1Misiangthoute adia thilpiak thu jaw na kiang uah ka gelh a kiphamoh kei:
1Si lazima kuandika zaidi kuhusu huduma hiyo yenu kwa ajili ya watu wa Mungu.
2Na kimandan uh ka thei ngala, huailam thu ah jaw, kum khat a hita Akhaia gam thu kimansain a omta, chiin, Masidonia gama mite kiangah ka honsuang jela; huchiin, na phattuamngaihna un a lak ua mi tampi a tokhalhta hi.
2Ninajua jinsi mlivyo na moyo wa kusaidia, na nilijivuna juu yenu kuhusu jambo hilo mbele ya watu wa Makedonia. Niliwaambia: "Ndugu zetu wa Akaya wako tayari tangu mwaka jana." Hivyo, moto wenu umekwisha wahimiza watu wengi zaidi.
3Hiamahleh, huailam thu ah jaw kon suanna bangmah lou a honghih louhna dingin unaute ka hoh sak jela, ka gen bang taka kimansaa nana om theihna ding un.
3Basi, nimewatuma ndugu zetu hao, ili fahari yetu juu yenu ionekane kwamba si maneno matupu, na kwamba mko tayari kabisa na msaada wenu kama nilivyosema.
4Huchilou injaw, Masidonia gama mi kuate hiamin honzuih zenzen uleh, kimansa loua honmuh ua leh, kou-nou kon chi kei uh-hiai kon ginna uh lamah ka zahlak kha ding uh.
4Isije ikawa kwamba watu wa Makedonia watakapokuja pamoja nami tukawakuta hamko tayari, hapo sisi tutaaibika--bila kutaja aibu mtakayopata ninyi wenyewe--kwa sababu tutakuwa tumewatumainia kupita kiasi.
5Huaijiakin, unaute bel nou kianga hong masaa, hoih taka thilpiak na chiam kholhte uh na bawl khol dinga, nget kiphamohin ka gingta hi, huai tuh laksak teitei bang hi loua, phal taka piak bang jawin mansaa na omna ding un.
5Kwa hiyo, nimeona ni lazima kuwaomba hawa ndugu watutangulie kuja kwenu, wapate kuweka tayari zawadi yenu kubwa mliyoahidi; nayo ionyeshe kweli kwamba ni zawadi iliyotolewa kwa hiari na si kwa kulazimishwa.
6Ahihhangin huailam thu ah jaw, theh tawmin a at tawm nading, theh tamin a at tam nading hi.
6Kumbukeni: "Apandaye kidogo huvuna kidogo; apandaye kwa wingi huvuna kwa wingi."
7Mi chihin it pipi-a pe louin, piak louh theih louh banga leng ngaihtuaha pe tuan louin, a lungtang ua a tup bang jel un pe chiat heh; Pathianin kipak taka pe mi ahi, a it.
7Kila mmoja, basi, na atoe kadiri alivyoamua, kwa moyo na wala si kwa huzuni au kwa kulazimishwa, maana Mungu humpenda yule mwenye kutoa kwa furaha.
8Huan, Pathianin hehpihna chitengin na tunguah a vukthei ahi; huchiin, nou bangkim ah a hun ngail nei gigein, nasep hoih chiteng adingin na hau thei ding uhi;
8Mungu anaweza kuwapeni ninyi zaidi ya yale mnayoyahitaji, mpate daima kuwa na kila kitu mnachohitaji, na hivyo mzidi kusaidia katika kila kazi njema.
9A hawm jaka; gentheite kiangah a piaa; a diktatna khantawnin a om gige, chih gelh bangin.
9Kama yasemavyo Maandiko Matakatifu: "Yeye hutoa kwa ukarimu, huwapa maskini, wema wahudumu milele."
10Huan, thehpa kianga a chi pepa leh nek dinga tanghou pepan na theh ding uh chi tuh a honpe dia a hon hihpung sak dinga, na diktanna gahte uh leng a honhih pung sak ding.
10Na Mungu ampaye mkulima mbegu na mkate kwa chakula, atawapa ninyi pia mbegu mnazohitaji, na atazifanya ziote, ziwe na kuwapa mavuno mengi ya ukarimu wenu.
11Thilphalna chiteng, kou jiaka Pathian kianga kipahthu genna pen nei dinga, bangkima hih hauha omin,
11Yeye atawatajirisha ninyi daima kwa kila kitu, ili watu wapate kumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi zenu wanazozipokea kwa mikono yetu.
12Hiai sepsakna nain misiangthoute taksapna awng te a huksak kia leng ahi keia, Pathian kianga kipahthu genna tampi hiin, a luang let nalai ahi;
12Maana huduma hii takatifu mnayoifanya si tu kwamba itasaidia mahitaji ya watu wa Mungu, bali pia itasababisha watu wengi wamshukuru Mungu.
13Hiai nasepnaa etkhiak a om in Kris Tanchin Hoih lama na thugin uh na zuih dan thu uleh, amau ading leh mi tengteng adia thilpiaka na thil phaldan un Pathian na hihthupi ding uh ahi;
13Kutokana na uthibitisho unaoonyeshwa kwa huduma hii yetu, watu watamtukuza Mungu kwa sababu ya uaminifu wenu kwa Habari Njema ya Kristo mnayoiungama, na pia kwa sababu ya ukarimu mnaowapa wao na watu wote.
14Amau ngeiin leng na tung ua Pathian hehpihna thupi mahmah jiakin, nou adia thum sak kawmin a honngai ngail uhi.A thilpiak gen zohvual louh jiakin Pathian kiangah kipahthu om hen.
14Kwa hiyo watawaombea ninyi kwa moyo kwa sababu ya neema ya pekee aliyowajalieni Mungu.
15A thilpiak gen zohvual louh jiakin Pathian kiangah kipahthu om hen.
15Tumshukuru Mungu kwa ajili ya zawadi yake isiyo na kifani!