1Huan, buaina daih khit nungin, Paulain nungjuite a samsaka, a hasuana, kamphain a khaha, Masidonia gama hoh dingin a pawtta a.
1Ile ghasia ya Efeso ilipokwisha tulia Paulo aliwaita pamoja wale waumini, akawatia moyo. Kisha akawaaga, akasafiri kwenda Makedonia.
2Huan, thu tampia nungjuite hasuan jelin huai gam tuh a tawn suaka, Grik gam a tungta hi.
2Alipitia sehemu za nchi zile akiwatia watu moyo kwa maneno mengi. Halafu akafika Ugiriki.
3Huan, huaiah kha thum a tam nungin Siria gamlam ah longin a hoh deka, Judaten amah a sawm jiak un Masidonia gamah paisuak a tum nawn zota hi.
3ambako alikaa kwa miezi mitatu. Alipokuwa anajitayarisha kwenda Siria, aligundua kwamba Wayahudi walikuwa wanamfanyia mpango mbaya; hivyo aliamua kurudi kwa kupitia Makedonia.
4Huan, Pirha tapa Sopater Beria khuate, Thessalonia khuate Aristarkha leh Sekunda te, Darba khua te Gaia, Timothi te, Asia gama Tikika leh Trophima te a kiangah Asia gam phain a hoh uhi.
4Sopatro, mwana wa Pirho kutoka Berea, aliandamana naye; pia Aristarko na Sekundo kutoka Thesalonika, Gayo kutoka Derbe, Timotheo, Tukiko na Trofimo wa mkoa wa Asia.
5Huaiten ka ma uh a kai ua, Troasi khua ah a honna ngak uh.
5Hao walitutangulia na kutungojea kule Troa.
6Kou bel tanghou silngou sohlouh ni tengteng khitin Philippi khua akipan longin ka pawt ua, ni nga nungin Troasi khua ah a kiang uah ka tung ua; huaiah ni sagih ka tam uhi.
6Sisi, baada ya sikukuu ya Mikate Isiyotiwa chachu, tulipanda meli kutoka Filipi na baada ya siku tatu tukawafikia kule Troa. Huko tulikaa kwa muda wa juma moja.
7Huan, ni sagih ni masa penin, tanghou balkham dinga ka kikhop lai un, Paulain ajinga pai a tup jiakin a kiang uah chihtaktakin thu a gen a; jan lai tanin thu a gen jel uhi.
7Jumamosi jioni, tulikutana ili kumega mkate. Kwa vile Paulo alikuwa amekusudia kuondoka kesho yake, aliwahutubia watu na kuendelea kuongea nao hadi usiku wa manane.
8Huan, indan tungnung ka omkhawmna uah khawnvak tampi a om a.
8Katika chumba tulimokuwa, ghorofani, kulikuwa na taa nyingi zinawaka.
9Huan, a min Iutika tangval khat tohlet ah a tu a, a na lusu, a na lusa a. Huan, Paulain thu a gen sawttak jiakin aman a ihmut suak a thuakzouta keia, inchial thumna akipanin a keta a, a sisain a tawm uhi.
9Kijana mmoja aitwaye Eutuko alikuwa ameketi dirishani wakati Paulo alipokuwa anaendelea kuhutubu. Eutuko alianza kusinzia kidogokidogo na hatimaye usingizi ukambana, akaanguka chini kutoka ghorofa ya tatu. Wakamwokota amekwisha kufa.
10Himahleh, Paula a kumsuka, a tungah a bohkhuma, a poma, lunglau kei un, a laitat kei lai hi, a chi a.
10Lakini Paulo alishuka chini, akainama, akamkumbatia na kusema, "Msiwe na wasiwasi maana kuna uhai bado ndani yake."
11Huan, Paula a kahtou nawna, tanghou a balkhama, an a ne a, sawtpi, khovak pha hialin, a kiang uah thukhotang a gena, huai nungin a paita hi.
11Kisha akapanda tena ghorofani, akamega mkate, akala. Aliendelea kuhubiri kwa muda mrefu hadi alfajiri, halafu akaondoka.
12Huan, valnoupa tuh damin a pi ua, khamuan petmahin a khamuangta uhi.
12Wale watu walimchukua yule kijana nyumbani akiwa mzima kabisa, wakapata kitulizo kikubwa.
