Paite

Swahili: New Testament

Acts

23

1Huan, Paulain vaihawmte a en gige a, Unaute aw, tuni tanin Pathian mitmuha hoih lama ka theih peuhmah hihin ka om jeljel hi, a chi a.
1Paulo aliwakodolea macho wale wanabaraza, halafu akaanza kusema, "Ndugu zangu, mpaka hivi leo nimekuwa nikiishi na dhamiri njema mbele ya Mungu."
2Huan, Siampu lianpen Ananiain, Paula kianga dingte kiangah, a kama betsak ding a chi a.
2Hapo Kuhani Mkuu Anania akaamuru wale waliokuwa wamesimama karibu na Paulo wampige kofi mdomoni.
3Huan, Paulain, a kiangah, nang suang dai nuhngoupa, Pathianin a honbeng zo ding hi, nang, Dan banga mi ngaihtuah dingin na tu a, Dan lou banga mi bet ding na chi vial maw? a chi a.
3Basi, Paulo akamwambia, "Mungu mwenyewe atakupiga kofi wewe uliye kama ukuta uliopakwa chokaa! Unawezaje kukaa hapo ili unihukumu kisheria na huku wewe mwenyewe unaivunja Sheria kwa kuamuru nipigwe?"
4Huan, a kianga miten, Pathian Siampu Liangpen na tai viala? a chi ua.
4Watu waliokuwa wamesimama pale wakamwambia Paulo, "Unamtukana Kuhani Mkuu wa Mungu!"
5Huan, Paulain, Unaute aw, Siampu Liangpen ahi chih ka theikeia ahi; na chihpihte heutu tungah thu hoihlou gen ken, chih, gelh ahi ngala, a chi a.
5Paulo akajibu, "Ndugu zangu, sikujua kama yeye ni Kuhani Mkuu. Maana Maandiko yasema hivi: Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako."
6Huan, Paulain a khen Saddukaite, a khen Pharisiate ahi uh chih a theihin, vaihawmte lakah a kikou a, Unaute aw, Pharisai ka hi, Pharisai tapa leng ka hi; misi lametna leh thohnawnna thu ah phula om ka hi, a chi a.
6Wakati huo Paulo alikwisha tambua kwamba sehemu moja ya wanabaraza wale ilikuwa ni Masadukayo na nyingine Mafarisayo. Basi, alipaaza sauti yake mbele ya Baraza: "Ndugu zangu, mimi ni Mfarisayo, mwana wa Mfarisayo. Mimi nimeletwa mahakamani kwa kuwa ninatumaini kwamba wafu watafufuka."
7Huan, huai a gent akin, Pharisiate leh Saddukaite a nakisel ua, vaihawmte a kilangte uhi.
7Baada ya kusema hivyo, mzozo mkali ulitokea kati ya Mafarisayo na Masadukayo na mkutano ukagawanyika sehemu mbili.
8Saddukaiten, misi thohnawnna himhim a om kei, angelte, khate leng a om tuan kei, a chi uh; Pharisaiten bel huai tegel tuh a om chih a gen ngal ua.
8Kisa chenyewe kilikuwa hiki: Masadukayo hushikilia kwamba wafu hawafufuki, hakuna malaika, na roho nazo hazipo. Lakini Mafarisayo husadiki hayo yote matatu.
9Huaiin nakpitakin a buaita ua; Pharisaite lama mi laigelhmite khenkhat a ding ua; a sel ua. Hiai mi bangmah a gitlouhna i theikei; khain leng, angelin leng amah bia hile zong, bang a poi dia, a chi ua.
9Kelele ziliongezeka na baadhi ya walimu wa Sheria wa kikundi cha Mafarisayo walisimama na kutoa malalamiko yao kwa nguvu: "Hatuoni chochote kilicho kiovu katika mtu huyu; huenda ikawa kwamba roho au malaika ameongea naye."
10Huan, kituahlouhna lianpi a hongom takin, sepaih heutu lalpenin Paula a bohjan uh a laua, sepaihte kiangah, a vahoh suka, a lak ua kipan kulha vapi tou teitei dingin a chi a.
10Mzozo ulizidi kuwa mwingi hata mkuu wa jeshi akaogopa kwamba Paulo angeraruliwa vipandevipande. Kwa hiyo, aliwaamuru askari wake kuingia kati ya lile kundi, wamtoe Paulo na kumrudisha ndani ya ngome.
