1Huan, Paulain kho sak uk a tawnsuak masa a, Korinth khua Apollo a om kalin Ephesa khua a tunga, nungjui khute hiam a mu a.
1Wakati Apolo alipokuwa Korintho, Paulo alisafiri sehemu za bara, akafika Efeso ambako aliwakuta wanafunzi kadhaa.
2Huan, aman a kiang uah, na gintak tung lai un Kha Siangthou na tang u hia? a chi a. Huan, amau, a kiangah, tang lou, Kha Siangthou a om chih himhim jak leng ka za kei uh, a chi ua.
2Akauliza, "Je, mlipopata kuwa waumini mlipokea Roho Mtakatifu?" Nao wakamjibu, "La! Hata kusikia kwamba kuna Roho Mtakatifu hatujasikia."
3Huan, aman, bang baptisma ah ahia na tan uh? a chi a. Amau, Johan baptisma ah, a chi uh.
3Naye akasema, "Sasa mlipata ubatizo wa namna gani?" Wakamjibu, "Ubatizo wa Yohane."
4Huan, Paulain, Johanin jaw a nunga hongpaipa -huai tuh Jesu ahi- gingta dinga mite hilhin kisikna baptismain a baptis jel ahi, a chi a.
4Naye Paulo akasema, "Ubatizo wa Yohane ulikuwa wa kuonyesha kwamba watu wametubu. Yohane aliwaambia watu wamwamini yule ambaye alikuwa anakuja baada yake, yaani Yesu."
5Huan, huai thu a jak tak un Toupa Jesu minin baptisma a tangta uh.
5Baada ya kusikia hayo, walibatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
6Huan, Paulain a tunguah a khut a koiha, kha siangthou a tunguah a hongtungta a; huchiin pau theihlouhin thu a gen ua; Pathian thu leng a hilhta uhi.
6Basi, Paulo akawawekea mikono, na Roho Mtakatifu akawashukia, wakaanza kusema lugha mbalimbali na kutangaza ujumbe wa Mungu.
7A vek un, piching sawm leh nih khawng ahi uh.
7Wote jumla, walikuwa watu wapatao kumi na wawili.
8Huan, Paula tuh kikhopna in ah a lut jela, kha thum phial hangtakin thu a gena, Pathian gamlam thu ah a sela, mi a thuzoh jel hi.
8Kwa muda wa miezi mitatu Paulo alikuwa akienda katika sunagogi, akawa na majadiliano ya kuvutia sana juu ya Ufalme wa Mungu.
9Himahleh, a khen a chihmoh ua, a gingta nuam kei ua, mipi maa Lam tuh a gensiat tak un, aman amaute a paisana, nungjuite a pituama, nitengin Tairanna thuhilhna in ah a sel jel hi.
9Lakini wengine walikuwa wakaidi, wakakataa kuamini, wakaanza kuongea vibaya hadharani juu ya Njia ya Bwana. Hapo Paulo alivunja uhusiano nao, akawachukua pembeni wale wanafunzi wake, akawa anazungumza nao kila siku katika jumba la masomo la Turano.
10Huchibang ngenin kum nih phial a hiha; huchiin Asia gama om tengteng, Judate leh Grikten leng, Toupa thu a zata uhi.
10Aliendelea kufanya hivyo kwa muda wa miaka miwili hata wakazi wote wa Asia, Wayahudi na watu wa mataifa mengine, wakaweza kusikia neno la Bwana.
11Huan, Pathianin Paula khutin thillamdang taktak a hihsaka;
11Mungu alifanya miujiza ya ajabu kwa mikono ya Paulo.
12huchiin a sa akipan kinulna puan khawng hiam, tenthuah khawng hiam damloute kiangah a hontawi ua, a natnate uh a bei jel hi, a sung ua kipan dawite leng a pawt jel uhi.
12Watu walikuwa wakichukua leso na nguo nyingine za kazi ambazo Paulo alikuwa amezitumia, wakazipeleka kwa wagonjwa, nao wakaponywa magonjwa yao; na wale waliokuwa na pepo wabaya wakatokwa na pepo hao.
13Huan, Juda vakvai dawithuthei kuatehiam, Paulain a thu a tangkoupih jel Jesu minin kon vau ahi, chiin, dawi paite tungah Toupa Jesu min a lou vial nak ua.
13Wayahudi kadhaa wenye kupunga pepo wabaya, walisafiri huko na huko, wakijaribu kulitumia jina la Bwana Yesu kwa wale waliokuwa wamepagawa na pepo wabaya. Walikuwa wakisema: "Ninawaamuru kwa jina la Yesu ambaye Paulo anamhubiri."
14Huan, Judami, siampu lian khat, Skevain huchibang hih sam tapa sagih a neia.
14Watoto saba wa Skewa, Kuhani Mkuu wa Kiyahudi, walikuwa miongoni mwa hao waliokuwa wanafanya hivyo.
15Himahleh, dawiin, a kiang uah, Jesu ka gingta hi, Paula leng ka thei hi, nou jaw kua na hi ua? a chi a, a donga.
