Paite

Swahili: New Testament

Acts

22

1Unaute aw, pate aw, tun ah na kiang uah ka siamna thu ka honhilh ding hi, ngaikhia un, a chi a.
1"Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni sasa nikijitetea mbele yenu!"
2Huan, Hebru pauin a kiang uah thu a gen chih a jak tak un, a dai nawn sem ua; huan, aman,
2Waliposikia akiongea nao kwa Kiebrania wakazidi kukaa kimya zaidi kuliko hapo awali. Naye Paulo akaendelea kusema,
3Juda mi ka hia, Silisia gama Tarsa khua a piang ka hi a, himahleh hiai khua ah Gamaliel khe bula zila khanglian ka hi, i pipute Dan omdan kimtak zil jela om ka hia, tunia noumau tengteng bangtakin Pathian adinga phatuam ngai sam jel ka hi.
3"Mimi ni Myahudi, mzaliwa wa Tarso katika Kilikia. Lakini nililelewa papa hapa mjini Yerusalemu chini ya mkufunzi Gamalieli. Nilifundishwa kufuata kwa uthabiti Sheria ya wazee wetu. Nilijitolea kwa moyo wote kwa Mungu kama ninyi wenyewe mlivyo hivi leo.
4Huan, hiai Lama mite hihlum hial khopin ka sawi jela, numei-pasal ka hena, suangkulh ah ka khumsak jel ahi.
4Niliwatesa hata kuwaua wale watu waliofuata Njia hii. Niliwatia nguvuni wanaume kwa wanawake na kuwafunga gerezani.
5Siampu Lianpen leh upate tengtengin leng huai thu hontheihpih thei hi, amau akipanin leng unaute piak dingin lai ka mu hi, huan, Damaska khua a om peuhmah, a sawi ding un, hensa a Jerusalem khua a pi dingin ka hoh hi.
5Kuhani Mkuu na baraza lote la wazee wanaweza kushuhudia jambo hilo. Kutoka kwao nilipokea barua walioandikiwa wale ndugu Wayahudi waliokuwa huko Damasko. Nilikwenda Damasko ili niwatie nguvuni watu hao na kuwaleta wamefungwa mpaka Yerusalemu ili waadhibiwe.
6Huan, kapaia, Damaska khua kiang ka tunin, sun annek hun lain, thakhatin van akipan vak thupitak ka kim ah a hongvak puapa,
6"Basi, nilipokuwa njiani karibu kufika Damasko, yapata saa sita mchana, mwangu mkubwa kutoka mbinguni ulitokea ghafla ukaniangazia pande zote.
7lei ah ka puka, ka kiangah, Salua, Saula, nang bangachia honsawi? chiin aw ka ja a.
7Hapo nilianguka chini, nikasikia sauti ikiniambia: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa?
8Huan, ken, Toupa kua na hia? chiin, ka donga. Huan, aman ka kiangah, Nazarit Jesu na sawi ka hi, a chi a.
8Nami nikauliza: Nani wewe, Bwana? Naye akaniambia: Mimi ni Yesu wa Nazareti ambaye wewe unamtesa.
9Huan, ka lawmten vak jaw a mu ua, honhoupihpa aw jaw a za kei uhi.
9Wale wenzangu waliuona ule mwanga lakini hawakusikia sauti ya yule aliyeongea nami.
10Huan, ken, Toupa, bang ka hih dia? ka chi a. Huan, Toupan, ka kiangah, Thou inla, Damaska khua ah lutin, thil tengteng na hihding a chih peuhmah a honhilh ding uh, a chi a.
10Basi, mimi nikauliza: Nifanye nini Bwana? Naye Bwana akaniambia: Simama, nenda Damasko na huko utaambiwa yote ambayo umepangiwa kufanya.
11Huan, huai vak thupi jiakin khua ka mu theita keia, ka lawmten khutin a honkai ua, Damaska khua ah ka lutta ahi.
11Kutokana na ule mwanga mkali sikuweza kuona na hivyo iliwabidi wale wenzangu kuniongoza kwa kunishika mkono mpaka nikafika Damasko.
12Huan, mi khat, Anania, Dan lama Pathian limsak leh, huai Juda omte tengteng kianga min hoih,
12"Huko kulikuwa na mtu mmoja aitwaye Anania, mtu mcha Mungu, mwenye kuitii Sheria yetu na aliyeheshimika sana mbele ya Wayahudi waliokuwa wanaishi Damasko.
13ka kiangah a honga, ka kiangah a dinga, ka kiangah, Unau Suala, mit vak nei in, a honchi a. Huan, huai laitakin amah ka mu touta hi.
13Yeye alikuja kuniona, akasimama karibu nami, akasema: Ndugu Saulo! Ona tena. Papo hapo nikaona tena, nikamwangalia.
14Huan, aman I pipute Pathianin a deihlam thei leh Mi Kichian mu a, a kamsuak za dingin a honsepta hi.
14Halafu Anania akasema: Mungu wa babu zetu amekuchagua upate kujua matakwa yake na kumwona yule mtumishi wake mwadilifu na kumsikia yeye mwenyewe akiongea.
15Na muh leh na jak thu ah mi tengteng kiangah amah thutheihpihpa na hi ding.
15Kwa maana utamshuhudia kwa watu wote ukiwaambia yale uliyoyaona na kuyasikia.
16Huan, bangdia omom na hia? thou inla, amah min lou kawmin baptisma tang inla, na khelhna hihsiang tanla, a honchi hi.
16Sasa basi, ya nini kukawia zaidi? Simama ubatizwe na uondolewe dhambi zako kwa kuliungama jina lake.