13Huan, kou bel, long ah ka napaita ua, Asso khua juan dingin longin ka napawt masa ua, huaiah Paula tuansak ding ka tum ua; aman khea hong a tup jiakin huchi bangin aman a chi him ahia.
13Sisi tulipanda meli tukatangulia kwenda Aso ambako tungemchukua Paulo. Ndivyo alivyopanga; maana alitaka kufika huko kwa kupitia nchi kavu.
14Huan, Asso khua a a hontuah chiangin, ka tuangsakta ua, Mitilini khua ka tung ua.
14Basi, alitukuta kule Aso, tukampandisha melini, tukaenda Mitulene.
15Huan, huai akipanin longin ka pain awn ua, a jingin Kio tuikulh jawn ka tung ua; huan, a jing nawnin Samo tuikulh ka tawn ua, huan, a jing nawn in Milita khua ka tung nawn uh.
15Kutoka huko tulisafiri tukafika Kio kesho yake. Siku ya pili, tulitia nanga Samo na kesho yake tukafika Mileto.
16Huan, Paulain Asia gam a om sawt a ut louh jiakin, Ephesa khua longin khen a tupsa him ahia, a theih leh Jerusalem khua ah Pentikost ni huam a tuma, a kin pai ahi.
16Paulo alikuwa amekusudia kuendelea na safari kwa meli bila kupitia Efeso ili asikawie zaidi huko Asia. Alikuwa na haraka ya kufika Yerusalemu kwa sikukuu ya Pentekoste kama ingewezekana.
17Huan, Milita khua akipanin Ephesa khua ah mi a sawla, saptuam upate a kiangah a samsaka.
17Kutoka Mileto Paulo alituma ujumbe kwa wazee wa Efeso wakutane naye.
18Huan, a kiang a hongtun un, aman, a kiang uah, Asia gam ka tot chil ni akipan na kiang ua ka om sung tengin ka omdan na thei ua;
18Walipofika kwake aliwaambia, "Mnajua jinsi nilivyotumia wakati wote pamoja nanyi tangu siku ile ya kwanza nilipofika Asia.
19thunuailut pen kawm leh, Judaten hon sawm jiak ua khitui kai leh, thil haksa ka tunga tungte thuak kawmin,
19Mnajua jinsi nilivyomtumikia Bwana kwa unyenyekevu wote, kwa machozi na matatizo yaliyonipata kutokana na mipango ya hila ya Wayahudi.
20Toupa na ka sem hi; huchibangin a phatuam ding thu na kiang uah bangmah im ka neikeia, vantang lakah bang, in tengah bang thu kon hilh jel,
20Mnajua kwamba sikusita hata kidogo kuwahubiria hadharani na nyumbani mwenu na kuwafundisha chochote ambacho kingewasaidieni.
21Judate leh Grikte kiangah leng Pathian lama lungsim ngat thu leh, i Toupa Jesu Kris lama ginna thu ka theisak jel ahi.
21Niliwaonya wote--Wayahudi kadhalika na watu wa mataifa, wamgeukie Mungu na kumwamini Bwana wetu Yesu.
22Huan, thei un, tuin, lungsima hoh lou theiloua ka kitheih jiakin, Jerusalem khua a hoh dia kisa ka hi, huaiah ka tunga thil hongtung ding khawng ka theikei;
22Sasa, sikilizeni! Mimi, nikiwa ninamtii Roho, nakwenda Yerusalemu bila kufahamu yatakayonipata huko.
23Kha Siangthouin, Henna leh haksatnain nang hondawn hi, chiin, kho tengah a honhilh jel hi, tuate kia ka theih ahi.
23Ninachojua tu ni kwamba Roho Mtakatifu ananithibitishia katika kila mji kwamba vifungo na mateso ndivyo vinavyoningojea.
24Himahleh, ka kitaitehna lam ka maban tun ding leh, Toupa Jesu kianga huai nasepna ka muh, sem khin phot leng, ka hinna leng khiaklah tuakin ka sep kei hi.
24Lakini, siuthamini uhai wangu kuwa ni kitu sana kwangu. Nataka tu nikamilishe ule utume wangu na kumaliza ile kazi aliyonipa Bwana Yesu niifanye, yaani nitangaze Habari Njema ya neema ya Mungu.
25Huan, thei un, nou tengteng, Pathian gam thu tangkoupih jela ka vakvaknaten ka mel na mu nawnta kei ding uh chih ka thei hi.
