi kuliko hao "mitume wakuu."
12Sawltak hih chiamtehnate kuhkalna chiteng toh chiamtehnate, thillamdangte, thilhihtheihnate-in na lak ua hih ahi taktak ve.
12Miujiza na maajabu yaonyeshayo wazi kwamba mimi ni mtume yalifanyika miongoni mwenu kwa uvumilivu wote.
13Bang lamah ahia, saptuam pawl dangte sanga niam jawa bawla na omna uh? keimah ngeingeiin kon hihbuai louhna lam thu ah a hih kei ngalleh. Huai diklouhna ah honngaidam un.
13Je, mlipungukiwa nini zaidi kuliko makanisa mengine, isipokuwa tu kwamba mimi kwa upande wangu sikuwasumbueni kupata msaada wenu? Samahani kwa kuwakoseeni haki hiyo!
14Ngai un, hiai na kiang ua hong dinga ka man a thum veina ding ahi; huan, kon hihbuai kei ding, nou-a zong ka hi ngal keia, noumau honzong ka hi jaw; taten nu leh pate dingin a kholkhawm sak ding uh ahi keia, nu leh pate dingin a kholkhawm sak jaw ding uh ahi ngala.
14Sasa niko tayari kabisa kuja kwenu mara ya tatu, na sitawasumbua. Maana ninachotafuta si mali zenu, bali ni ninyi wenyewe. Ni kawaida ya wazazi kuwawekea watoto wao akiba, na si watoto kuwawekea wazazi wao.
15Huan, ken jaw na kha ua dinga kipak takin ka zang bei dinga, ka kizangbei vek lai ding hi. Akan avala nou kon it jiakin, ken itna tawmjaw muhna-in ka nei ahi maw?
15Mimi ni radhi kabisa kutumia nilicho nacho, na hata kujitolea mimi mwenyewe kabisa, kwa faida ya roho zenu. Je, mtanipenda kidogo ati kwa kuwa mimi nawapenda ninyi mno?
16Ahihhangin, keimahmahin honhihbuai lou hita leng, ka lepciah a zekhemna-in kon man, na sa uh ahi dinge.
16Basi, mtakubali kwamba sikuwa mzigo kwenu. Lakini labda mtu mwingine atasema: "Kwa vile Paulo ni mwerevu, amewafanyieni ulaghai."
17Na kiang ua ka sawlte lakah kuahiam bek zangin nou kon hamphatpih ahia?
17Je, mimi niliwanyonyeni kwa njia ya mjumbe yeyote niliyemtuma kwenu?
18Tita ka hasuana, amah toh unaupa ka sawl ahi. Tita-in nou a honhamphatpih himhim hia? Kha kibanga gamta khawm ka hi kei ua hia? Khap kibanga pai ka hi kei ua hia?
18Mimi nilimwita Tito, nikamtuma kwenu na ndugu yetu mwingine. Je, Tito aliwanyonyeni? Je, hamjui kwamba sisi tumekuwa tukiongozwa na roho yuleyule, na mwenendo wetu ni mmoja?
19Tusung tenga noumau kianga kou leh kou kiphalam non sa ua, Kris ah Pathian mitmuhin ahi thu ka gen uh. Himahleh, deihtakte aw, bnagkim noumau bawl hoihna ding ahi hi.
19Labda mnafikiri kwamba mpaka sasa tumekuwa tukijitetea wenyewe mbele yenu! Lakini, tunasema mambo haya mbele ya Mungu, tukiwa tumeungana na Kristo. Mambo hayo, yote, wapenzi wangu, ni kwa ajili ya kuwajenga ninyi.
20Ka hong chiangin bangchihiama ka ut banga kon muh kei leh kei deih bangin non mu kei kha ding uh, chih leh, banchihiamin kitainate, kihazatnate, hehnate, kilangkhennate, kigennate, kihuaukhumnate, kingaihlet luatnate, buainate a hongom kha ding,Chih leh ka hong chiangin ka Pathianin na lak uah honhihzahlak nawnin, tualama thil hihkhialte laka thil sianglou hihte, kingaihte, hukte chinga kisik tuanlo mi tampite ka kah kha ding e, chih, lau kei ve.
20Naogopa, huenda nitakapokuja kwenu nitawakuta katika hali nisiyopenda, nami itanilazimu kuwa katika hali msiyoipenda. Naogopa huenda kukawa na ugomvi, wivu, uhasama, ubishi, masengenyano, kunong'ona, majivuno na fujo kati yenu.
21Chih leh ka hong chiangin ka Pathianin na lak uah honhihzahlak nawnin, tualama thil hihkhialte laka thil sianglou hihte, kingaihte, hukte chinga kisik tuanlo mi tampite ka kah kha ding e, chih, lau kei ve.
21Naogopa huenda hapo nitakapokuja safari ijayo Mungu wangu atanifanya niaibike mbele yenu, nami nitaomboleza kwa ajili ya wengi wa wale waliotenda dhambi lakini hawakujutia huo uchafu, tamaa zao mbaya na uzinzi waliokuwa wamefanya.