15Lakini pepo mbaya aliwajibu, "Ninamfahamu Yesu, ninamjua pia Paulo, lakini ninyi ni nani?"
16Huan, dawi pain a honboh a, a nih un a zou a, a nuaisiahta hi, huchiin huai mipa in akipan vuaktang leh liamin a taikheta uhi.
16Kisha yule mtu aliyepagawa aliwarukia wote kwa kishindo, akawashinda nguvu. Na hao watoto wa Skewa wakakimbia kutoka ile nyumba wakiwa uchi na wamejaa majeraha.
17Huchiin, Ephesa khua a om tengteng, Judate leh Grikte kiangah leng, huai mi thu a thangta a; huan, a vek un a lau ua, Toupa Jesu min a lianta hi.
17Kila mtu huko Efeso, Myahudi na asiye Myahudi, alisikia juu ya tukio hilo. Wote waliingiwa na hofu, wakalitukuza jina la Bwana Yesu.
18Huan, a gingtate leng a khen tampi a hong ua, a thilhihte uh thupha a tawi ua, a kipulak uh.
18Waumini wengi walijitokeza wakakiri hadharani mambo waliyokuwa wametenda.
19Mitkhialdawi hihmi akhen tampiin leng a laibute uh a hontawi khawm ua, mi tengteng mitmuhin a halta uh; huan, a man a sut ua, dangka sing nga hiin a thei uhi.
19Wengine waliokuwa wameshughulikia mambo ya uchawi hapo awali, walikusanya vitabu vyao, wakavichoma mbele ya wote. Walikisia gharama ya vitabu hivyo, wakaona yafikia vipande vya fedha elfu hamsini.
20Huchi lawmlawma thupiin Toupa thu a dalh a, a zou jel hi.
20Kwa namna hiyo, neno la Bwana lilizidi kuenea na kuwa na nguvu zaidi.
21Huan, huai khitin, Paulain, Masidonia gam leh Akaia gam totsuak takdih a, Jerusalem khua a hoh a tuma. Huaia, ka hoh khit chiangin Rome khua ka sik sam ding ahi, a chi a.
21Baada ya mambo hayo, Paulo aliamua kwenda Yerusalemu kwa kupitia Makedonia na Akaya. Alisema, "Baada ya kufika huko, itanilazimu kuona Roma pia."
22Huchiin, amah nasepsakte nih Timothi leh Erasta tuh, Masidonia gamah a paisak phota, amah bel Asia gamah a om tadih hi.
22Hivyo, aliwatuma wawili wa wasaidizi wake, Timotheo na Erasto, wamtangulie kwenda Makedonia, naye akabaki kwa muda huko Asia.
23Huan, huai lai khawngin Lam jiakin mi buai petmahin a buaita ua.
23Wakati huo ndipo kulipotokea ghasia kubwa huko Efeso kwa sababu ya hiyo Njia ya Bwana.
24Mikhat a min Demitria, dangkachi-a Diana lim bawlpan, a khutsiamte kiangah kilohna tampi a pe jel a.
24Kulikuwa na mfua fedha mmoja aitwaye Demetrio, ambaye alikuwa na kazi ya kutengeneza sanamu za nyumba ya mungu wa kike aitwaye Artemi. Shughuli hiyo iliwapatia mafundi faida kubwa.
25Huai miin amaute a sam khawma, a nasep bang uh semte toh; huan, a kiang uah, Pute aw, hiai nasepna i hauhna uh ahi chih na thei uhi.
25Demetrio aliwakusanya hao wafanyakazi pamoja na wengine waliokuwa na kazi kama hiyo, akawaambia, "Wananchi, mnafahamu kwamba kipato chetu kinatokana na biashara hii.
26Hiai Ephesa khua kia hilouin, Asia gam kho kim tengteng phial ah leng, hiai Paulain, khuta bawl pathiante Pathian ahi kei uh, chiin, mi tampi a thuzoh a, a kiheisak khinta ahi chih, noumau ngeiin leng na mu un na ja ua. 2
26Sasa, mnaweza kusikia na kujionea wenyewe mambo Paulo anayofanya, si tu hapa Efeso, ila pia kote katika Asia. Yeye amewashawishi na kuwageuza watu wakakubali kwamba miungu ile iliyotengenezwa na watu si miungu hata kidogo.
27Huachiin i nasep uh a suan ding chih a lauhuai kia hilouin, pathiannu thupitak Diana biakin leng a honngaineu ding uh. Asia gama mi tengteng leh khovela min a biak jel uh, a thupipi toh, a neu ding chih a lauhuai ahi, a chi a.
27Hivyo iko hatari kwamba biashara yetu itakuwa na jina baya. Si hivyo tu, bali pia jambo hilo linaweza kuifanya nyumba ya mungu Artemi kuwa si kitu cha maana. Hatimaye sifa zake huyo ambaye Asia na dunia yote inamwabudu, zitakwisha."
