1Huchiin, Festain gam tuh a ukta; huan, nithum nungin Kaisaria khua akipanin Jerusalem khua ah a hoh tou a.
1Siku tatu baada ya kufika mkoani, Festo alitoka Kaisarea, akaenda Yerusalemu.
2Huan, siampu lalte leh Juda makaiten a kiangah Paula tungtang thu a selamin a na theisak uhi.
2Makuhani wakuu pamoja na viongozi wa Wayahudi walimpa habari kuhusu mashtaka yaliyokuwa yanamkabili Paulo. Walimsihi Festo
3Jerusalem khua a pitou sak dingin hehpihna leng a na ngenngen ua; lampia na buka thah a tum uhi.
3awafanyie fadhili kwa kumleta Paulo Yerusalemu; walikuwa wamekula njama wamuue akiwa njiani.
4Himahleh Festain, Paula, tuh Kaisaria khua a kep ding hi, keimah leng huailam ah ka hoh pah ding.
4Lakini Festo alijibu, "Paulo atabaki kizuizini kule Kaisarea na mimi nitakwenda huko karibuni.
5Huaijiakin, huai miin gitlouhna a neih leh na lak ua thu nei peuhmahin honjui suk uhenla, hek uheh, chiin, a dawnga.
5Waacheni viongozi wenu waende huko pamoja nami wakatoe mashtaka yao juu yake kama amefanya chochote kiovu."
6Huan, a lak uah ni giat hiam, ni sawm hiam val a tam keia, Kaisaria khua ah a paikhe sukta; huan, a jingin thukhenna tutphah ah a tua, Paula honpi dingin thu a pia hi.
6Festo alikaa nao kwa muda wa siku nane au kumi hivi, kisha akarudi Kaisarea. Kesho yake alikwenda barazani, akaamuru Paulo aletwe ndani.
7Huan, amah a hongtunin, Jerusalem khua a mi Juda hongsukte a kim ah a ding ua, a tungah thubuai tampi gik taktak a gen a gen ua, a bulb el a suikhe thei sam kei uhi;
7Wakati Paulo alipofika, Wayahudi waliokuwa wametoka Yerusalemu walimzunguka wakaanza kutoa mashtaka mengi mazitomazito ambayo hawakuweza kuthibitisha.
8Paulain a siamna thu a gena, Judate Dan tungah khawng, Pathian biakin thu ah khawng, Kaisar tungah khawng leng, thil himhim ka hihkhial kei hi, a chi a.
8Kwa kujitetea, Paulo alisema, "Mimi sikufanya kosa lolote kuhusu Sheria ya Wayahudi, wala kuhusu Hekalu, wala kumhusu Kaisari."
9Himahleh, Festain, Judate laka min hoih a deiha, Paula kiangah, Jerusalem khua a hoh touha, huailaia ka ma ahiai thu lep na deih hia? a chi a, a donga.
9Festo alitaka kujipendekeza kwa Wayahudi na hivyo akamwuliza Paulo, "Je, ungependa kwenda Yerusalemu na huko ukahukumiwe mbele yangu kuhusu mashtaka haya?"
10Paulain Kaisar thukhenna tutphah maa, vai hawm saka om dingin ka ding hi; Judate tungah thil bangmah ka hihkhial kei, nang leng huai lah na theichian mahmah ngala.
10Paulo akajibu, "Nasimama mbele ya mahakama ya Kaisari na papa hapa ndipo ninapopaswa kupewa hukumu. Kama unavyojua vizuri, sikuwatendea Wayahudi ubaya wowote.
11Migilou ka hiha, sihna khop hial thil hih ka hih leh, sih leng ka nial kei; himahleh hiaite honhekna uh a bul bangmah a om kei leh, kuamahin a kiang uah honpekhe theikei ding. Kaisar kiangah ka tun ding, a chi a.
11Basi, ikiwa nimepatikana na kosa linalostahili adhabu ya kifo, siombi kusamehewa adhabu hiyo. Lakini kama hakuna ukweli katika mashtaka waliyotoa watu hawa, hakuna awezaye kunikabidhi kwao. Nakata rufani kwa Kaisari!"
12Huan, Festain a vaihawmpihte a houpih kimvel nungin, Kaisar kiangah tun na tum viala, Kaisar kiangah na hoh mahmah ding, chiin a dawng hi.
12Basi, baada ya Festo kuzungumza na washauri wake, akamwambia Paulo, "Umekata rufani kwa Kaisari, basi, utakwenda kwa Kaisari."
13Huan, ni bangzah hiam nungin kumpipa Agrippa leh Barnisi tuh Kaisaria khua a hongtung ua, Festa chibai a buk uh.
13Siku chache baadaye, mfalme Agripa na Bernike walifika Kaisarea ili kutoa heshima zao kwa Festo.
14Huan, ni tampi huaia a tam jiak un Festain Paula thubuai kumpipa kiangah a gena, Felikin mi tang kuahiam a nusia a;
14Walikuwa huko siku kadhaa naye Festo akamweleza mfalme kesi ya Paulo: "Kuna mtu mmoja hapa ambaye Felisi alimwacha kizuizini.
15Jerusalem khua a ka om lain siampu liante leh Juda upaten a tungtang thu a honhilh ua, siamlouh tansak a ngen uh.
