1Huai thil zohin Athen khua akipan Paula a pawta, Korinth khua ah a hohta a.
1Baada ya hayo, Paulo aliondoka Athene, akaenda Korintho.
2Huan, a min Akuila, Juda khat a mu a, huai mi tuh Ponta gama piang ahi a, Klaudiain Juda tengteng Rome khua akipan pawt thu a piak jiakin a ji Priscilla toh Itali gama kipan hongtung phet ahi ua. Huan, Paula tuh huai mite kiangah a tungta hi,
2Huko Korintho, alimkuta Myahudi mmoja aitwaye Akula, mzaliwa wa Ponto. Akula pamoja na mkewe aitwaye Priskila, walikuwa wamerudi kutoka Italia siku hizohizo kwa sababu Kaisari Klaudio alikuwa ameamuru Wayahudi wote waondoke Roma. Paulo alikwenda kuwaona,
3huan, a nasep bang uh sem ahih jiakin amau a kikoppih a, a semkhawm uhi; a nasep uh tuh puanin bawl ahi.
3na kwa vile wao walikuwa mafundi wa kushona mahema kama alivyokuwa yeye, Paulo alikaa nao akafanya kazi.
4Huan, Khawlni peuhin kikhopna in ah chitaktakin thu a gen jela, Judate leh Grikte thuzoh a tum jel hi.
4Kila Sabato alifanya majadiliano katika sunagogi akijaribu kuwavuta Wayahudi na Wagiriki.
5Huan, Masidonia gam akipan Sila leh Timothi a hongsuk un, Paula tuh thugen kiain a omta hi, tua Jesu Kris tuh ahi chih Judate kiangah a hilhchian jel hi.
5Baada ya Sila na Timotheo kuwasili kutoka Makedonia, Paulo alianza kutumia wakati wake wote kwa ajili ya kuhubiri, akawathibitishia Wayahudi kwamba Yesu ndiye Kristo.
6Himahleh, a kalh un a gensia ua, Paulain a puan a singa, a kiang uah, na sihna moh uh noumau pua un; kei jaw ka hula hi; tuban Jentelte kiangah ka pai ding, a chi a.
6Walipompinga na kuanza kumtukana, aliyakung'uta mavazi yake mbele yao akisema, "Mkipotea ni shauri lenu wenyewe; mimi sina lawama yoyote juu ya jambo hilo. Na tangu sasa nitawaendea watu na mataifa mengine."
7Huan, huai akipan a paia, a min Tita Justa mi khat in ah a lut a, huai min Pathian a be jel hi, a in leng kikhopna in toh a kizom ahi.
7Basi, akatoka hapo akaenda kukaa nyumbani kwa mtu mmoja mcha Mungu aitwaye Tito Yusto. Nyumba yake Tito ilikuwa karibu na lile sunagogi.
8Huan, Krispa, kikhopna in heutuin a inkuanpihte tengteng toh Toupa a gingta a, Korinth khua a mi tampi inleng jain a gingta ua, baptisma a tangta uhi.
8Lakini Krispo, mkuu wa sunagogi, alimwamini Bwana yeye pamoja na jamaa yake yote. Wakorintho wengi waliusikiliza ujumbe huo, wakaamini na kubatizwa.
9Huan, janin Toupan Paula kiangah mengmu bangin. Lau kenla, dai louin thu gen jel in;
9Siku moja usiku, Bwana alimwambia Paulo katika maono: "Usiogope, endelea kuhubiri tu bila kufa moyo,
10Kei na kiangah ka om a kei hiam, sihna dingin kuamahin na tungah khut a kha kei ding uhi; hiai khua ah mi tampi ka nein gala, a chi a.
10maana mimi niko pamoja nawe. Hakuna mtu atakayejaribu kukudhuru maana hapa mjini pana watu wengi walio upande wangu."
11Huan, Paula huaiah a lak uah Pathian thu hilhin kum khat leh kha guk a omta hi.
11Basi, Paulo alikaa huko akifundisha neno la Mungu kati yao kwa muda wa mwaka mmoja na nusu.
12Huan, Gallio tuh Akaia gamukpa a hih lain Judaten kituakin Paula a sual ua, vaihawmna tutphah maah a pi ua;
12Lakini wakati Galio alipokuwa mkuu wa mkoa wa Akaya, Wayahudi walimvamia Paulo kwa pamoja na kumpeleka mahakamani.
13Huai mi phiangsanin dan lou bangin a Pathian be dingin mi a khempuk ahi, a chi ua.
13Wakasema, "Tunamshtaki mtu huyu kwa sababu ya kuwashawishi watu wamwabudu Mungu kwa namna inayopingana na Sheria."
14Huan, Paulain a dawn dek leh, Gallioin, Judate kiangah, Judate aw, hiai khawng thil diklou thu hiam, thil hihkhelh thu hiam bek hileh, pel louin kon awlmoh dinga;
14Kabla tu Paulo hajaanza kusema, Galio aliwaambia Wayahudi, "Sikilizeni enyi Wayahudi! Kama kweli jambo hili lingekuwa juu ya uhalifu au uovu ningekuwa tayari kuwasikilizeni.
