1Deihtakte aw, tua na kiang ua ka gelh laikhak nihna ahi a. huaite gel ah nou theihkhiakthak nawnnain na lungsim siang uh ka tokthou hi.
1Wapenzi wangu, hii ni barua ya pili ninayowaandikia. Katika barua hizo mbili nimejaribu kufufua fikira safi akilini mwenu kwa kuwakumbusheni mambo haya.
2Jawlnei siangthoute thugen kholh leh, na sawltakte uh kama Toupa leh Hondampa thupiak na theihgige na ding in,
2Napenda mkumbuke maneno yaliyosemwa na manabii watakatifu, na ile amri ya Bwana na Mwokozi mliyopewa na mitume wenu.
3Hiai thei masa un, ni nanungte ah, misimmohhatte tuh amau utna banga omin, simmoh kawmin a hongpai ding ua,
3Awali ya yote jueni kwamba siku za mwisho watakuja watu ambao mienendo yao inatawaliwa na tamaa zao mbaya. Watawadhihaki ninyi
4a hongpai nawnna thuchiam koi ah? Siam tunga kipan bangkim a om ngeingei bang un pi leh pute ihmut ni akipanin a om jela, a honchi ding uhi.
4na kusema: "Aliahidi kwamba atakuja! Je, sasa yuko wapi? Mambo ni yaleyale tangu babu zetu walipokufa; hali ya vitu ni ileile kama ilivyokuwa mwanzo wa ulimwengu!"
5Hiai khawngte a kitheihmohbawl jel uh, Pathian thuin nidanglaiin vante a hongom a;
5Watu hao, kwa makusudi, husahau kwamba zamani Mungu alinena, nazo mbingu na nchi zikaumbwa. Dunia iliumbwa kutoka katika maji na kwa maji;
6huan, leitung, tuia kipan leh tui zanga bawl ahia, huai tui mahin a tuma, a mangthangta chih.
6na kwa maji hayo, yaani yale maji ya gharika kuu, dunia ya wakati ule iliangamizwa.
7Himahleh, tua vante lah lei omte tuh huai thu mahin Pathianlimsaklou mite vaihawm leh manthat ni adinga sitin, meia dinga khol khawm a hita hi.
7Lakini mbingu na nchi za sasa zahifadhiwa kwa neno la Mungu kwa ajili ya kuharibiwa kwa moto. Zimewekwa kwa ajili ya Siku ile ambapo watu wasiomcha Mungu watahukumiwa na kuangamizwa.
8Himahleh, deihtak aw, hiai thu kamkhat pen mangngilh kei un, Toupa ngaihin ni khat tuh kum sang khat bang ahi, kum sang khat leng ni khat bang ahi, chih.
8Lakini, wapenzi wangu, msisahau kitu kimoja! Mbele ya Bwana, hakuna tofauti kati ya siku moja na miaka elfu; kwake yote ni mamoja.
9Mi khenkhat in zekai a sak bang un Toupa jaw a thuchiam lamah a zekai kei hi; kuamah manthat deih loua, mi tengteng hongkisik deihin, noumau lamah a dohzou ahi jaw hi.
9Bwana hakawii kutimiza yale aliyoahidi kama watu wengine wanavyofikiri kuwa atakawia. Yeye ana saburi kwa ajili yenu, maana hapendi hata mmoja wenu apotee, bali huwavuta wote wapate kutubu.
10Himahleh, Toupa ni jaw guta bangin a hongtung ding; huai ni chiangin van khawng nakpi taka gingin a mangthang ding, thilbulte khawng meia hai tuiin a omta dinga, lei leh a sunga nasep omte, a kang bei ding uhi.
10Siku ya Bwana itakuja kama mwizi. Siku hiyo, mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu; vitu vyake vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo dunia itatoweka pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake.
11Tua thilte tuh huchibanga mangthang vek ding uh ahi chih na theih un, omdan siangthou leh Pathian limsakna lamah mi bangchi bang hi ding na hi ua,
11Maadamu kila kitu kitaharibiwa namna hiyo, je, ninyi mnapaswa kuwa watu wa namna gani? Mnapaswa kuishi kitakatifu na kumcha Mungu,
12Pathian ni hongtunna ding lamen leh phatuamngai taka deihin. Huai ni a tun jiakin van khawng hongkangin a mangthang dia, thilbulte leng meia hai tuiin a omta ding.
12mkiingojea Siku ile ya Mungu na kuifanya ije upesi--Siku ambayo mbingu zitateketezwa kwa moto na kuharibiwa, na vitu vyake vya asili vitayeyushwa kwa joto.
13Himahleh, a thuchiam bang in van thak leh lei thak, a sunga diktatna omte khawng i lamen ahi.
13Lakini sisi, kufuatana na ahadi yake, twangojea mbingu mpya na dunia mpya ambayo imejaa uadilifu.
14Huaijiakin, deihtakte aw, huaibang thilte na lamet jiak un nin bang lou leh gensiatbeiin, khamuang taka na om uh a honmuh theihna ding in, thanop suah un;
14Kwa hiyo wapenzi wangu, mkiwa mnangojea Siku ile, fanyeni bidii kuwa safi kabisa bila hatia mbele ya Mungu, na kuwa na amani naye.
15huan, i Toupa dohzohna hotdamnain sim un. i unaupa deihtak Paulain leng, a kianga pilna piak bang jela, na kiang ua a gelh bangin;
15Mnapaswa kuuona uvumilivu wa Bwana kuwa ni nafasi anayowapeni mpate kuokolewa, kama Paulo ndugu yetu mpenzi alivyowaandikia akitumia hekima aliyopewa na Mungu.
16a laikhak tengteng ah, tua thute genin. tua mahbangin a gelh hi. Huaiah tuh tuh theih hak thukte a oma, huaite tuh mi pil lou leh mi kip louten, laisiangthou dang a ngaikawi bang un a ngaikawi ua, amau leh amau kihihmannan a zang nak uhi.
16Hayo ndiyo asemayo katika barua zake zote anapozungumzia suala hilo. Yapo mambo kadhaa katika barua zake yaliyo magumu kuyaelewa, mambo ambayo watu wajinga, wasio na msimamo, huyapotosha kama wanavyopotosha sehemu nyingine za Maandiko Matakatifu. Hivyo wanasababisha maangamizi yao wenyewe.
17Huchiin, deihtakte aw, nouten tua thute na natheih kholh jiak un pilvang un, huchilou injaw mi giloute diklouhnaa pi manga omin, na kipna ua kipan na puk kha ding uhi.Ahihhangin, i Toupa leh Hondampa Jesu Kris hehpihna leh theihna ah hongkhang unla. Tu leh khantawnin amah kiangah thupina om hen. Amen.
17Lakini ninyi, wapenzi wangu, mmekwisha jua jambo hili. Basi, muwe na tahadhari msije mkapotoshwa na makosa ya waasi, mkaanguka kutoka katika msimamo wenu imara.
18Ahihhangin, i Toupa leh Hondampa Jesu Kris hehpihna leh theihna ah hongkhang unla. Tu leh khantawnin amah kiangah thupina om hen. Amen.
18Lakini endeleeni kukua katika neema na katika kumjua Bwana wetu na Mwokozi Yesu Kristo. Utukufu uwe kwake, sasa na hata milele! Amina.