Paite

Swahili: New Testament

2 Corinthians

11

1ka hai deuhna ah nouten non thuaktheih uh ut hi nange: A hi, thuak leng non thuakthei ua.
1Laiti mngenivumilia kidogo, hata kama mimi ni mjinga kiasi fulani! Naam, nivumilieni kidogo.
2Pathian hawmthohnaa, thikthuse khopin ahi nou kon hawmthoh; Kris kianga nungaksiangthou banga ka honpiak theihna dingin, pasal khat kon hawisak ngala.
2Ninawaoneeni wivu lakini ni wivu wa Mungu; maana ninyi ni kama bikira safi niliyemposa kwa mwanamume mmoja tu ambaye ndiye Kristo.
3Himahleh, gulin a zuau pila Evi a khem bangin, Kris lama takna leh siangthouna akipan bangchi hiamin na lungsim uh a hihse kha ding uhi, chih ka lauthawng ahi.
3Lakini naogopa kwamba, kama vile yule nyoka kwa hila zake za uongo alimdanganya Hawa, fikira zenu zaweza kupotoshwa, mkauacha uaminifu wenu wa kweli kwa Kristo.
4Khattei hongpaia Jesu dang, a thu ka gen ngei louh uh, a gena, kha lamdang na muh ngei louh uleh, tanchin hoih lamdang na san ngei louh uh, na san un tuh, kipe baih lua na himah kei ding uhia.
4Maana mtu yeyote ajaye na kumhubiri Yesu aliye tofauti na yule tuliyemhubiri, ninyi mwampokea kwa mikono miwili; au mnakubali roho au habari njema tofauti kabisa na ile mliyopokea kutoka kwetu!
5Hiai sawltak lianpente tuh banglampeuh ah leng phak louh ka kigingta kei hi.
5Sidhani kwamba mimi ni mdogo kuliko hao "mitume wakuu."
6Thugen ah jaw pau zat siam kei mahleng leng theihna ah jaw huchibang ka hi kei; ahi, kong bangkim ah, leh thil tengteng ah, noumau lamah ka kilangsak uhi.
6Labda sina ufasaha wa lugha, lakini elimu ninayo; jambo hili tumelionyesha wazi kwenu, kila mahali na kila wakati.
7A hihkeileh, Pathian Tanchin Hoih a thawn lela kon hilh jiaka tawisana na om theihna ding ua ka kihihniamin thil ka hihkhial ahia?
7Mimi niliihubiri kwenu Habari Njema ya Mungu bila kudai mshahara; nilijinyenyekeza ili nipate kuwakweza ninyi. Je, nilifanya vibaya?
8Na na uh ka sep theihna dingin amau akipana loh lain, saptuam pawl dangte ka lok ahi;
8Nilipofanya kazi kati yenu, mahitaji yangu yaligharimiwa na makanisa mengine. Kwa namna moja au nyingine niliwapokonya wao mali yao nipate kuwatumikia ninyi.
9Huan, na kiang ua ka oma, ka taksap laiin, kuamah kon hihbuai kei a; unau Masidonia gama kipana hongpaiten ka taksapawng a honghuksak ngal ua: bangkimah noumau hihbuai louin ka kibawla, huchibangin ka kibawl jel ding hi.
9Nilipokuwa nanyi sikumsumbua mtu yeyote nilipohitaji fedha; ndugu waliotoka Makedonia waliniletea kila kitu nilichohitaji. Nilikuwa mwangalifu sana nisiwe mzigo kwa namna yoyote ile, na nitaendelea kufanya hivyo.
10Kris thutak keimaha a om bangin, hiai ka kisuanna jaw Akhaia gam lama hihdaihin om kei ding.
10Naahidi kwa ule ukweli wa Kristo ulio ndani yangu, kwamba hakuna kitakachoweza kunizuia kujivunia jambo hilo popote katika Akaya.
11Bangjiakin? kon it louh jiak hia? Pathianin kon it a thei.
11Kwa nini nasema hivyo? Kwa sababu eti siwapendi ninyi? Mungu anajua kwamba nawapenda!
12Huan, a nasep uh kisaktheihpiha, kou sep bang banga sem kichite kichihna ka bulkalh theihna dingin ka sep tuh ka sem zomjel ding.
12Nitaendelea kufanya kama ninavyofanya sasa, ili nisiwape nafasi wale wanaotafuta nafasi, nafasi ya kujivuna kwamba eti wanafanya kazi kama sisi.
13Mi huchibangte jaw Kris sawltaka kibawl tawma, sawltak takloute, nasemmi mi khem hatte ahi ngal ua.
13Maana, hao ni mitume wa uongo, wafanyakazi wadanganyifu wanojisingizia kuwa mitume wa Kristo.
14Huai a hihleh a lamdang kei; Setan hial leng vak sawltakin a kibawl tawm nak ahi.
14Wala si ajabu, maana hata Shetani mwenyewe hujisingizia kuwa malaika wa mwanga!
15Huaijiakin, a nasemte leng diktatna nasemmiin kibawl tawm mahle uh thil lamdang ahi kei; huaite tawpna jaw a thil hih bang jel un ahi ding hi.
15Kwa hiyo si jambo la kushangaza ikiwa na hao watumishi wake wanajisingizia kuwa watumishi wa haki. Mwisho wao watapata kile wanachostahili kufuatana na matendo yao.
16Ka chi nawn: kuamahin mi haiin honsep kei uhen: himahleh non seh vanglak uleh, ken leng neu chik beka ka kisaktheih sam theihna dingin mi hai bang takin honpom un.