25"Nimekuwa nikienda huko na huko kati yenu nikiuhubiri Ufalme wa Mungu. Sasa lakini, najua hakuna hata mmoja wenu atakayeniona tena.
26Huaijiakin, mi tengteng sisan ah ka hula hi chih tuniin ka hontheisak hi.
26Hivyo, leo hii ninawathibitishieni rasmi kwamba ikijatokea akapotea mmoja wenu, mimi sina lawama yoyote.
27Pathian vaihawm tengteng avekin na kiang uah im ka nei hi.
27Kwa maana sikusita hata kidogo kuwatangazieni azimio lote la Mungu.
28Pathian saptuamte, amah sisana a leite, vak dingin, noumau leh na heute uh tengteng tungah pilvang un, Kha Siangthouin a tunguah nou heutuin a honbawl hi.
28Jihadharini wenyewe; lilindeni lile kundi ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi muwe walezi wake. Lichungeni kanisa la Mungu ambalo amejipatia kwa damu ya Mwanae.
29Ka pai nungin nge hangte na lak uah a honglut ding ua, pawlte a hawi kei ding uh chih ka thei hi.
29Nafahamu vizuri sana kwamba baada ya kuondoka kwangu mbwa mwitu wakali watawavamieni, na hawatakuwa na huruma kwa kundi hilo.
30Noumau laka mi nangawn, nungjui pawlte amau lama kai mang dingin thu tuam gen na hongom ding uhi.
30Hata kutoka miongoni mwenu watatokea watu ambao watasema mambo ya uongo ili kuwapotosha watu na kuwafanya wawafuate wao tu.
31Huaijiakin limsak unla; kum thum hilhial, khitui ke kawma, sun leh jana mi chih taihilh ka tawp louhdan, thei gige un.
31Kwa hiyo, muwe macho mkikumbuka kwamba kwa muda wa miaka mitatu, usiku na mchana, sikuchoka kumwonya kila mmoja wenu kwa machozi.
32Tunah Pathian leh a hehpihna thu kiangah nou ka honkemsak hi, huaiin nou a honbawllian theia, mi lungsim siangthoute lakah goutan a honneisak thei lai hi.
32"Na sasa basi, ninawaweka ninyi chini ya ulinzi wa Mungu na ujumbe wa neema yake. Yeye anao uwezo wa kuwajenga ninyi na kuwawezesha mzipate zile baraka alizowawekea watu wake.
33Kuamah dangkate, dangkaengte, puansilhte ka eng ngeikei hi.
33Mimi sikutamani hata mara moja fedha, wala dhahabu, wala nguo za mtu yeyote.
34Hiai khutten keimah leh ka lawmte taksap a khoihkhiak jel dan, noumau ngeiin na thei uhi.
34Mnajua ninyi wenyewe kwamba nimefanya kazi kwa mikono yangu mwenyewe, ili kujipatia mahitaji yangu na ya wenzangu.
35Bangkim ka hih peuhmah na chinding ua ka hih ahi, huchibanga sem gim leh, Toupa Jesu thu theigige kawmin mi hatloute na panpih ding uh ahi; amah mahin, Bangkhat lak sangin, piakin lukhawng a nei jaw, a chih, a chi a.
35Nimekuwa nikiwapeni daima mfano kwamba kwa kufanya kazi mithili hiyo tunapaswa kuwasaidia walio dhaifu, tukikumbuka maneno ya Bwana Yesu mwenyewe: Heri zaidi kutoa kuliko kupokea."
36Huan, huchibang thu a gen khitin, a khukdina, a vek un a thumpih ua.
36Baada ya kusema hayo, Paulo alipiga magoti pamoja nao wote, akasali.
37Huan, a vek un a kap huphup ua, Paula ngawng ah kunin amah a tawp ua,a mel a muh nawn tak louh ding uh, thu a gen tuh a lungkhamna pen uh ahi. Huan, long phain amah a vakhata uhi.
37Wote walikuwa wanalia; wakamwaga kwa kumkumbatia na kumbusu.
38a mel a muh nawn tak louh ding uh, thu a gen tuh a lungkhamna pen uh ahi. Huan, long phain amah a vakhata uhi.
38Jambo lililowahuzunisha zaidi lilikuwa neno alilosema kwamba hawangemwona tena. Basi, wakamsindikiza hadi melini.