1Huchiin, deihtakte aw, huai thuchiam i neih jiak un, sa leh kha buahna tengteng ah i kisiangsak ding uh, Pathian laudan siam kawma siangthouna hih kimin.
1Basi, wapenzi wangu, tukiwa tumepewa ahadi hizi zote, na tujitakase na chochote kiwezacho kuchafua miili na roho zetu, tuwe watakatifu kabisa, na tuishi kwa kumcha Mungu.
2Na lungtang uah mun hon awn un; kua tungmah ah ka khial kei uh, kuamah ka hihgawp kei uh, kuamah tungah hamphat ka tum kei uhi.
2Tunaomba mtupe nafasi mioyoni mwenu! Hatujamkosea mtu yeyote, hatujamdhuru wala kumdanganya mtu yeyote.
3Huai tuh siamlouh nou hongtangsak dingin ka chi kei; sih leh sih chiata, dam leh dam chiat dingin ka lungtang uah nou kon vom uh chih tu-ma zekin ka genta hi.
3Sisemi mambo haya kwa ajili ya kumhukumu mtu; maana, kama nilivyokwisha sema, ninyi mko mioyoni mwetu, tufe pamoja, tuishi pamoja.
4Nou lamah jaw ka pau ngamdan a thupia kon suandan a thupi hi: khamuanna in ka dima, ka haksatna tengteng uah nuamsain ka dimlet a.
4Nina imani kubwa sana ninaposema nanyi; naona fahari kubwa juu yenu! Katika taabu zetu nimepata kitulizo kikubwa na kufurahi mno.
5Masidonia gam ka tun un leng ka sa un muanna himhim a nei tuan kei a, khat lam khat lama hihgimin ka om zota ua; po lam kisualnate bang a oma; sunglam launate bang a om hi.
5Hata baada ya kufika Makedonia hatukuweza kupumzika. Kila upande tulikabiliwa na taabu: nje ugomvi; ndani hofu.
6Himahleh, nuaisiaha omte khamuanpa, Pathianin,
6Lakini Mungu, mwenye kuwapa shime wanyonge alitupa moyo sisi pia kwa kuja kwake Tito.
7Tita hongnain hon khamuanta a; a hongna kiain ahi keia, na lungjuandan te uh, na kahdante uh, ka tunga na phattuamngaihdan te uh honhilhin, noumaua a khamuanna mahin leng a honkhamuanta ahi; huchiin, ka kipak nawn sem hi.
7Si tu kwa kule kuja kwake Tito, bali pia kwa sababu ya moyo mliompa ninyi. Yeye ametuarifu jinsi mnavyotamani kuniona, jinsi mlivyo na huzuni, na mnavyotaka kunitetea. Jambo hili linanifurahisha sana.
8Ka laikhakin honhihlungkham mahleng, ka kisik kei hi; a tungin ahihleh ka kisika, huai laikhakin nou a honhihlungkham chih ka theih jiakin; himahleh sawtlou kal kia ahi a.
8Maana, hata kama kwa barua ile yangu nimewahuzunisha, sioni sababu ya kujuta. Naam, naona kwamba barua hiyo iliwatia huzuni lakini kwa muda.
9Tun jaw ka kipak ahi, hihlungkhama na om jiak uh ahi keia, kisikna dinga na lungkham jiak un ahi jaw hi. Koumau jiaka bangmah na tan louhna ding un Pathian deihlam banga hihlungkhamin na om ngal ua.
9Sasa nafurahi, si kwa sababu mmehuzunika, ila kwa kuwa huzuni yenu imewafanya mbadili nia zenu na kutubu. Mmehuzunishwa kadiri ya mpango wa Mungu, na kwa sababu hiyo hatukuwadhuru ninyi kwa vyovyote.
10Pathian deihlam banga lungkhamnain hotdamna dingin, kisikna a bawla, kisikhuai thil a tun kei; khovel lungkhamna inbel sihna abawl zo nak hi.
10Kuwa na huzuni jinsi atakavyo Mungu, husababisha badiliko la moyo, badiliko lenye kuleta wokovu; hivyo hakuna sababu ya kujuta. Lakini huzuni ya kidunia huleta kifo.
11En mah un, Pathian deihlam a lungkhamnain bangchibang chihtakna, bangchibang kihahsiang nopna, bangchibang ki-awilouhna, bangchibang patauhna, bangchibang lunggulhna, bangchibang phattuamngaihna, bangchibang gawtna ahia nou-a dia hontuttak. Bangkim ah huai thu ah na siang uh chih nakihihlang ta uhi.
11Sasa mnaweza kuona matokeo ya kuona huzuni jinsi Mungu atakavyo: ninyi mmepata kuwa sasa watu wenye jitihada, wenye hoja, mnashtuka na kuogopa, mna bidii na mko tayari kuona kwamba haki yatekelezwa. Ninyi mmethibitisha kwa kila njia kwamba hamna hatia kuhusu jambo hili.
12Huchiin, na kiang uah gelh mahleng, a gilou hihpa jiakin ka gelh keia, a gilou thuakpa jiakin leng ka gelh sam kei, ka tung ua na phattuam ngaihdan uh Pathian mitmuha na kiang ua theihsaka a om theihna dingin ka gelh ahi jaw hi.
12Hivyo, ingawa niliandika ile barua, haikuwa kwa ajili ya yule aliyekosa, au kwa ajili ya yule aliyekosewa. Niliandika kusudi ionekane wazi mbele ya Mungu jinsi mlivyo na bidii kwa ajili yetu.
13Huaijiakin, khamuannain ka omta him ua; koumau khamuanna kia lou ah leng, Tita kipahna jiakin ka kipak nawn sem ua, nou tengtengin a lungsim na hihhalh sak tak jiakun.
13Ndiyo maana sisi tulifarijika sana. Siyo kwamba tulifarijika tu, ila pia Tito alitufurahisha kwa furaha aliyokuwa nayo kutokana na jinsi mlivyomchangamsha moyo.
14A kiangah banglam peuhah leng noumau honsuang mah le ung, ka zahlak ngal kei ua, zahlak nak sangin bangkim, na kiang ua thu taktak a ka gen jel bang un, Tita maa a kon suan uh tuh thu taktak a honghita ngei hi.
14Mimi nimewasifu sana mbele yake, na katika jambo hilo sikudanganyika. Tumewaambieni ukweli daima, na kule kuwasifia ninyi mbele ya Tito kumekuwa jambo la ukweli mtupu.
15Huan, na vek ua a thu na mandante uh, lau leh ling kawma amah na kipahpih dante uh thei gigein, a lungsim tuh noumau lamah a nak ten nawnsem ta ahi.Thil bangkim ah na tung ua ka muan jiakin ka kipak ahi.
15Hivyo upendo wake wa moyo kwenu unaongezeka zaidi akikumbuka jinsi ninyi nyote mlivyo tayari kutii, na jinsi mlivyomkaribisha kwa hofu nyingi na kutetemeka.
16Thil bangkim ah na tung ua ka muan jiakin ka kipak ahi.
16Nafurahi sana kwamba naweza kuwategemea ninyi kabisa katika kila jambo.