1Huan, Pathian hehpihna phattuam pih loua na tan louhna ding un, amah seppih kouten kon ngen petmah uhi.
1Basi, tukiwa wafanyakazi pamoja na Mungu, tunawasihi msikubali ile neema mliyopokea kutoka kwa Mungu ipotee bure.
2Hun kipahhuai ah kon ngaikhiaa, hotdamna ni ah kon panpih, a chi ngala. Ngai un, tu hun kipahuai ahia; ngai un, tu hotdamna ni ahi.
2Mungu asema hivi: "Wakati wa kufaa nimekusikiliza, wakati wa wokovu nikakusaidia." Basi, sasa ndio wakati wa kufaa, sasa ndiyo siku ya wokovu!
3Ka nasepna uh dema om louhna ding in banglam peuhah kuamah puk lohna ding himhim ka bawl kei uhi;
3Kusudi tusiwe na lawama yoyote katika utumishi wetu, hatupendi kumwekea mtu yeyote kizuio chochote.
4Pathian nasemte bangin bangkim ah mi mit tungin ka om zo jel ua, nakpia kuhkalna ah bang, haksatna ah bang, taksapna ah bang, lunggimna ah bang,
4Badala yake, tunajionyesha kuwa kweli watumishi wa Mungu kwa kila kitu: kwa uvumilivu mwingi wakati wa mateso, shida na taabu.
5Vuakna ah bang, hentaknaah bang, buaina ah bang, sepgimna ah bang, ihmutmohna ah bang, gilkialna ah bang;
5Tumepigwa, tumetiwa gerezani na kuzomewa hadharani; tumefanya kazi tukachoka; tumekesha na kukaa bila kula.
6Siangthouna bang, theihna bang, dohtheihna bang, chitna bang, Kha siangthou bang.
6Tunajionyesha kuwa watumishi wa Mungu kwa usafi wa moyo, elimu, uvumilivu na wema; kwa Roho Mtakatifu, kwa upendo usio na unafiki,
7Itna taktak bang, thutakna bang, leh Pathian thilhihtheihna bang, neiin; taklam leh veilama diktatna galvante zangin;
7kwa ujumbe wa kweli na kwa nguvu ya Mungu. Uadilifu ndiyo silaha yetu upande wa kulia na upande wa kushoto.
8Thupina leh pahtawi louhna, min-gensiat leh mingenhoihna ah leng;
8Tuko tayari kupata heshima na kudharauliwa, kulaumiwa na kusifiwa. Twadhaniwa kuwa waongo, kumbe twasema kweli;
9Mikhemte banga bawlin ka om ua, mi diktat hi ngalin; mi theih tham louh bangin, min thangtak hi ngalin; si dekdek bangin, ngai dih ua, ka hing ngal ua, vuak bangin, hihlup ngal louhin;
9kama wasiojulikana, kumbe twajulikana kwa wote, kama waliokufa, lakini mwonavyo, sisi ni wazima kabisa.
10Lungkham bangin, himahleh kipak gige ngalin; genthei bangin, himahleh bangkim hau ngalin.
10Ingawa tumeadhibiwa, hatukuuawa; ingawa tunayo huzuni, twafurahi daima; ingawa tu maskini hohehahe, lakini twatajirisha watu wengi; twaonekana kuwa watu tusio na chochote, kumbe tuna kila kitu.
11Korinth-te aw, na kiang uah ka kam uh ka ka ua, ka lungtang uh a zata.
11Ndugu Wakorintho, tumezungumza nanyi kwa unyofu; mioyo yetu iko wazi kabisa.
12Koumau henchipin na om kei ua, noumau na thildeihlam uah na kihenchip jaw uh.
12Kama mnaona kuna kizuizi chochote kile, kizuizi hicho kiko kwenu ninyi wenyewe, na si kwa upande wetu.
13Huchiin kon piak bangbang honpe thuk sam dingin tate kianga gen bangin ka gen a hi-nou leng n alungtangte uh zasak sam un.
13Sasa nasema nanyi kama watoto wangu, wekeni mioyo yenu wazi kama nasi tulivyofanya.
14Ginglou mite toh kituak loupia hakkol po khawmin om kei un; diktatlouhna leh diktatnain bang ahia kikopna a neih uh? A hihkeileh, mial leh vakin bang ahia kithuahna a neih uh?
14Msiambatane na watu wasioamini. Je, wema na uovu vyapatana kweli? Mwanga na giza vyawezaje kukaa pamoja?
15Belial leh Kris inleng bang ahia kituahna a neih uh? Ahihkeileh, ginglou leh gingmin bang ahia tankhawm a neih uh?
15Kristo anawezaje kupatana na Shetani? Muumini ana uhusiano gani na asiyeamini?
16Milimte leh Pathian temple-in leng bang ahia kituahna a neih uh? Eite jaw Pathian hing temple i hi ngal ua; Pathianin, Amau ah ka om dia, amau ah leng ka pawt dia; huan, a Pathian uh ka hi dia, amau leng k amite ahi ding uh, a chih bangin.
16Hekalu la Mungu lina uhusiano gani na sanamu za uongo? Maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai. Kama Mungu mwenyewe alivyosema: "Nitafanya makao yangu kwao, na kuishi kati yao; Nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu."
17Huaijiakin, A lak ua kipanin hong pawt unla, a tuamin om un, thil sianglou himhim khoih kei un, Toupan a chi, huchiin, kon kipahpih dia,Nou din na Pa uh ka hi dia, nou leng kei din tanu tapa na hi ding uh, Toupa bang kim hihtheiin a chi.
17Kwa hiyo Bwana asema pia: "Ondokeni kati yao, mkajitenge nao, msiguse kitu najisi, nami nitawapokea.
18Nou din na Pa uh ka hi dia, nou leng kei din tanu tapa na hi ding uh, Toupa bang kim hihtheiin a chi.
18Mimi nitakuwa Baba yenu, nanyi mtakuwa watoto wangu, waume kwa wake, asema Bwana Mwenye Uwezo."