1Huan, Judia agama sawltak leh unau omten Jentelten leng Pathian thu a gingta uh chih a zata ua.
1Mitume na ndugu kule Yudea walisikia kwamba watu wa mataifa mengine pia walikuwa wamelipokea neno la Mungu.
2Huchiin, Peter tuh Jerusalem khua a tun touh takin, Zeksumten a kiangah,
2Basi, Petro aliporudi Yerusalemu, wale Wayahudi waumini waliopendelea watu wa mataifa mengine watahiriwe, walimlaumu wakisema:
3Zeksumloute in ah na luta, a kiang uah nane viala, a chi ua, a kalhta ua.
3"Wewe umekwenda kukaa na watu wasiotahiriwa na hata umekula pamoja nao!
4Himahleh, Peterin a bul akipanin kizom jelin a kiang uah a hilhchian a:
4Hapo Petro akawaeleza kinaganaga juu ya yale yaliyotendeka tangu mwanzo:
5Joppa khua ah thumin ka oma, huan, mengmu bangin ka oma, banghiam bawm puan liantak banga ningli a khiha, van akipana khiak suk bangin ka mu a; ka kiang ngeingei ahongtunga.
5"Siku moja nikiwa nasali mjini Yopa, niliona maono; niliona kitu kama shuka kubwa likishushwa chini kutoka mbinguni likiwa limeshikwa pembe zake nne, likawekwa kando yangu.
6Huai tuh ka en kilkela, ka ngaihtuah a, leia gan kheli neite, gamsate, ganhingte leh tungleng vasate ka mu a.
6Nilichungulia ndani kwa makini nikaona wanyama wenye miguu minne, wanyama wa mwituni, wanyama watambaao na ndege wa angani.
7Huan, awin, Peter, thou inla; gou inla; ne in, honchiin, ka ja a.
7Kisha nikasikia sauti ikiniambia: Petro amka, chinja, ule.
8Himahleh, ken, Toupa, hi lou e, sianglou leh nin bangmah himhim ka kam ah a lut ngeikei, ka chi a.
8Lakini mimi nikasema: La, Bwana; maana chochote kilicho najisi au kichafu hakijapata kamwe kuingia kinywani mwangu.
9Himahleh, van akipanin awin, a nihveinain, Pathian in a hihsiangthousa nang sianglou chi ken, chiin a hondawnga.
9Ile sauti ikasikika tena kutoka mbinguni: Usiviite najisi vitu ambavyo Mungu amevitakasa.
10Huchibang ngenin thumvei a hongoma: huan, bangkim van ah khaitouh in a om nawnta hi.
10Jambo hilo lilifanyika mara tatu, na mwishowe vyote vilirudishwa juu mbinguni.
11Huan, ngai in, mi thum Kaisari khua akipan ka kiangah a honsawl ua, ka omna in mai uah a nading nilouh ua.
11Ghafla, watu watatu waliokuwa wametumwa kwangu kutoka Kaisarea waliwasili kwenye nyumba niliyokuwa nakaa.
12Huan, Khain kuamah khentuam neiloua amau jui dingin a honsawl hi. Hiai unau guk inleng a honjui sam ua, mi in ah ka lut ua.
12Roho aliniambia niende pamoja nao bila kusita. Hawa ndugu sita waliandamana nami pia kwenda Kaisarea na huko tuliingia nyumbani mwa Kornelio.
13Huan, aman ka kiang uah, a ina angel ding a muhdan leh, angelin a kianga, Joppa khua ah mi sawl inla, Simon, Peter a chih uh, honpi sak in;
13Yeye alitueleza jinsi alivyokuwa amemwona malaika amesimama nyumbani mwake na kumwambia: Mtume mtu Yopa akamwite mtu mmoja aitwaye Simoni, kwa jina lingine Petro.
14aman thu a honhilh dinga, huai mi thuin nang leh na inkuanpihte hotdamin na om ding uh, a chihdan leng a honhilh hi.
14Yeye atakuambia maneno ambayo kwayo wewe na jamaa yako yote mtaokolewa.
15Huan, thu ka gen tungin, Kha Siangthou ka tunguah a hongtungta.
15Na nilipoanza tu kuongea, Roho Mtakatifu aliwashukia kama alivyotushukia sisi pale awali.
16Huan, Toupa thu, Johanin tuiin a baptis jel; ahihhangin nou jaw Kha Siangthoua baptisin na hongom ding uh, a chihdante, ka hontheikhe nawnta a.
16Hapo nilikumbuka yale maneno Bwana aliyosema: Yohane alibatiza kwa maji, lakini ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.
17Huchiin Toupa Jesu Kris I gintak ua, Pathianin thilthawnpiak a honpiak bang, a kiang ua a piak sam nung tuh, kei soplai Pathian sel vual ka hi hia? a chi a.
