Paite

Swahili: New Testament

Acts

26

1Huan, Agrippain, Paula kiangah, Na siamna thu na gen thei hi, achia. Huan, Paulain a khut a jaka, a siamna thu a gen a;
1Basi, Agripa akamwambia Paulo, "Unaruhusiwa kujitetea." Hapo Paulo alinyosha mkono wake akajitetea hivi:
2Kumpipa Agrippa, Judaten a honhekna tengteng ua ka ka siamna thu tunia na maa ka gen ding jiakin kipakin ka kithei hi;
2"Mfalme Agripa, ninajiona mwenye bahati leo kujitetea mbele yako kuhusu yale mashtaka yote ambayo Wayahudi walikuwa wamesema juu yangu.
3Hiai ka kipahna pen ahi, Judate lakah dan leh thubuai tengteng thu a na pil mahmah jiakin; huaijiakin muangtaka non ngaihkhiaksak dingin ka honngen ahi.
3Hasa kwa vile wewe mwenyewe ni mtaalamu wa desturi za Wayahudi na migogoro yao, ninakuomba basi unisikilize kwa uvumilivu.
4A tunga ka naupan laia kipan, ka chite lakah leh Jerusalem khua a ka omdan Judate tengtengin a thei uh.
4"Wayahudi wanajua habari za maisha yangu tangu utoto, jinsi nilivyoishi tangu mwanzo kati ya taifa langu huko Yerusalemu.
5A tunga patin ka tanchin a thei uh, huchia ka sabiak dan ua ngentel pen angeina a Pharisai hi inga, a ut uleh a hon genpih thei uh ahi.
5Wananifahamu kwa muda mrefu, na wanaweza kushuhudia, kama wakipenda, kwamba tangu mwanzo niliishi kama mmoja wa kikundi chenye siasa kali zaidi katika dini yetu, yaani kikundi cha Mafarisayo.
6Huan, Pathianin ka pipute uh kianga thu achiam lametna jiakin hiaiah tuin vaihawm sakin ka ding ahi,
6Na sasa niko hapa nihukumiwe kwa sababu ninaitumainia ile ahadi ambayo Mungu aliwaahidia babu zetu.
7huai thuchiam, ka nam uh sawmlenihin, sun leh janin Pathian na phatuamngai taka semin, muh a lamen uhi. Kumpipa aw, huai lametna tungthu ah Judaten a honhek uhi.
7Ahadi hiyo ndiyo ileile inayotumainiwa na makabila kumi na mawili ya taifa letu, wakimtumikia Mungu kwa dhati mchana na usiku. Mheshimiwa mfalme, Wayahudi wananishtaki kwa sababu ya tumaini hilo!
8Pathianin misite a kaithou chih bangchin gintak huailou a sep na hi ua?
8Kwa nini ninyi mnaona shida sana kuamini kwamba Mungu huwafufua wafu?
9Ken leng Nazaret Jesu min kalh lamin thil lampi hih leng hoihin ka nagingta naka.
9Kwa kweli mimi mwenyewe niliamini kwamba ni wajibu wangu kufanya mambo mengi kulipinga jina la Yesu wa Nazareti.
10Huai bang Jerusalem khua ah leng ka hih jel ahi; huan, siampu liante kiangah thu ka mu a, mi siangthoute laka mi tampi suangkulh ah ka khum jela; huan, a hihlup lai un, lemsa lamah leng ka napang jel ahi.
10Mambo hayo ndiyo niliyoyafanya huko Yerusalemu. Mimi binafsi, nikiwa nimepewa mamlaka kutoka kwa makuhani wakuu, nilipata kuwatia gerezani wengi wa watu wa Mungu. Nao walipohukumiwa kuuawa, nilipiga kura ya kukubali.
11Huan, kikhopna in tengah ka sawi gige a. Jesu thu gensiatsak ka tum teitei nak hi, huan, a tunguah ka gilou mahmah, gamdang kho pha hialin leng ka sawi jel ahi.
11Mara nyingi niliwafanya waadhibiwe katika masunagogi yote nikiwashurutisha waikane imani yao. Hasira yangu kwao ilikuwa kubwa hata nikawasaka mpaka miji ya mbali.
12Huchibang hih dingin, siampu lalte thu muin leh, a sawlna lai uh tawiin, Damaska khua ah ka hoha.
