1Himahleh, mite lakah jawlnei takloute leng a hongpawt ua, huchibangin na lak uah leng heute takloute a hongom ding uh, amau tuh, amaute leipa Toupa hilhial tawpsanin mi hihsethei gintuamte a gukin a honlut pih ding ua, amau tungah thakhatin manthatna a tungsak ding uhi.
1Palitokea manabii wa uongo kati ya watu, na vivyo hivyo walimu wa uongo watatokea kati yenu. Watu hao wataingiza mafundisho maharibifu na kumkana Bwana aliyewakomboa, na kwa njia hiyo watasababisha ghafla maangamizi yao wenyewe.
2Huan, mi tampiin a jautatna lam thil uh a honching teisam ding ua, amau jiakin lam dik tuh gensiat ahi ding hi.
2Tena watu wengi watazifuata hizo njia zao mbaya, kwa sababu yao, wengine wataipuuza Njia ya ukweli.
3Huan, sum en jiakin juauthuin sumsinna ding nou a honzang ding uh; himahleh nidanglaia a tung ua thupuk tuh a khawl keia, a manthatna uh leng a ihmu kei hi.
3Kwa tamaa yao mbaya watajipatia faida kwa kuwaambieni hadithi za uongo. Lakini kwa muda mrefu sasa Hakimu wao yu tayari, na Mwangamizi wao yu macho!
4Angelten thil a hihkhelh lai un Pathianin a hawi keia, gawtmun ah a paia, vaihawm dingin guamkhukthuk mial ah a khum zo ngala;
4Malaika walipotenda dhambi, Mungu hakuwahurumia, bali aliwatupa katika moto wa Jehanamu ambako wamefungwa wakingojea Siku ile ya Hukumu.
5huan, amah limsakloute omna khovel ah tuichim tung sakin, nidanglai khovel tuh a hawi keia, himahleh, Noa diktatna thugenpa, mi dang sagih toh a hondamta hi;
5Mungu hakuihurumia dunia ya hapo kale, bali alileta gharika kuu juu ya nchi ile ya watu wasiomcha Mungu; lakini Noa ambaye alihubiri uadilifu, Mungu alimwokoa pamoja na watu wengine saba.
6Sodom leh Gomorra khuate tuh amah limsak lou hongom dingte etsakna dingin a zanga, vut suak sakin, hihmang thangin siamlouh a tangsakta a;
6Mungu aliadhibu miji ya Sodoma na Gomora, akaiteketeza kwa moto, akaifanya iwe mfano wa mambo yatakayowapata watu wasiomcha Mungu.
7huan, Lota mi diktat, mi giloute omdan huk tak jiaka lungkham mahmahpa tuh a hondamtaa;
7Alimwokoa Loti, mtu mwema, ambaye alisikitishwa sana na mwenendo mbaya wa watu hao waasi.
8(Huai mi diktat tuh a lak ua a omin, a mitin a mu a, a bilin a jaa, dan lou banga a thilhihte un a lungsim diktat tuh ni tengin a hihna mahmah ngala).
8Loti aliishi miongoni mwa watu hao, na kwa siku nyingi moyo wake ulikuwa katika wasiwasi mkuu aliposikia matendo yao maovu.
9Toupan amah limsakmite tuh khemna apat hotkhiakdan leh, diktatloute tuh vaihawm ni adinga gawt kawma hawi dan a thei;
9Kwa hiyo, basi, Bwana anajua jinsi ya kuwaokoa katika majaribu watu wanaomcha Mungu, na jinsi ya kuwaweka waovu katika adhabu hadi Siku ile ya hukumu,
10utna thanghuai lama sa banga om leh, vaihawm sakna musitmite ngial houh vaihawm nia dinga gawt kawma hawi dan a thei sem ahi. Haihan leh chihhak ahi ua a thupite a gensiat un leng a ling kei uhi;
10hasa wale wanaofuata tamaa mbaya za mwili na kupuuza mamlaka. Watu hao ni washupavu na wenye majivuno, huvitukana na hawaviheshimu viumbe vitukufu vya juu.
11angel hatna leh thilhihtheihna neiten bawn, amaute dema Toupa maa gense ngei lou hi ua.
11Lakini malaika, ambao wana uwezo na nguvu zaidi kuliko hao walimu wa uongo, hawawashtaki na kuwatukana hao mbele ya Bwana.
