Paite

Swahili: New Testament

Acts

24

1Huan, ni nga nungin Siampu Lianpen Anania a hongtung suka, upa kuate hiam toh, a min Tertulla thugensiam khat toh; huan, Paula tunga thubuai tuh Gamukpa kiangah a gen ua.
1Baada ya siku tano, Kuhani Mkuu Anania aliwasili Kaisarea pamoja na wazee kadhaa na wakili mmoja wa sheria aitwaye Tertulo. Walimwendea yule mkuu wa mkoa wakamweleza mashtaka yao juu ya Paulo.
2Huan, Paula a sapkhiak nung un Tertulla in amah a hek pana: Felik hoihpen, nangmah vanga khamuang petpeta ka om jiak un leh, non kepna jiaka hiai chite adinga giloute kham hoiha om jel jiakin,
2Paulo aliitwa na Tertulo akafungua mashtaka hivi: "Mheshimiwa Felisi, uongozi wako bora umeleta amani kubwa na marekebisho ya lazima yanafanywa kwa manufaa ya taifa letu.
3chiklaipeuhin koipeuh ah leng lungkim takin ka kipak gige uhi.
3Tunalipokea jambo hili kwa furaha daima na kutoa shukrani nyingi kwako kila mahali.
4Abang abang hitaleh, nang adia chimtakhuai lua hih ka ut kei hi, na migitnain thu kam khat ahihleh honngaihkhiaksak dingin ka honngen ahi.
4Lakini, bila kupoteza wakati wako zaidi, tunakusihi kwa wema wako, usikilize taarifa yetu fupi.
5Hiai mi huathuaipi, khovel Judate tengteng tokbuaipa leh, Nazarit mite pawla a makaipen khat uh ahih ka thei uh.
5Tumegundua kwamba mtu huyu ni wa hatari mno. Yeye huanzisha ghasia kati ya Wayahudi kila mahali duniani na pia ni kiongozi wa kile chama cha Wanazareti.
6Pathian biakin hihbuah leng a tuma; huaijiakin ka man ua,
6Tena alijaribu kulikufuru Hekalu nasi tukamtia nguvuni. Kama ukimhoji wewe mwenyewe, utaweza kubainisha mambo haya yote tunayomshtaki kwayo." Tulitaka kumhukumu kufuatana na Sheria yetu.
7ka dan bang ua a tunga vaihawm tum hi unga, himahleh sepaih heutu lalpen Lisia hongkuana, ngongtat kawmin amah tuh ka khut ua kipan a lamanga, a tunga thubuai neite na kianga hongpai dingin thu a pia hi.
7Lakini Lusia, mkuu wa jeshi, aliingilia kati, akamchukua kwa nguvu kutoka mikononi mwetu.
8Nangmah ngeiin amah dongtelin ka hekna tengteng uh na theithei ding hi, a chi a.
8Kisha akaamuru washtaki wake waje mbele yako.
9Huan, Judaten leng, Huai thu huchibang ahi, chiin, a panpih uhi.
9Nao Wayahudi waliunga mkono mashtaka hayo wakisema kwamba hayo yote yalikuwa kweli.
10Huan, Gamukpan thug en dinga Paula khuta a jap takin, aman, nang kum tampi hiai chite vaihawmsakpa na hih ka theih jiak kipak takin ka siamna thu ka gen ding ahi.
10Basi, mkuu wa mkoa alimwashiria Paulo aseme. Naye Paulo akasema, "Nafurahi kujitetea mbele yako nikijua kwamba umekuwa hakimu wa taifa hili kwa miaka mingi.
11Jerusalem khua a Pathian be dinga ka hoh touh nung ni sawmlenih lou val ahi nai kei ding chih na na thei ding;
11Unaweza kujihakikishia kwamba si zaidi ya siku kumi na mbili tu zimepita tangu nilipokwenda kuabudu Yerusalemu.
12Pathian biakin ah leng, kikhopna in ah leng, khua ah leng kuamah ka sel leh mipi ka hasot amau zong a honmu kei uh;
12Wayahudi hawakunikuta nikijadiliana na mtu yeyote. Hawakunikuta nikichochea watu Hekaluni wala katika masunagogi yao, wala mahali pengine popote katika mji huo.
13Tunah leng a honhekna thu uh na theihin a bul a suikhe theikei ding uh.
13Wala hawawezi kuthibitisha mashtaka waliyotoa juu yangu.
14Himahleh, hiai thu tuh na kiangah ka genkhe ding, Lam dan, pawl tuam a chih uh bangin ka pipute uh Pathian ka be jel -Dan leh Jawlnei te Laibu gelh tengteng gingtain;
14Ninachokubali mbele yako ni hiki: Mimi ninamwabudu Mungu na wazee wetu nikiishi kufuatana na Njia ile ambayo wao wanaiita chama cha uzushi. Ninaamini mambo yote yaliyoandikwa katika vitabu vya Sheria na manabii.