15himahleh, thute, minte, noumau dante tungthu lel ahihleh jaw moumau kingaihtuah jaw un; ken jaw huchibang thu ngaihtuah ka ut kei, a chi a.
15Lakini kama ni shauri la ubishi kuhusu maneno na majina ya Sheria yenu, amueni ninyi wenyewe. Mimi sitaki kuwa hakimu wa mambo haya!"
16Huan, vaihawm tutphah akipanin amau a delhkheta hi.
16Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.
17Huan, Grik mi tengtengin kikhopnain heutu Sosotheini a man ua, vaihawm tutphah maah a vua ua. Gallioin huai a thilhih uh khawk a sa kei hi.
17Nao wote wakamkamata Sosthene ambaye alikuwa kiongozi wa sunagogi, wakampiga palepale mbele ya mahakama. Lakini Galio hakujali kitendo hicho hata kidogo.
18Huan, huai zohin Paula ni sawttak a tam nilouha; huai zohin unaute kamphain a khena, huai akipan Suria gam lam ah longin a paita, a kiangah Priscilla leh Akuilla leng a pai sam uhi, Paulain thuchiam a neih jiakin Kenkriai khua ah sam a met phot a.
18Paulo alikaa bado na wale ndugu huko Korintho kwa siku nyingi. Kisha aliwaaga, akapanda meli kwenda Siria pamoja na Priskila na Akula. Huko Kenkrea, alinyoa nywele zake kwa sababu ya nadhiri aliyokuwa ameweka.
19Huan, Ephesa a tung ua, huaiah amau a nuseta; amahbel kikhopna in ah a lut a, Judate kiangah chitaktakin thu a gen tadih hi.
19Walifika Efeso na hapo Paulo aliwaacha Priskila na Akula, akaenda katika sunagogi, akajadiliana na Wayahudi.
20Huan, sawt deuh tam dingin a khou ua, himahleh a kiawi kei,
20Walimwomba akae nao muda mrefu zaidi, lakini hakupenda.
21Pathianin a phal leh na kiang uah ka hong nawn ding, chiin, kampha in a khena, Ephesa khua akipan longin a paita.
21Bali alipokuwa anaondoka, alisema, "Mungu akipenda nitakuja kwenu tena." Akaondoka Efeso kwa meli.
22Huan, Kaisaria khua ah a hongkaia, Jerusalem khua ah a hohtou a, saptuamte chibai a buka; huai khitin Antiok khua ah a hohsukta hi.
22Meli ilitia nanga Kaisarea, naye Paulo akaenda Yerusalemu kulisalimia lile kanisa, kisha akaenda Antiokia.
23Huan, huaia sawt ngial a om nungin a pai nawna, nungjuite tengteng hihkipin Galatia gam leh Phrigia gam a tawnsuak vek hi.
23Alikaa huko muda mfupi, halafu akaendelea na safari kwa kupitia sehemu za Galatia na Frugia akiwatia moyo wafuasi wote.
24Huan, Juda khat, a min Apollo, Aleksandria khua a piang, mi piltak, Ephesa khua ah a hohsuka; aman laisiangthou a nak theih mahmah a.
24Myahudi mmoja aitwaye Apolo, mzaliwa wa Aleksandria, alifika Efeso. Alikuwa mtu mwenye ufasaha wa kuongea na mwenye ujuzi mkubwa wa Maandiko Matakatifu.
25Huai mi tuh Toupa Lampi thu zilsa ahia, lungsima phatuamngaitak a hih jiakin Jesu a hilh jel hi, Johan baptisma thu kia a thei lel a.
25Alikuwa amefundishwa juu ya hiyo njia ya Bwana, na akiwa motomoto, aliongea juu ya habari za Yesu. Akafundisha kwa usahihi ingawa alikuwa amepata ubatizo wa Yohane tu.
26Huan, kikhopna in ah hangtakin thu a gen panta a. Huchiin Priskilla leh Akuilain a thugen a jak un, a in uah a kiangah Pathian Lampi thu kichian semin a hilhchianta uhi.
26Priskila na Akula walipomsikia akiongea kwa uhodari ndani ya sunagogi, walimchukua kwao wakamfundisha hiyo Njia ya Mungu kwa usahihi zaidi.
27Huan, aman Akai agama paikai a tup takin unauten a hasuan ua, amah a nakipahpihna ding un nungjuite kiangah lai a gelhsak uhi; huan, a tunin, Pathian hehpihna jiaka gingtate nakpitakin a panpih a;vantang theihin Judate nakpitakin a seldonga, laisiangthou zangin tua Jesu Kris tuh ahi chih a theisak hi.
27Apolo alipoamua kwenda Akaya, wale ndugu walimtia moyo kwa kuwaandikia wafuasi kule Akaya wampokee. Alipofika huko, aliweza kwa msaada wa neema ya Mungu, kuwasaidia sana wale ndugu waliopata kuwa waumini;
28vantang theihin Judate nakpitakin a seldonga, laisiangthou zangin tua Jesu Kris tuh ahi chih a theisak hi.
28kwa maana aliendelea kwa uhodari kuwashinda Wayahudi hadharani akithibitisha kwa Maandiko Matakatifu kuwa Yesu ni Kristo.