1Huchi a hih jiakin hehpihna ka muh bang jel un hiai nasepna ka neih jiak un ka lungke kei uhi;
1Basi, Mungu, kwa huruma yake, ametukabidhi kazi hii na hivyo hatufi moyo.
2Thil zumhuai kiselte tuh ka pampaih zota ua, zekhemna thu ka zang kei ua, Pathian thu tuh mi khemna dingin ka zang kei ua, thutak theisakin Pathian mitmuhin mi chih sia leh pha theihna mit ka tungsak jaw uhi.
2Tumeyaacha kabisa mambo yote ya aibu na ya kisirisiri. Hatuishi tena kwa udanganyifu, wala kwa kulipotosha neno la Mungu; bali tunaudhihirisha ukweli kwa kuufanya ukweli, na hivyo kujiweka chini ya uamuzi wa dhamiri za watu mbele ya Mungu.
3Himahleh, ka Tanchin Hoih uh khuha a om leh, mangthang lelte ah ahi khuha a om;
3Maana, kama Habari Njema tunayohubiri imefichika, imefichika tu kwa wale wanaopotea.
4Kris, Pathian batpih, a thupidan Tanchin Hoih vakin amau a salh vak theih louhna dingin, huaite ah hiai khovel Pathianin gingta loute lungsim a sukmial sakta hi.
4Hao hawaamini kwa sababu yule mungu wa ulimwengu huu amezitia giza akili zao wasipate kuuona wazi mwanga wa Habari Njema ya utukufu wa Kristo, ambaye ni mfano kamili wa Mungu.
5Koumau thu ka gen ngal kei ua, Kris Jesu Toupa ka gen jaw uhi, koute leng Jesu jiakin sikha ka hih uh leng ka gen jel uhi.
5Maana hatujitangazi sisi wenyewe, ila tunamhubiri Yesu Kristo aliye Bwana, sisi wenyewe tukiwa watumishi wenu kwa ajili ya Yesu.
6Jesu Kris melah Pathian thupidan theihna vak honpe dingin, miala kipan vak a vak khe ding, chi pa Pathianin I lungtangte sal vakta ngala.
6Mungu ambaye alisema, "Mwanga na uangaze kutoka gizani," ndiye mwenye kuiangaza mioyo yetu, na kutupatia mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu uangazao katika uso wa Kristo.
7Himahleh, thilhihtheihna thupina koutea hi loua, Pathiana a hih theih jawkna dingin, huai gou tuh leibel peuh ah ka kem uhi.
7Basi, sisi tulio na hazina hii tuko tu kama vyombo vya udongo, ili ionekane wazi kwamba nguvu hiyo kuu yatoka kwa Mungu wala si kwetu sisi wenyewe.
8Khat lam khat lama nehden in ka om ua, himahleh, ningkitelin ka om tuan kei uh; mangbangin ka om ua, himahleh ka lungke tuan kei uh;
8Daima twapata taabu, lakini hatugandamizwi; twapata mashaka, lakini hatukati tamaa;
9Sawiin ka om ua, himahleh, taisanin ka om tuan kei uh; khet pukin ka om ua, himahleh, hihmangin ka om tuan kei uh.
9twateseka, lakini hatuachwi bila msaada; na ingawa tumeangushwa chini, hatukuangamizwa.
10Ka pumpi uah chiklai peuhin leng Jesu sihna ka pu jel ua, Jesu hinna leng ka pumpi ua a lat theihna ding-in.
10Kila wakati tumekuwa tukichukua mwilini mwetu kifo cha Kristo, ili uhai wake Yesu pia udhihirike katika miili yetu.
11Koute hingdama om nalaite Jesu jiaka si dinga matsakin ka om gige ua Jesu hinna leng kasa sithei ua a lat theihna dingin.
11Naam, katika maisha yetu yote tunakabiliwa na kifo daima kwa ajili ya Yesu, ili uzima wake Yesu udhihirike katika miili yetu inayokufa.
12Huchiin, koute ah sihnain a sem gige a, nou ah bel hinnain a sem gige ahi.
12Hii ina maana kwamba ndani yetu kifo kinafanya kazi, lakini ndani yenu uhai unafanya kazi.
13Ahihhangin, Ka ginga, huaijiakin thu ka gen ahi, chih gelhp ginna lungsim ngei pui, kou leng ka ging ua, huaijiakin thu leng ka gen uhi;
13Maandiko Matakatifu yasema: "Niliamini, ndiyo maana nilinena." Nasi pia, tukiwa na moyo huohuo wa imani, tunaamini, na kwa sababu hiyo twanena.
14Toupa Jesu kaithoupan koute leng Jesu ah hon kaithou sam dinga, noumau toh amah omna munah honding sak ding chih theiin.
14Tunajua kwamba yule aliyemfufua Bwana Yesu atatufufua sisi pia pamoja na Yesu na kutuweka mbele yake pamoja nanyi.
15Bangkim noumau hoihna ding ahi ngala, hehpihna mi tam jaw jiaka hihkhana oma, Pathian thupina dinga kipahthugenna nakpi taka a khansak theihna dingin.
15Yote haya ni kwa faida yenu; ili kama vile neema ya Mungu inavyoenea kwa watu wengi zaidi na zaidi vivyo hivyo watu wengi zaidi watoe shukrani nyingi kwa utukufu wa Mungu.
16Huai thujiakin ka bah kei uhi; i po lam mihing jaw jawngkhal hiaihiai mahleh, i sunglam mihing pen ni tanga bawlthak jelin a om jaw ahi.
16Kwa sababu hiyo hatufi moyo; na hata kama maumbile yetu ya nje yataoza, lakini kwa ndani tunafanywa wapya siku kwa siku.
17Ka gimthuakna neukha uh, tu mitphiatkal sung kia om dingin, thupina thupitak khawntawna dingin a honbawl sak hulhul ahi;Thil muh theihte en louin, thil muhtheihlouhte ka en zo ngal ua; thil muhtheihte jaw sawtlou kal ading ahi a, thilmuhtheihlouhte bel khantawn ading ahi ngala.
17Taabu tunayopata ni kidogo, tena ya muda tu: lakini itatupatia utukufu upitao matazamio yote, utukufu ambao hauna mwisho.
18Thil muh theihte en louin, thil muhtheihlouhte ka en zo ngal ua; thil muhtheihte jaw sawtlou kal ading ahi a, thilmuhtheihlouhte bel khantawn ading ahi ngala.
18Hivyo tunatazamia kwa makini si vitu vinavyoonekana, bali visivyoonekana. Maana vinavyoonekana ni vya muda tu; lakini vile visivyoonekana ni vya milele.