Paite

Swahili: New Testament

2 Corinthians

3

1Koumau kigenhoih ka pan nawn dekta ua hia? Ahihkeileh, na kiang ua piak ding hiam aw, na kiang ua kipan hiam genhoihna lai, mi khenkhat adia a kiphamoh bangin, kou din a kiphamoh sam dia hia?
1Je, tunaanza tena kujipendekeza? Je, tunahitaji barua ya utambulisho kwenu, au kutoka kwenu, kama watu wengine?
2Noute ka lai uh, na lungtang ua gelh, mi tengteng theih leh sim na hi uhi;
2Ninyi wenyewe ni barua yetu; barua iliyoandikwa mioyoni mwetu kila mtu aione na kuisoma.
3Kris lai, kou hon gelh sak laituia gelh hilou, Pathian hing Kha gelh hijaw, suangpeka gelh hilou, sa lungtang peka gelh hijaw na hi uh chih chiantakin na taklangta ngalua.
3Ni dhahiri kwamba ninyi ni barua ya Kristo aliyoipeleka kwa mikono yetu. Barua yenyewe imeandikwa si kwa wino, bali kwa Roho wa Mungu hai; imeandikwa si juu ya kipande cha jiwe, bali juu ya mioyo ya watu.
4Huan, Pathian lamah huchibang muanna Kris vangin ka nei uhi;
4Tunaweza kusema hayo kwa sababu ya tumaini letu tulilo nalo kwa Mungu kwa njia ya Kristo.
5Bangpeuh koumau akipana pawta sim dingin koumau kiain ka chin uh ka chi kei ua; ka chin theihna uh tuh Pathian kianga kipan ahi jaw.
5Si kwamba sisi tunaweza kufanya chochote kwa nguvu zetu wenyewe, ila uwezo wetu wote hutoka kwa Mungu:
6Amahmahin thukhun thak nasemte hi dingin honchingsaka; a lai thu gelh lel nasemte ding hilouin, a Kha nasemte din ahi jaw hi; lai thu gelh lelin jaw ahihlum nak ngala, Khain bel ahihhing nak ahi.
6maana yeye ndiye aliyetuwezesha kulihudumia Agano Jipya ambalo si agano la sheria iliyoandikwa, bali Agano la Roho. Maana sheria iliyoandikwa huleta kifo, lakini Roho huleta uzima.
7Mosi mel a vak jiakin Israel taten a mel a en gige theikei ua, huai thupina a mang hiaihiai a; sihna nasepna suanga laimal gelh bawn, huchi tela thupi-a a tun leh,
7Sheria iliwekwa kwa kuandikwa juu ya vipande vya mawe. Ingawaje mwisho wake umekuwa kifo, utukufu wake ulikuwa mkuu mno hata wana wa Israeli wasiweze kuutazama uso wa Mose kwa sababu ya mng'ao wake. Tena mng'ao huo ulikuwa wa muda tu. Basi, ikiwa huduma ya kile ambacho kimesababisha kifo imefanyika kwa utukufu mwingi kiasi hicho,
8Kha nasepna pen bangchi pheta thupiin a tung de aw?
8basi, huduma ya Roho ina utukufu mkuu zaidi.
9Siamlouh tansakna nasepna bawn a thupi leh, diktatna nasepna thupi lamah a thupi zo mahmah ding ahi.
9Ikiwa basi, kulikuwa na utukufu katika huduma ile iliyoleta hukumu, ni wazi kwamba huduma ile iletayo kukubaliwa kuwa waadilifu itakuwa na utukufu mkuu zaidi.
10Hihthupia omsain hiaiah jaw thupina himhim a neita ngal keia, thupina thupijawin a khuh tak jiakin.
10Sasa utukufu mkuu zaidi umechukua nafasi ya ule utukufu uliokuja hapo awali, ambao fahari yake imekwisha toweka.
11Mangta hiaihiai bawn thupia a tun leh, om gige ding tuh thupia tuamin om zo mahmah ding ahi.
11Maana ikiwa kile kilichokuwa cha muda tu kilikuwa na utukufu wake, bila shaka kile chenye kudumu milele kitakuwa na utukufu mkuu zaidi.
12Huan, huchi bang lametna ka neih jiakun hangtaka pan ngamna ka nei uhi,
12Kwa vile hili ndilo tumaini letu, sisi twasema kwa uhodari mkuu.
13Mosi hihbangin ka hih keiua, aman jaw thupina mangta hiaihiai man tawpna Israel taten a et gige louhna ding un a mai maikhuhnain a khuha;
13Sisi hatufanyi kama Mose ambaye alilazimika kuufunika uso wake kwa kitambaa ili watu wa Israeli wasiuone ule mwisho wa mng'ao uliokuwa unafifia.
14A lungsim ubel hihkhauhin a oma; tuni tanphain thukhun lui a sim un khuhna ngeina tuh hawk louhin a om gige ngala, huai khuhna tuh Kris ah hihmangin a omta hi.
14Lakini akili zao zilipumbazwa. Mpaka leo hii lisomwapo Agano la Kale, kifuniko hicho bado kipo. Kifuniko hicho kitaondolewa tu mtu anapoungana na Kristo.
15Himahleh, tuni tanphain Mosi Laibu a sim peuh chiang un a lungtang uah khuhna a om gige hi.
15Naam, mpaka hivi leo kila isomwapo Sheria ya Mose akili zao huwa zimefunikwa.
16Himahleh, a lungtang uh Toupa lama a ngat peuh chiangun khuhna tuh lakmang a hita ding hi.
16Lakini, wakati mtu amgeukiapo Bwana, kifuniko hicho huondolewa.
17Huan, Toupa tuh huai kha ahia, Toupa kha omna peuh ah noplenna a om jel hi.Huchiin, eite jaw i vek un mai khuh louin limlang banga Toupa thupina tangsawnsak jelin, amah kibatpih ngeingeia om dingin hihlamdanin i om jel; hiai tuh Toupa akipan i muh ahi; Amah tuh Kha ahi
17Hapa "Bwana" ni Roho; na pale alipo Roho wa Bwana ndipo ulipo uhuru.
18Huchiin, eite jaw i vek un mai khuh louin limlang banga Toupa thupina tangsawnsak jelin, amah kibatpih ngeingeia om dingin hihlamdanin i om jel; hiai tuh Toupa akipan i muh ahi; Amah tuh Kha ahi
18Basi, sisi sote ambao nyuso zetu hazikufunikwa, twaonyesha kama katika kioo, utukufu wa Bwana; tunabadilishwa tufanane zaidi na huo mfano wake kwa utukufu mwingi zaidi. Hiyo ni kazi yake Roho wa Bwana.