16Tena nasema: Mtu asinifikirie kuwa mpumbavu. Lakini kama mkifikiri hivyo, basi, nichukueni kama mpumbavu ili nami nipate kuwa na cha kujivunia angaa kidogo.
17Ka gen jaw Toupa thuneihnain ka gen keia, ka kisaktheihna hai bang takin ka gen jaw ahi.
17Ninachosema sasa si kile alichoniagiza Bwana; kuhusu jambo hili la kujivuna, nasema tu kama mtu mpumbavu.
18Mi tampiten khovel thilte a kisaktheihpih jiak un kei leng kong kisathei samdeh.
18Maadam wengi hujivuna kwa sababu za kidunia, nami pia nitajivuna.
19Nou bel mi pil na hih jiak un mihaite lungkim takin na thuakzou jel ua.
19Ninyi ni wenye busara, ndiyo maana hata mnawavumilia wapumbavu!
20Min salin honbawl le uh, honne gai le uh, nuamtak honsa le uh, amau leh amau na tunguah kiliansak le uh, na mai uah honbeng le uh, na thuakthei jel ngal ua.
20Mnamvumilia hata mtu anayewafanya ninyi watumwa, mtu mwenye kuwanyonya, mwenye kuwakandamiza, mwenye kuwadharau na kuwapiga usoni!
21Huchi dia jaw hatlou lua mah kei ve ua! -kisitin ka gen ahi.
21Kwa aibu nakubali kwamba sisi tulikuwa dhaifu. Iwe iwavyo, lakini kama kuna mtu yeyote anayethubutu kujivunia kitu--nasema kama mtu mpumbavu--mimi nathubutu pia.
22Hebrute ahi u hia? kei leng ka hi. Isrealte ahi u hia? kei leng ka hi. Abraham suante ahi u hia? kei leng ka hi.
22Je, wao ni Waebrania? Hata mimi. Je, wao ni Waisraeli? Hata mimi. Wao ni wazawa wa Abrahamu? Hata mimi.
23Kris nasemte ahi u hia? (mi hai bangin genta leng) ka hi sem; sep gimna bang ah thupi semin, suangkulha tanna ah bang thupi sem in, vuakna ah bang akan avalin, sihnaah bang tamveipi.
23Wao ni watumishi wa Kristo? Hata mimi--nanena hayo kiwazimu--ni mtumishi wa Kristo zaidi kuliko wao. Mimi nimefanya kazi ngumu zaidi, nimekaa gerezani mara nyingi zaidi, nimepigwa mara nyingi zaidi na nimekaribia kifo mara nyingi.
24Judate lakah vuakna khat veia sawmli chinglou nga vei ka tuaka;
24Mara tano nilichapwa vile viboko thelathini na tisa vya Wayahudi.
25Thumvei chianga khetin ka oma, khatvei suanga denin ka oma, thumvei long siatna ka tuaka, jan khat leh ni khat tuipi ah taihmangin ka om a,
25Nilipigwa viboko mara tatu, nilipigwa mawe mara moja; mara tatu nilivunjikiwa meli baharini, na humo nikakesha usiku kucha na kushinda mchana kutwa.
26Khualzinna ah tam veipi, luite laka lauhuai, suammite laka lauhuai, ka chipihte laka lauhuai, Jentelte laka lauhuai, khopia a lauhuai, gamdaia lauhuai, tuipia lauhuai, unau takloute laka lauhuai;
26Kila mara safarini nimekabiliwa na hatari za mafuriko ya mito, na hatari za wanyama; hatari kutoka kwa wananchi wenzangu na kutoka kwa watu wa mataifa mengine; hatari za mjini, hatari za porini, hatari za baharini, hatari kutoka kwa ndugu wa uongo
27Septawlna leh sepgimna, ihmutmohna ah tamveipi, gilkial leh dangtakna ah, anngawlna ah tamveipi, khosik leh vuaktang a omna ah bang.
27Nimefanya kazi na kutaabika, nimekesha bila usingizi mara nyingi; nimekuwa na njaa na kiu; mara nyingi nimefunga na kukaa katika baridi bila nguo.
28Huan, hiaite bana kigen lou saptuam pawl tengteng ka ngaihtuahna ni tenga hondelh gige leng a om hi.
28Na, licha ya mengine mengi, kila siku nakabiliwa na shughuli za makanisa yote.
29Ka hat louh pih louha hat lou kua a om ngei? kei lungnoplouhpih louha hihpuk kua a om ngeia?
29Kama mtu yeyote ni dhaifu, nami pia ni dhaifu; mtu yeyote akikwazwa, nami pia huwa na wasiwasi.
30Suang ding ka hihvang lakleh ka hatlouhna lam thilte ahi ka suan ding.
30Ikinilazimu kujivuna, basi, nitajivunia udhaifu wangu.
31Toupa Jesu Pathian leh Pa, khantawna hamphaa omin, juau ka gen louhdan a thei hi.
31Mungu na Baba wa Bwana Yesu--jina lake litukuzwe milele--yeye anajua kwamba sisemi uongo.
32Damaska khua ah kumpipa Areta nuaia gamukpan honman dingin Damaskate khopi a veng saka;Huan, tohletah kulh julah bawmin honkhai khia ua, huchiin, a khuta kipan ka suakta hi.
32Nilipokuwa Damasko, mkuu wa mkoa, aliyekuwa chini ya mfalme Areta, alikuwa akiulinda mji wa Damasko ili apate kunikamata.
33Huan, tohletah kulh julah bawmin honkhai khia ua, huchiin, a khuta kipan ka suakta hi.
33Lakini, ndani ya kapu kubwa, niliteremshwa nje kupitia katika nafasi ukutani, nikachopoka mikononi mwake.