15Nilipokwenda Yerusalemu makuhani wakuu na wazee wa Wayahudi walimshtaki na kuniomba nimhukumu.
16Huan, ken, a kiang uah, a hekpa uleh a hekte a kimatuah ua, a hekna thu ua a siamna thu gen sam na lemtang a neih sam main, mi himhim gawt dinga khah Rome mite dan ahi kei hi, chiin, ka dawng hi.
16Lakini mimi niliwajibu kwamba si desturi ya Waroma kumtoa mtu aadhibiwe kabla mshtakiwa hajakutana na washtaki wake ana kwa ana na kupewa fursa ya kujitetea kuhusu hayo mashtaka.
17Huan, hiai lai ka hongtun un, sawt hallouin a jingin thukhenna tutphah ah ka tu a, huai mi tuh honpi dingin thu ka pia hi. 1
17Basi, walipofika hapa sikukawia, ila nilifanya kikao mahakamani kesho yake, nikaamuru mtu huyo aletwe.
18Huan, a hekte a din lai un, ka gintak bang ngeiin a tungah gitlouhna thubuai bangmah himhim lah a gen kei ua;
18Washtaki wake walisimama lakini hawakutoa mashtaka maovu kama nilivyokuwa ninatazamia.
19a sabiak dante uleh, Jesu, mi khat sisa, Paulain, a hing nawn ahi, chiin, a gena, huchi ahih jiakin a tungah thubuaite a nei uh a nahi jaw hi.
19Ila tu walikuwa na mabishano kadhaa pamoja naye kuhusu dini yao na kuhusu mtu mmoja aitwaye Yesu ambaye alikufa, lakini Paulo anashikilia kwamba yu hai.
20Huan, ken huai thute ngaihtuah dingdan himhim ka theikeia, Jerusalem khua a hoha, huailaia huai thu lepsak a ut le hut louh ka donga.
20Sikujua la kufanya kuhusu shauri hilo. Basi, nilimwuliza Paulo kama angependa kwenda mahakamani kule Yerusalemu kwa ajili ya mashtaka hayo.
21Himahleh, Paulain Kumpipa lep dia sit a ngen zota a. Huaijiakin Kaisar kianga ka hohsak theih masiah veng dingin thu ka pia a, a chi a.
21Lakini Paulo alikata rufani, akaomba aachwe kizuizini mpaka uamuzi wa shauri hilo ufanywe na Kaisari. Kwa hiyo niliamua akae kizuizini mpaka nitakapoweza kumpeleka kwa Kaisari."
22Huan, Agrippain, Festa kiangah, ka na ut gige him ahi, a chi a. Huan, aman, jingchiah a thugen na ngaikhe na ke, a chi a.
22Basi Agripa akamwambia Festo, "Ningependa kumsikia mtu huyu mimi mwenyewe." Festo akamwambia, "Utamsikia kesho."
23Huchiin, a jingin Agrippa leh Barnisi thupi takin a hong ua, thugenna in ah a lut ua, sepaih heutu lalte toh, khua a mi lian deuhte toh; huan, Festa thuin Paula tuh a pilut sak uh.
23Hivyo, kesho yake, Agripa na Bernike walifika kwa shangwe katika ukumbi wa mkutano wakiwa wameandamana na wakuu wa majeshi na viongozi wa mji. Festo aliamuru Paulo aletwe ndani,
24Huan, Festain, Kumpipa Agrippa leh hiailaia i laka om tengtengte aw, hiai mi na muh uh ahi, a tungtang thu a Judate tengtengin a vek ua, hing nawn lou ding chi a, kikoua, Jerusalem khua leh hiailaia ka kianga a hekna uh.
24Kisha akasema, "Mfalme Agripa na wote mlioko hapa pamoja nasi! Hapa mbele yenu yuko mtu ambaye jumuiya yote ya Wayahudi hapa na kule Yerusalemu walinilalamikia wakipiga kelele kwamba hastahili kuishi tena.
25Himahleh, sihna ding khop bangmah a hih kei chih ka theia; huan, aman Kumpipa kianga tut a tup jiakin sawl ka tum ahi;
25Lakini mimi sikuona kuwa alikuwa ametenda chochote kibaya hata astahili kupewa adhabu ya kifo. Lakini, kwa vile Paulo mwenyewe alikata rufani kwa Kaisari, niliamua kumpeleka.
26Himahleh, a thu gina takin bangmah gelh ding lah ka theikeia. Huaijiakin na ma uah ka honpikhia ahi, Kumpipa Agrippa nangmah maa honpi tuan se ka hi a, etchet nungin banghiam bek gelh ding ka muh theihna dingin.Hentapa, Kumpipa kianga sawla, a tunga a hekna uh thu theih khawm sak louh jaw, haihuai hiin ka thei ngala, a chi a.
26Kwa upande wangu sina habari kamili ambayo naweza kumwandikia Kaisari juu yake. Ndiyo maana nimemleta hapa mbele yenu na mbele yako mfalme Agripa, ili baada ya kumchunguza, niweze kuwa na la kuandika.
27Hentapa, Kumpipa kianga sawla, a tunga a hekna uh thu theih khawm sak louh jaw, haihuai hiin ka thei ngala, a chi a.
27Kwa maana nadhani itakuwa kichekesho kumpeleka mfungwa bila kutaja wazi mashtaka yanayomkabili."