28Huan, huai thu a jak tak un, a heh mahmah ua, Ephesa khua a Diana thupitak ahi, chiin, a kikou uhi.
28Waliposikia hayo, waliwaka hasira, wakaanza kupiga kelele: "Mkuu ni Artemi, wa Efeso!"
29Huchiin a khuain a buai vekta ua, Gaia leh Aristarkha, Masidonia gama mi, Paula nungjuite, a man ua, kituaktakin etnop in ah a taipih kheukhou uhi.
29Mji wote ukajaa ghasia. Wakawavamia Gayo na Aristarko, wenyeji wa Makedonia, ambao walikuwa wasafiri wenzake Paulo, wakakimbia nao mpaka kwenye ukumbi wa michezo.
30Huan, Paulain mi laka lut a tup leh nungjuiten a phal kei ua.
30Paulo mwenyewe alitaka kuukabili huo umati wa watu, lakini wale waumini walimzuia.
31Huan, Asia gama heutu pente laka khenkhat kuatehiam Paula lawmte ahi ua, a kiangah mi a sawl ua, etnop in ah lut teitei lou dingin a kunkun uhi.
31Maofisa wengine wa huo mkoa wa Asia, waliokuwa rafiki zake, walimtumia Paulo ujumbe wakimsihi asijihatarishe kwa kwenda kwenye ukumbi wa michezo.
32Huan, omkhawmte a nuai ua, mi tamjawin a kikhop san uh leng a theikei uh, khenkhat thu khatin a kikou ua, khenkhat thu dangin a kikou uhi.
32Wakati huo, kila mtu alikuwa anapayuka; wengine hili na wengine lile, mpaka hata ule mkutano ukavurugika. Wengi hawakujua hata sababu ya kukutana kwao.
33Huan, mipi laka mi khenkhatin Aleksandar a siamna thu gendan ding a hilhta ua, Judaten amah mi malam ah a sawn phei ua. Huan, Aleksandarin a khutin a jap a, mi tengteng kiangah a siamna thu gen a tum a.
33Kwa vile Wayahudi walimfanya Aleksanda ajitokeze mbele, baadhi ya watu katika ule umati walidhani kuwa ndiye. Basi, Aleksanda aliwaashiria watu kwa mkono akitaka kujitetea mbele ya ule umati wa watu.
34Himahleh, amah Juda mi ahi chih a theihtak un, dakkal nih khawng, aw kituak takin, Ephesa khua a Diana thupitak ahi, chi ngenin a kikoukou uh.
34Lakini walipotambua kuwa yeye ni Myahudi, wote kwa sauti moja walipiga kelele: "Mkuu ni Artemi wa Efeso!" Wakaendelea kupayukapayuka hivyo kwa muda wa saa mbili.
35Huan, kho laigelhpan mipi a sukdaih khitin, Ephesa khua a mite aw, Diana Thupitak biakin leh van akipana milim kia, Ephesa khuate vengmi na hi uh chih, kua ahia theilou om?
35Hatimaye karani wa mji alifaulu kuwanyamazisha, akawaambia, "Wananchi wa Efeso, kila mtu anajua kwamba mji huu wa Efeso ni mlinzi wa nyumba ya mungu Artemi na mlinzi wa ile sanamu iliyoanguka kutoka mbinguni.
36Huchiin hiai thu sel vual ahih louh nungin, na dai dide ding uh ahi, thu nungveng louin bangmah na hih ding uh ahi kei hi.
36Hakuna anayeweza kukana mambo haya. Hivyo basi, tulieni; msifanye chochote bila hadhari.
37Hiai mi hiaia non pite uh, biakin lokmi ahi kei ua, i pathiannu gensete leng ahi kei uh.
37Mmewaita watu hawa hapa ingawaje hawakuikufuru nyumba ya mungu wala kumtukana mungu wetu wa kike.
38Huchiin, Demotria leh a lawm khutsiamten leng kua lakah leng thubuai a neih uleh, thubuai genna inte honsain a om ve le, gam ukpate leng a om uhi; kihek uheh.
38Kama, basi Demetrio na wafanyakazi wake wana mashtaka yao kuhusu watu hawa, yapo mahakama na wakuu wa mikoa; wanaweza kushtakiana huko.
39Thil dang buaina nei him na hih uleh, kikhopna ngeina ah a lem ding uh.
39Kama mna matatizo mengine, yapelekeni katika kikao halali.
40Tunia buaina jiakin salh lauhuaiin i omta uhi, a bul om ngellouin; huchi ahi ngala, hiai kikhopna san bangmah gen theilou ding i kei uhiam, a chi a.Huan, huchibang thu a gen khitin omkhawm heutute a kikhenjak sakta hi.
40Kwa maana tungaliweza kushtakiwa kwa kusababisha ghasia kutokana na vituko vya leo. Ghasia hii haina msingi halali na hatungeweza kutoa sababu za kuridhisha za ghasia hiyo."
41Huan, huchibang thu a gen khitin omkhawm heutute a kikhenjak sakta hi.
41Baada ya kusema hayo aliuvunja mkutano.