11Huan, a janin Toupa Paula kiangah a dinga, khamuangtakin om in, Jerusalem khua a ka thu na theihsak bangin Rome khua ah leng na theisak ding ah, a chi a.
11Usiku uliofuata, Bwana alisimama karibu na Paulo, akamwambia, "Jipe moyo! Umenishuhudia katika Yerusalemu, utafanya vivyo hivyo mjini Roma."
12Huan, ni a suahin Judate a panghuan ua, Paula a thah masiah uh bangmah nea dawn lou dingin a kichiamta uhi.
12Kulipokucha, Wayahudi walifanya kikao cha faragha. Wakala kiapo: "Hatutakula wala kunywa mpaka tutakapokuwa tumekwisha muua Paulo."
13Huai thubawlte sawmli sanga tamjaw ahi uhi.
13Watu zaidi ya arobaini ndio waliokula njama kufanya hivyo.
14Huan, amau tuh siampu liante leh upate kiangah a hoh ua, Paula ka thah masiah uh bangmah chiam lou dingin ka kichiam ek uhi.
14Basi, walikwenda kwa makuhani wakuu na wazee, wakasema, "Sisi tumeapa kwamba hatutaonja chochote kwa vinywa vyetu mpaka hapo tutakapokuwa tumemuua Paulo.
15Huaijiakin, nou vaihawmte toh a thu kichian nawn sema ngaihtuah tum bangin, na kiang ua pikhe dingin sepaih heutu lalpen kiangah a hem deuhin vagen tou un; na kiang nai uh a tun main leng, kou amah that dingin ka mankhin uhi, a chi ua.
15Sasa basi, ninyi pamoja na Baraza tumeni ujumbe kwa mkuu wa jeshi ili amlete Paulo kwenu mkijisingizia kwamba mnataka kupata habari kamili zaidi juu yake. Tuko tayari kumuua hata kabla hajafika karibu."
16Himahleh, Paula sanggam nu tapain a sawmna thu a naja a, kulh ah a valuta, Paula a vahilhta hi.
16Lakini mtoto wa kiume wa dada yake Paulo alisikia juu ya mpango huo; hivyo akaenda ndani ya ngome, akamjulisha Paulo juu ya njama hiyo.
17Huan, Paulain sepaih zaheutu khat a sama, hiai tangval sepaih heutu lalpen kiangah pi in, a kiangah thu banghiam gen ding a nei a hihtuak, a chi a.
17Hapo Paulo akamwita mmoja wa askari, akamwambia, "Mchukue kijana huyu kwa mkuu wa jeshi; ana kitu cha kumwambia."
18Huchiin, sepaih heutu lalpen kiangah a pi a, Paula, hentapan, honsam a, hiai tangval na kianga honpi dingin a honsawla, na kiangah thu banghiam gen ding a nei a hihtuak, a chi a.
18Askari akamchukua huyo kijana, akamwongoza mpaka kwa mkuu wa jeshi, akasema, "Yule mfungwa Paulo ameniita akaniomba nimlete kijana huyu kwako kwa maana ana jambo la kukwambia."
19Huan, sepaih heutu lalpenin a khutin a lena, a simin a tuam paipih a, bang ahia honhilh ding naneih? chiin a donga.
19Mkuu wa jeshi alimshika huyo kijana mkono, akampeleka mahali pa faragha, akamwuliza, "Una nini cha kuniambia?"
20Huan, aman, Paula thu kichian nawn sema na ngaihtuah ding mahbangin, jingchiah vaihawmte kiangah pi suk dingin Judaten honnget hoih a sa chiat uh.
20Yeye akasema, "Wayahudi wamepatana wakuombe umpeleke Paulo Barazani wakijisingizia kwamba Baraza lingependa kupata habari kamili zaidi juu yake.
21Himahleh, a thu uh na gingta ken; a lak ua mi sawmli sanga tamjaw in a sawm ua, huai miten amah a thah masiah uh bangmah nea dawn lou dingin a kichiam uh; tuin na thu ngakin mansain a om uhi, a chi a.
21Lakini wewe usikubali kwa maana kuna watu zaidi ya arobaini walio tayari kumvamia. Wameapa kutokula wala kunywa mpaka watakapokuwa wamemuua. Sasa wako tayari, wanangojea tu uamuzi wako."
22Huan, sepaih lalpenin tangval a paisaka, hiai thute non theisak chih kuamah hilh ken, a chi bikbek hi.