12Himahleh, hiaiten bel ganhing ngaihtuahna neilou, mata hihman dinga sa kiaa piangte bangin, thil a theih louhte uh a gensia ua,
12Watu hao ambao hutukana chochote kile wasichoelewa, ni sawa na wanyama wasio na akili, ambao huzaliwa na baadaye hukamatwa na kuchinjwa! Wataangamizwa kutokana na uharibifu wao wenyewe,
13amau siatnain a se ngei ding uh, thil hihkhel mana thil gilou thuakin. Sunlaia ankuanglui buai nuamsa mi ahi uhi. Na kiang ua ankuang a lui un, amau kikhemna ankuanglui a hih jiak un, thanghuaina gensiatna ahi uhi;
13na watalipwa mateso kwa mateso ambayo wameyasababisha. Furaha yao ni kufanya, tena mchana kabisa, chochote kinachotosheleza anasa zao za mwili. Hao ni fedheha na aibu tupu kwa jumuiya yenu wakati wanapojiunga nanyi katika karamu zenu, bali wakifurahia njia zao za udanganyifu.
14mit angkawma dim, khelhna tawpsan theiloute a nei ua; mi kip loute a khem puk ua; enhat lungsim a pu ua; hamsiat thuak tate ahi ua;
14Macho yao yamejaa uzinzi na uwezo wao wa kutenda dhambi hauna kikomo. Huwaongoza watu walio dhaifu mpaka mitegoni. Mioyo yao imezoea kuwa na tamaa ya mali. Wapo chini ya laana ya Mungu!
15Boer tapa Balaam, thilhih khelhna loh deihpa lampi tuh a tot tak jiak un lam dik a pai san ua, a vak mangta uhi;
15Wameiacha njia iliyonyoka, wakapotoka na kuifuata njia aliyofuata Balaamu, mwana wa Beori, ambaye alipendelea kupata faida kwa kufanya udanganyifu,
16himahleh amah tuh a tatlekna jiakin taihilhin a omtaa; sabengtung pau theilou mihing pauin a hongpaua, jawlnei haina tuh a kham hi.
16akakaripiwa kwa ajili ya uovu wake. Punda ambaye hasemi alinena kwa sauti ya binadamu, akaukomesha wazimu wa huyo nabii.
17Hiaite tuh tuikhuk tui om lou leh, tuimei huihpi mut leng ahi ua; amaute adingin nuailam mial sah meuhmouh sit a hita hi.
17Watu hao ni kama chemchemi zilizokauka, kama mawingu yanayopeperushwa na tufani; makao yao waliyowekewa ni mahali pa giza kuu.
18Thu ginalou chiak jena genin giloua omte laka kipana tai khe laitakte tuh sa utna ah huknain a khempuk nak uhi.
18Husema maneno ya majivuno na yasiyo na maana, na kutumia tamaa zao mbaya za kimwili kuwatega wale ambao wamejitenga hivi karibuni na watu waishio katika udanganyifu.
19Amau tuh siatna sikha hi kawm piin mite tuh sikha suahtakna thu achiam nak uh; mi zoha a omna mahin, huai mahin sikhain a siam nak ngala,
19Huwaahidi watu wengine eti watakuwa huru, kumbe wao wenyewe ni watumwa wa upotovu--maana mtu ni mtumwa wa chochote kile kinachomtawala.
20Toupa leh Hondampa Jesu Kris a theih jiak ua khovel thanghuainate a taikhiak san nung ua, huai maha a tan nawn ua, zoha a om nawn phing ua leh, a omdan nanung uh tuh amasa sangin a honghoihta kei jaw ahi ding hi.
20Watu waliokwisha ponyoka katika upotovu wa ulimwengu kwa kupata kumjua Bwana na Mwokozi wetu Yesu Kristo, kisha wakakubali kunaswa na kutawaliwa tena na upotovu huo, hali yao itakuwa mbaya zaidi kuliko awali.
21Diktatna lampi pen theih nunga, thupiak siangthou a kiang ua kep sak thu nungngatsan sangin, diktatna lampi theilou hita le uh amau adingain a hoihzo ding ahi ngala.Ui amah luak lamah a kiknawna, vopi kisil siangsa leng buannawi ah kisil dingin a kik nawna, chih, paunak diktak bang thu tuh amau tungah a hongtungta ahi.
21Ingalikuwa afadhali kwao kama wasingalijua kamwe njia hiyo ya uadilifu kuliko kujua na kisha kuiacha na kupoteza amri takatifu waliyopokea.
22Ui amah luak lamah a kiknawna, vopi kisil siangsa leng buannawi ah kisil dingin a kik nawna, chih, paunak diktak bang thu tuh amau tungah a hongtungta ahi.
22Ipo mithali isemayo: "Mbwa huyarudia matapishi yake mwenyewe," na nyingine isemayo: "Nguruwe aliyekwisha oshwa hugaagaa tena katika matope!" Ndivyo ilivyo kwao sasa.