17Basi, kama Mungu amewapa pia watu wa mataifa mengine zawadi ileile aliyotupa sisi tulipomwamini Bwana Yesu Kristo, je, mimi ni nani hata nijaribu kumpinga Mungu?"
18Huai thu a jak un a daita ua, huchi ahihleh Pathianin Jentelte leng hing dinga kisik phalta ahi ngei vo oi, chiin, Pathian a phatta ua.
18Waliposikia hayo, waliacha ubishi, wakamtukuza Mungu wakisema, "Mungu amewapa watu wa mataifa mengine nafasi ya kutubu na kuwa na uzima!"
19Huan, Stephen jiaka a sawi uh dalhte, Phinisi gam bang, Kupra tuikulh bang, Antiok khua bang phain a pai ua, Judate kiang kia ah loungal kuamah kiangah thu a gen kei uhi.
19Kutokana na mateso yaliyotokea wakati Stefano alipouawa, waumini walitawanyika. Wengine walikwenda mpaka Foinike, Kupro na Antiokia wakihubiri ule ujumbe kwa Wayahudi tu.
20Himahleh, a lak ua akhen tuh Kupra tuikulh leh Kurini khua a mite ahi ua, huai miten Antiok khua a tun un Grikte leng a houpih ua, Toupa Jesu Tanchin Hoih a hilh samta uhi.
20Lakini baadhi ya waumini waliotoka Kupro na Kurene, walikwenda Antiokia wakautangaza huo ujumbe kwa watu wa mataifa mengine wakiwahubiria ile Habari Njema juu ya Bwana Yesu.
21Huan, Toupa khutin amaute a panpiha; mi tampiin a gingta ua, Toupa lam a hongnga chiatta uhi.
21Bwana aliwasaidia na idadi kubwa ya watu iliamini na kumgeukia Bwana.
22Huan, a tanchin thu uh Jerusalem khuaa saptuam omte bil ah a lutta a: huchiin Antiok kho phain Barnaba a sawlkhia ua.
22Habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la Yerusalemu. Hivyo wakamtuma Barnaba aende Antiokia.
23Huan, amah a vatunga, Pathian hehpihdan a muhin a kipak mahmah hi, phatuamngai takin Toupa tuh len gige dingin a vek un a hasuanta hi.
23Alipofika huko na kuona jinsi Mungu alivyowaneemesha wale watu, alifurahi na kuwahimiza wote wadumu katika uaminifu wao kwa Bwana.
24Barnaba tuh mi hoihtak ahia, Kha Siangthou leh ginnaa dim ahi. Huan, mi tampiin Toupa kiangah a beh, lapta uhi.
24Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.
25Huan, Barnaba tuh Saula zong dingin Tarsa khua ah a hoha, huan, a muhin Antiok khua ah a honpi a.
25Kisha, Barnaba alikwenda Tarso kumtafuta Saulo
26Huan, kum khat hilhial saptuamte kikhopna ah a pang jel ua, mi tampi leng thu a hilh uhi. Antiok khua ah ahi, nungjuite, Kristian, a chih masak pen uh.
26Alipompata, alimleta Antiokia. Nao wote wawili walikaa na lile kanisa kwa mwaka wote mzima wakifundisha kundi kubwa la watu. Huko Antiokia, ndiko, kwa mara ya kwanza, wafuasi waliitwa Wakristo.
27Huan, huai lain jawlnei kuahiam Jerusalem khua akipanin Antiok khua ah a hoh suka.
27Wakati huohuo, manabii kadhaa walikuja Antiokia kutoka Yerusalemu.
28Huan, a lak ua mi khat, a min Agaba, a dinga, khovel tengteng ah tam thupitak a tung dek chih Kha hilhin a theisaka; huai tam tuh Klaudia lal lain a hongomta.
28Basi, mmoja wao aitwaye Agabo alisimama, na kwa uwezo wa Roho akabashiri kwamba kutakuwa na njaa kubwa katika nchi yote (Njaa hiyo ilitokea wakati Klaudio alipokuwa akitawala).
29Huchiin nungjuiten, a theihdan chiat un, Judia gama unau omte kiangah panpihna khak a tum ua;huai tuh a hihta ngei uhi, Barnaba leh Saula khut ah upate kiangah a khakta uh.
29Wale wanafunzi waliamua kila mmoja kwa kadiri ya uwezo wake apeleke chochote ili kuwasaidia wale ndugu waliokuwa wanaishi Yudea.
30huai tuh a hihta ngei uhi, Barnaba leh Saula khut ah upate kiangah a khakta uh.
30Basi, wakafanya hivyo na kupeleka mchango wao kwa wazee wa kanisa kwa mikono ya Barnaba na Saulo.