15huan, mi diktatte leh diktatloute thohnawnna a om ding chih Pathian lamah ka lamena, hiai khawngten leng huai tuh a gingta sam ngal ua;
15Mimi namtumainia Mungu, na wao wanalo tumaini hilo, kwamba watu, wema na wabaya, watafufuka.
16Tua jiakin Pathian lamah leh mihing lamah leng lungsim gilou lou mahmah neih nilouhlouh ka tum nak hi.
16Kwa hiyo ninajitahidi daima kuwa na dhamiri njema mbele ya Mungu na mbele ya watu.
17Huan, kum tampi nungin ka chipihte kiangah thilpiak ding leh sagoh ding hontawiin ka honga;
17"Baada ya kukaa mbali kwa miaka kadhaa, nilirudi Yerusalemu ili kuwapelekea wananchi wenzangu msaada na kutoa dhabihu.
18huan, huai thil ka piak lain, mipi bang louin buai louin, Pathian biakin ah kisiangsakin a honmu uhi.
18Wakati nilipokuwa nikifanya hayo ndipo waliponikuta Hekaluni, nilipokuwa nimekwisha fanya ile ibada ya kujitakasa. Hakukuwako kundi la watu wala ghasia.
19Himahleh, huaiah Asia gama mi Juda kuate hiam a om ua, huaiten ka tungah thu a neih uleh, hiai na maah omin a honhek ding uh ahi.
19Lakini kulikuwa na Wayahudi wengine kutoka mkoa wa Asia; hao ndio wangepaswa kuwa hapa mbele yako na kutoa mashtaka yao kama wana chochote cha kusema dhidi yangu.
20Ahihkeileh, hiai mite ngeiin vaihawmte maa ka din lain, ka hihkhelh bang ahia a muh uh, gen uheh.
20Au, waache hawa walio hapa waseme kosa waliloliona kwangu wakati niliposimama mbele ya Baraza lao kuu,
21Hiai thu kam khat jiak houh ahih kei ngalleh, a lak ua dingin, Misi thohnawnna thu ah tuniin na ma uah salhin ka om ahi, ka chih, a chi a, a dawnga.
21isipokuwa tu maneno haya niliyosema niliposimama mbele yao: Mnanihukumu leo hii kwa sababu ya kushikilia kwamba wafu watafufuliwa!"
22Huan, Felikin Lam thu a theihtel deuh jiakin, Sepaih heutu lalpen Lisia a hongtun suk hun chiah na thu uh ka lem ding, chiin, a koih tadih a.
22Hapo, Felisi, ambaye mwenyewe alikuwa anaifahamu hiyo Njia vizuri, aliahirisha kesi hiyo. Akawaambia, "Nitatoa hukumu juu ya kesi hiyo wakati Luisa, mkuu wa jeshi, atakapokuja hapa."
23Huan, Paula deihbawl deuha, a lawmten a nektak a bawlsak uh kham loua, vensak dingin sepaih za heutu kiangah thu a pia hi.
23Kisha akamwamuru yule jemadari amweke Paulo kizuizini, lakini awe na uhuru kiasi, na rafiki zake wasizuiwe kumpatia mahitaji yake.
24Huan, ni bangzah hiam nungin Felik a hong nawna, a ji Drusilla Juda numei toh, Paula a samsaka, Kris Jesu ginna thu a ngaikhia a.
24Baada ya siku chache, Felisi alifika pamoja na mkewe Drusila ambaye alikuwa Myahudi. Aliamuru Paulo aletwe, akamsikiliza akiongea juu ya kumwamini Yesu Kristo.
25Huan, Paulain diktatna thute, kidek thute, thukhen-vaihawmna hongtung dingte a suipih detdet lain, Felikin lauhuai a sa mahmaha, pai nawn phot tadih inla, hun lem ka neih hun chiangin ka honsam ding, a chi a.
25Lakini wakati Paulo alipoanza kuongea juu ya uadilifu, juu ya kuwa na kiasi na juu ya siku ya hukumu inayokuja, Felisi aliogopa, akasema, "Kwa sasa unaweza kwenda; nitakuita tena nitakapopata nafasi."
26Paulain dangka a piak peuh a lamen a, huaijiakin a sam mun sima, a houpih zihzeh ahi.Himahleh, kum nih a bei nungin Porsia Festain Felik a honkhengta a; huan, Felikin, Judate lakah min hoih a deiha, Paula hensain a nuseta hi.
26Wakati huohuo alikuwa anatumaini kwamba Paulo angempa fedha. Kwa sababu hii alimwita Paulo mara kwa mara na kuzungumza naye.
27Himahleh, kum nih a bei nungin Porsia Festain Felik a honkhengta a; huan, Felikin, Judate lakah min hoih a deiha, Paula hensain a nuseta hi.
27Baada ya miaka miwili, Porkio Festo alichukua nafasi ya Felisi, akawa mkuu wa Mkoa. Kwa kuwa alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi, Felisi alimwacha Paulo kizuizini.