22Mkuu wa jeshi alimwacha aende zake akimwonya asimwambie mtu yeyote kwamba amemletea habari hizo.
23Huan sepaih zaheutu nih a sama, Jan ihsip hunin Kaisaria kho pha a pai dingin sepaih za nih toh, sakol tungtuangmi sawmsagih toh, teitawimi za nih toh bawl un, a chi a.
23Basi, mkuu wa jeshi aliwaita askari wawili akawaambia, "Wekeni tayari askari mia mbili, wapanda farasi sabini na askari mia mbili wa mikuki, waende Kaisarea; muwe tayari kuondoka kabla ya saa tatu leo usiku.
24Huan, Gamukpa Felik kiangah bita a tunsak theihna dingin Paula a tuansakna ding un gan bang na bawl dingin leng a chi a;
24Wekeni farasi kadhaa kwa ajili ya Paulo; mfikisheni salama kwa Felisi, mkuu wa mkoa."
25Huan, hichibangin lai a gelhta hi.
25Halafu mkuu huyo wa jeshi akaandika barua hivi:
26Klaudia Lisiain Felik Gamukpa hoihpa chibai a buk hi.
26"Mimi Klaudio Lusia ninakuandikia wewe Mheshimiwa Felisi, mkuu wa mkoa. Salamu!
27Hiai mi Judaten a mu ua, a thah dek lai un a kiang uah sepaihte piin ka hoh a, Rome mi ahi chih ka theihin ka honkheta hi.
27"Wayahudi walimkamata mtu huyu na karibu wangemuua kama nisingalifahamishwa kwamba yeye ni raia wa Roma na hivyo nikaenda pamoja na askari nikamwokoa.
28Huan, a hekna pen uh theih ka ut a, a vaihawmte uh kiangah ka pi suka,
28Nilimpeleka mbele ya Baraza lao kuu nikitaka kujua kisa cha mashtaka yao.
29huchiin, a dan thu uh banghiama hek ahi chih ka theia, himahleh a hekna thu uah sihna leh henna ding jen bangmah ka thei ngal keia.
29Niligundua kwamba mashtaka yenyewe yalihusu ubishi juu ya sehemu kadha wa kadha za Sheria yao na hivyo sikuona kwamba amefanya chochote kinachostahili auawe au afungwe gerezani.
30Huan, Judaten amah a tang uh chih min a hontheihsak tak un, na kiangah amah ka honsawl pah ngal ahi, a hekte leng a tung a thubuai a neih peuh uh na ma a gen dingin, thu leng ka pia hi, chiin.
30Nilipofahamishwa kwamba Wayahudi walikuwa wamefanya njama za kumuua, niliamua kumleta kwako. Nikamwambia washtaki wake walete mashtaka yao mbele yako."
31Huchiin, sepaihten a thupiak bangin Paula a-jan a-janin a pi ua, Antipatri a tunpih ua.
31Basi, hao askari walimchukua Paulo kama walivyoamriwa; wakampeleka usiku uleule mpaka Antipatri.
32Huan, a jingin sakol tungtuangmite a kianga pai jel dingin a kiksan ua, kulh ah a hoh nawnta uh;
32Kesho yake askari wa miguu walirudi ngomeni, wakawaacha wale askari wapanda farasi waendelee na safari pamoja na Paulo.
33Huan, amau, Kaisaria khua a tung ua, Gamukpa kiangah lai tuh a pia ua, Paula leng a maah a ding sak uhi.
33Walipofika Kaisarea walimpa mkuu wa mkoa ile barua na kumweka Paulo chini ya mamlaka yake.
34Huan, Gamukpan, a sim khitin, Paula omna gam a donga. Huan, Silisia gama ahi chih a theihtakin,nang honhekte a hongtun chiang un na thubuai ka ngaihtuah ding, a chi a. Huan, Herod ina vending thu a pia hi.
34Felisi alipoisoma hiyo barua aliwauliza Paulo ametoka mkoa gani. Alipofahamishwa kwamba alikuwa ametoka mkoa wa Kilikia,
35nang honhekte a hongtun chiang un na thubuai ka ngaihtuah ding, a chi a. Huan, Herod ina vending thu a pia hi.
35akasema, "Nitasikiliza kesi yako baada ya washtaki wako kufika." Kisha akaamuru Paulo awekwe chini ya ulinzi ndani ya ukumbi wa Herode.