Paite

Swahili: New Testament

2 Corinthians

10

1Huan, kei Paula, na lak ua na mitmuh ua thunuailut taka oma, na kiang ua om louh taka noumau lama khauh ngal nakin, Kris lungnemna leh nunnemnain honngen ahi;
1Mimi Paulo mwenyewe ambaye naonekana kuwa mpole nikiwa pamoja nanyi, lakini mkali wakati nikiwa mbali nanyi, nawasihini kwa huruma na wema wake Kristo.
2A hi, na kiang ua ka om chiangin, khenkhat sa banga oma honsepte tunga hang taka om ka tup ngamna bangin, kon khauhkhum akul louhna dingin kon ngen ahi.
2Nawaombeni msinisababishe kuwa mkali wakati nitakapokuja, maana nina hakika naweza kuwa mkali kwa wote wale wanaotudhania kwamba tunaishi kidunia.
3Sa ah om mahleng, sa kidou bangin i dou kei ua,
3Kweli tunaishi duniani, lakini hatupigani vita kidunia.
4Eite kigalvannate jaw sa leng ahi keia, kulhpi kip tak phelna dinga Pathian jiaka thilhih thei tak galvan ahi jaw.
4Maana, silaha tunazotumia katika vita vyetu si silaha za kidunia, ila ni nguvu za Mungu zenye kuharibu ngome zote. Tunaharibu hoja zote za uongo,
5Lunga gel pansante leh thil sang chiteng Pathian theihna dal dinga sang taka bawlte i phuk jel; ngaihtuahna chiteng Kris thumanna sikhaa piin;
5na kubomoa kila kizuizi cha majivuno kilichowekwa kuipinga elimu ya Mungu; tunaziteka fikira zote na kuzifanya zimtii Kristo.
6Na thumandan uh hihkima a om chiangin, thumanlouhna tengteng phula ding nangawn aleng mansaa omin.
6Mkisha kuwa wakamilifu katika kutii, sisi tuko tayari kuadhibu kila namna ya kutotii.
7Na mitmuh ua, thil omte en jel un. Kuamahin Krisa hia a kigintak leh, hiai tuh amah ngaihtuah nawn hen, amah Krisa hi mahbangin, koute leng ka hi sam uhi.
7Ninyi hutazama mambo kwa nje tu. Je, yupo mtu yeyote anayedhani kwamba yeye ni wa Kristo? Sawa! Basi, afikirie vilevile kwamba sisi pia ni wa Kristo kama yeye alivyo wa Kristo.
8Ka thuneihna uh (nou hihsiatna ding ahi keia, noumau bawl hoih jawkna dinga Toupan a honpiak) suang nawn semsem mahle ung ka zahlak kei ding uhi.
8Hata kama nimezidi katika kujivuna kwangu juu ya ule uwezo aliotupa--uwezo wa kuwajenga na sio wa kubomoa--hata hivyo sijutii hata kidogo.
9Ka lai khakte-a nou honhihlau tum banga ka lat louhna dingin huai ka chi ahi.
9Sipendi mfikiri kwamba nataka kuwatisha ninyi kwa barua zangu.
10A laikhakte jaw a gikin, a khauha, a pumpi lam bel a jawngkhala, apau leng a hawmthohhuai ahi, a chi ngal ua.
10Mtu anaweza kusema: "Barua za Paulo ni kali na zenye maneno mazito, lakini yeye mwenyewe anapokuwa pamoja nasi ni mtu dhaifu, na hata anapoongea maneno yake ni kama si kitu."
11Ka om mang chiang ua ka laikhakte ua ka thu gelh uleh, huailaia na kiang ua ka om chiang ua ka hih ding uh a kibatlouhna a om kei chih huchibang miten a theisiam ding uh ahi.
11Mtu asemaye hivyo heri akumbuke kwamba hakuna tofauti ya yale tunayoandika katika barua wakati tuko mbali, na yale tutakayofanya wakati tutakapokuwa nanyi.
12Khenkhat amau kiphatte lakah ka kisim khawm ngam kei ua, amau toh leng ka kitenpih ngam sam uh ahi keia, ahihhangin, amau jaw amau leh amau kitehin, amau leh amau kitehpihin lungsim neilouin a om uhi.
12Kwa vyovyote hatungethubutu kujiweka au kujilinganisha na wale watu wanaojisifia wenyewe. Watu wenye kujifanya wao kuwa kipimo cha kujipimia, na watu wanaojilinganisha wenyewe kwa wenyewe, ni wapumbavu.
13Kou jaw ka tehna hun val un ka uang kei ding uh, Pathianin uk a hontang saka, huai tehna bang jelin ka uang zo ding uhi, noumaute leng uk hial dinga tehna.
13Lakini sisi hatutajivuna kupita kiasi; kujivuna huko kutabaki katika kile kipimo cha kazi aliyotukabidhi Mungu, kazi ambayo tunaifanya pia kwenu.
14Uk phal louhpi honuk bangin ka huap lian lo ngal kei ua; Kris Tanchin Hoih genin na kho pha un leng ka hongpai uhi.
14Na kwa vile ninyi mu katika mipaka hiyo, hatukuipita tulipokuja kwenu, tukiwaleteeni Habari Njema juu ya Kristo.
15Ka tehna hun val uh, midang sepgimte jaw, ka suang kei ua; na ginna uh a khandan bang jelin, na lak ua ka louma uh nakpitaka hihletin leh om chih lametna ka nei jaw uhi,
15Basi, hatujivunii kazi waliyofanya wengine zaidi ya kipimo tulichopewa; ila tunatumaini kwamba imani yenu itazidi miongoni mwenu kufuatana na kipimo alichotuwekea Mungu.
16Midang loumaa a sepsa suang louin, na khen lam gam uh phaa leng Tanchin Hoih ka gen theihna ding un.
16Hapo tutaweza kuihubiri Habari Njema katika nchi nyingine, mbali nanyi; na haitakuwa shauri la kujivunia kazi waliyofanya watu wengine mahali pengine.
17Himahleh, a suang peuhin Toupa suang hen.Amah kiphatin phat a loh ngal keia, Toupan a gen hoihin phat a loh jaw ahi.
17Lakini kama yasemavyo Maandiko: "Mwenye kuona fahari na aone fahari juu ya alichofanya Bwana."
18Amah kiphatin phat a loh ngal keia, Toupan a gen hoihin phat a loh jaw ahi.
18Anayekubaliwa si yule anayejisifu mwenyewe, bali yule anayesifiwa na Bwana.