1Paul, Kris Jesua hinna om chiamna thugenna lama Pathian deihdana Kris Jesu sawltakin,
1Mimi Paulo, ambaye Mungu alitaka niwe mtume wa Kristo Yesu ili niutangaze ule uzima tulioahidiwa katika kuungana na Kristo Yesu,
2Ka ta deihtak Timothi kiang ah: Pathian leh Kris Jesu a I Toupa kianga kipan hehpihna, zahngaihna, lemna hong om hen.
2nakuandikia wewe mwanangu mpenzi Timotheo. Nakutakia neema, huruma na amani kutoka kwa Mungu Baba na Kristo Yesu Bwana wetu.
3Sun leh zan khawllou a ka thumnatea nang hon theigigein, ka pi ka pu a kipan a sialehpha theihna siangtak neia a na ka sep gigepa, Pathian kiangah kipah thu ka hilh hi.
3Ninamshukuru Mungu ambaye ninamtumikia kwa dhamiri safi kama walivyofanya wazee wangu; namshukuru kila ninapokukumbuka daima katika sala zangu.
4Kipaka ka dim theihna ding in hon muh ka ut mahmah a, na khitui theigige in.
4Nakumbuka machozi yako na ninatamani usiku na mchana kukuona, ili nijazwe furaha.
5Ginna taktak nangmah a om tuh ka theigige ngala, huai ginna atung in napi Loisi ah a oma, na nu Iunisi ah leng a oma, nangmah ah leng a om chih diktak in kathei hi.
5Naikumbuka imani yako ya kweli, imani aliyokuwa nayo nyanya yako Loisi, na pia mama yako Eunike. Nina hakika kwamba wewe pia unayo.
6Huaijiakin ka khut ngak ziaka Pathian thilpiak nangmah a ompen mutkuang dingin kahon theisak ahi;
6Ndio maana nakukumbusha ukiweke motomoto kile kipaji ulichopewa na Mungu wakati nilipokuwekea mikono yangu.
7Pathian in launa kha a honpe keia, thilhihtheihna leh itna leh kithuzohna tak neihna a honpe zaw ngala.
7Kwa maana Mungu hakutupa Roho wa kutufanya tuwe waoga, bali alitupa Roho wa kutujalia nguvu, upendo na nidhamu.
8Huchiin, I Toupa thu theihsak tuh zumpih kenla, kei a hentapa hon zumpih sam ken. Tanchinhoih ziaka gimthuak Pathian thilhihtheihna dungzuiin hon thuakpih zaw in.
8Basi, usione haya kumshuhudia Bwana wetu, wala usione haya kwa sababu yangu mimi niliye mfungwa kwa ajili yake. Lakini shiriki katika mateso kwa ajili ya Habari Njema, kadiri ya nguvu unazopewa na Mungu.
9Aman tuh I thilhihte bang hilou in, amah seh leh ama hehpihna bang zaw in a hon hondam a, sapna siangthou in a hon sam hi; huai hehpihna tuh leilung pianma a Kris Jesu-a a honpiak a hita.
9Yeye alituokoa, akatuita tuwe watu wake yeye mwenyewe, si kwa sababu ya matendo yetu wenyewe bali kwa sababu ya kusudi lake na neema yake. Alitujalia neema hiyo katika Kristo Yesu kabla mwanzo wa nyakati;
10Himahleh I Hondampa Kris Jesu kilakna ziakin tuin hihlatin a omta hi. Aman tuh sihna hihmang in, tanchinhoihin hinna leh manthat theihlouhna a hihlangta.
10lakini sasa imefunuliwa kwetu kwa kuja kwake Mwokozi wetu Yesu Kristo. Yeye amekomesha nguvu za kifo, na kwa njia ya Habari Njema akadhihirisha uzima usio kufa.
11Huai tanchinhoih theisak dinga tangkoupihpa leh sawltak leh sinsaktu-a seh ka hi.
11Mungu amenichagua mimi niwe mtume na mwalimu kwa ajili ya kuhubiri Habari Njema,
12Hiai ziakin ahi, hiai thilte leng kana thuak. Himahleh ka zum kei; ka ginpa tuh ka thei a, akiang a ka kepsak tuh huaini a ding in a vom hoih thei chih diktakin ka thei ngala.
12nami nateseka mambo haya kwa sababu hiyo. Lakini niko bado timamu kabisa kwani namjua yule niliyemwamini, tena nina hakika kwamba yeye aweza kukilinda salama kile alichonikabidhi, mpaka Siku ile.
13Kris Jesua om ginna leh itna nei in, thudikte ka kama nazakte tuh zui chinten in.
13Shika kwa makini mafundisho yale ya kweli niliyokufundisha, na kubaki katika hiyo imani na huo upendo wetu katika kuungana na Kristo Yesu.
14I sunga om Khasiangthou in nang hon kepsak thutak kem hoih in.
14Jambo lile bora ulilokabidhiwa lilinde kwa nguvu ya Roho Mtakatifu anayeishi ndani yetu.
15Asia gam a om tengteng ten a hon nungngatsan uh chih na thei a; alak ua Philgella leh Harmojini a pang uhi.
15Kama unavyojua, watu wote mkoani Asia wameniacha, miongoni mwao wakiwa Fugelo na Hermogene.
16Toupan Onesifora inkuanpihte kiangah zahngaihna pia hen aw, aman tuh a hon hihhalh zelzel hi. Ka khainiang but leng a hon zumpih ngalkei a;
16Bwana aihurumie jamaa ya Onesiforo, kwa sababu aliniburudisha rohoni mara nyingi, wala hakuona haya kwa kuwa nilikuwa kifungoni,
17Rome khua a aomlai in leng honlimzona, a hon mukhia hi.Huai ni chiang in Toupa kianga zahngaihna mu ding in Toupan amah tuh sep hen. Ephesa khua a anasep thupidan leng na thei na hi.
17ila mara tu alipofika Roma, alianza kunitafuta kwa bidii mpaka akanipata.
18Huai ni chiang in Toupa kianga zahngaihna mu ding in Toupan amah tuh sep hen. Ephesa khua a anasep thupidan leng na thei na hi.
18Bwana amjalie huruma katika Siku ile! Nawe wajua vizuri mengi aliyonifanyia huko Efeso.