17Huan, Jerusalem khua a ka pain awn nungin, Pathian biakina ka thum laiin, mengmu bangin ka oma.
17"Basi, nilirudi Yerusalemu, na nilipokuwa nikisali Hekaluni, niliona maono.
18Huan, Kin inla, Jerusalem khua akipan pawtin; ka tanchin nag en ding a pom tuak kei uh, a honchih lai ka mu a.
18Nilimwona Bwana akiniambia: Haraka! Ondoka Yerusalemu upesi kwa maana watu wa hapa binadamu hawataukubali ushuhuda wako juu yangu.
19Huan, ken, Toupa kikhopna in tenga nang gingta peuhmah ka hentasak a, ka vuak jel dan a thei ngal ua.
19Nami nikamjibu: Bwana, wao wanajua wazi kwamba mimi ni yule aliyekuwa anapitapita katika masunagogi na kuwatia nguvuni na kuwapiga wale waliokuwa wanakuamini.
20Huan, na thu theihpihpa Stephen sisan a suah lai un kei leng a kiang uah ka dinga, ka nalemsa a, a hihlumte puan khawng leng ka nakem ahi, ka chi a.
20Na kwamba wakati shahidi wako Stefano alipouawa, mimi binafsi nilikuwako pale nikakubaliana na kitendo hicho na kuyalinda makoti ya wale waliokuwa wanamuua.
21Huan, aman, Pai in, hiai akipanin gamla taka Jentelte kiangah ka honsawl ding ahi, a honchita a, a chi a.
21Naye Bwana akaniambia: Nenda; ninakutuma mbali kwa mataifa mengine."
22Huan, huai thu tanin a ngaikhia ua; huan, aw ngaihtakin, Mi hichi bang phiangsan khovel akipan hihmangthang un; hingtak ahi kei hi, a chita ua.
22Mpaka hapa, wale watu walikuwa wanamsikiza, lakini aliposema maneno haya, walianza kusema kwa sauti kubwa, "Mwondoe duniani! Mtu wa namna hiyo hastahili kuishi."
23Huan, a kikou ua, a puan khawng uh a hawk ua, a pai ua, leivui a vik ua,
23Waliendelea kupayukapayuka huku wakitikisa makoti yao na kurusha vumbi angani.
24huchiin, sepaih heutu lalpenin Paula kulh sunga pilot thu a pia a, a tungah huchi tela a kikouna uh a theihna dingin vuak kawma dottel ding, a chi a.
24Mkuu wa jeshi aliwaamuru watu wake wampeleke Paulo ndani ya ngome, akawaambia wamchape viboko ili wapate kujua kisa cha Wayahudi kumpigia kelele.
25Huan, savun khaua a lehhensawm khit un, Paulain, a kianga ding sepaih zaheutu kiangah, Rome mi himhim na vo thei ua hia? siamlouh tansak nung leng lah hilouin? a chi a.
25Lakini walipokwisha mfunga ili wamchape viboko, Paulo alimwuliza jemadari mmoja aliyesimama hapo, "Je, ni halali kwenu kumpiga viboko raia wa Roma kabla hajahukumiwa?"
26Huan, sepaih zaheutuin huai a jak takin, sepaih zaheutu lianpen kiangah a hoh a, na thilhih ding pilvang dih aw; hiai mi Rome mi a na hi e, a chi a, a hilh a.
26Yule jemadari aliposikia hayo, alimpasha habari mkuu wa jeshi akisema, "Unataka kufanya nini? Mtu huyu ni raia wa Roma!"
27Huan, sepaih heutu lianpen a honga, a kiangah, Rome mi na hi maw? honhilh in, a chi a.
27Basi, mkuu wa jeshi alimwendea Paulo, akamwambia, "Niambie; je, wewe ni raia wa Roma?" Paulo akamjibu, "Naam."
28Huan, aman, Hi e, a chi a. Huan, sepaih heutu lianpenin, hiai khomi hihna ken sum tampia ka lei ahi, chiin, a dawnga. Huan, Paulain, kei jaw Romemi a piang him kahi, a chi a.
28Mkuu wa jeshi akasema, "Mimi nami nimekuwa raia wa Roma kwa kulipa gharama kubwa." Paulo akasema, "Lakini mimi ni raia wa Roma kwa kuzaliwa."
29Huchiin, dottel tumten amah a paisan pah ngal ua; sepaih heutu lianpenin leng Rome mi ahi chih a theihin a kihta a, a hen jiakin a lau hi.Huan, a jingin, Judaten bangjiakin ahia Paula a hek uh chih theihtel tumin, sepaih heutu lianpenin amah a phela, siampu liante leh vaihawm tengteng kikhop ding thu a pia a, Paula a pi suka, a ma uah a dingsakta hi.
29Wale watu ambao walikuwa tayari kumchunguza Paulo walitoweka mara. Hata yule mkuu wa jeshi aliogopa alipojua kwamba Paulo ni raia wa Roma na kwamba alikuwa amekwisha mfunga minyororo.
30Huan, a jingin, Judaten bangjiakin ahia Paula a hek uh chih theihtel tumin, sepaih heutu lianpenin amah a phela, siampu liante leh vaihawm tengteng kikhop ding thu a pia a, Paula a pi suka, a ma uah a dingsakta hi.
30Kesho yake, mkuu wa jeshi alitaka kujua mashtaka kamili ambayo Wayahudi walikuwa wamemwekea Paulo. Hivyo, alimfungua Paulo minyororo, akaamuru makuhani wakuu na Baraza lote wafanye kikao. Kisha alimleta Paulo, akamsimamisha mbele ya Baraza.