12"Kwa mujibu huohuo, nilikwenda Damasko wakati mmoja, nikiwa na mamlaka na maagizo kutoka kwa makuhani wakuu.
13Huan, i aw, Toupa, ka pai lain, sun annek hun ahi a, van akipan vak banghiam, ni vak sanga vakjaw, keimah leh ka paipihte kimah vakin ka mu a.
13Mheshimiwa, wakati nilipokuwa njiani, saa sita mchana, niliona mwanga mkubwa kuliko wa jua ukiangaza kutoka mbinguni, ukanizunguka mimi na wale wasafiri wenzangu.
14Huan, ka vek un lei ah ka puk ua, Hebru pauin, Saula, Saula, nang bangachia honsawi? Sutna chiangzumte suih nanga dia na ahi, honchiin ka ja a.
14Sisi sote tulianguka chini, nami nikasikia sauti ikiniambia kwa Kiebrania: Saulo, Saulo! Kwa nini unanitesa? Unajiumiza bure kama punda anayepiga teke fimbo ya bwana wake.
15Huan, ken, Toupa, kua na hia? ka chi a. Huan, Toupan, Jesu, na sawi ka hi.
15Mimi nikauliza: Ni nani wewe Bwana? Naye Bwana akajibu: Mimi ni Yesu ambaye wewe unamtesa.
16Himahleh, thou inla, dingin; hiai na thil muhte leh, na kianga ka hongkilakna dingte toh, huai na sem ding leh theihpih dia nang honbawl dingin na kiangah ka hongkilak ahi;
16Haidhuru, inuka sasa; simama wima. Nimekutokea ili nikuweke rasmi kuwa mtumishi wangu. Utawathibitishia watu wengine mambo uliyoyaona leo na yale ambayo bado nitakuonyesha.
17Mi tengteng leh Jentelte khut akipan ka honhum hing ding;
17Nitakuokoa na watu wa Israeli na watu wa mataifa mengine ambao mimi ninakutuma kwao.
18A mit uh hihvak dingin a kiang uah ka honsawl ahi, huchiin mial tuh vaklam a ngatsan ding ua, Setan thuneihna Pathian lam a ngatsan ding uh, khelhna ngaihdamna a muhna ding uleh a hon gintak jiak ua siangthou kaite laka goutan a neihna ding un, a chi a.
18Utayafumbua macho yao na kuwawezesha watoke gizani na kuingia katika mwanga; watoke katika utawala wa Shetani, wamgeukie Mungu; ili kwa kuamini, wapate kusamehewa dhambi na kuchukua nafasi yao kati ya wale ambao wamepata kuwa watu wa Mungu.
19Huaijiakin, kumpipa Agrippa aw, vana mi kilak ka sel kei hi,
19"Hivyo, mfalme Agripa, sikuweza kuwa mkaidi kwa maono hilo la mbinguni.
20Atungin, Damaska khua a mite kiangah, huan Jerusalem khua ate kiangah, huan, Judia gam chih a mite kiangah leh, Jentelte kiangah leng, kisik minpu thama thil hiha, kisika, Pathian lam a ngatna ding un, ka hih zo jel ahi.
20Ila nilianza kuhubiri kwanza kwa watu wa Damasko, halafu kwa wale wa Yerusalemu na nchi yote ya Yudea, na pia kwa watu wa mataifa mengine. Niliwahimiza wamgeukie Mungu na kuonyesha kwa vitendo kwamba wamebadilisha mioyo yao.
21Huaite jiakin Judaten Pathian biakin ah a honman ua, hihlup a hontum ua.
21Kwa sababu hiyo, Wayahudi walinikamata nikiwa Hekaluni, wakajaribu kuniua.
22Himahleh, Pathian kiang akipana panpihna ka muh jiakin tuni tanin mi neute leh mi liante kianga thu theisakin ka om nalai hi, jawlneite leh Mosiin hongtung ding a chih thu kia uh loungal thu dang gen louin.
22Lakini Mungu alinisaidia; na hivyo mpaka siku ya leo nimesimama imara nikitoa ushuhuda kwa wote, wakubwa na wadogo. Ninayosema ni yale ambayo manabii na Mose walisema yatatukia;
23Huchia, Krisin gim a thuak dinga, hua misi laka kipan a thohnawn jiaka mi tengteng kianga leh Jentelte kianga leng vak musakpa masapen ahi ding, a chih thu uh, a chi a.
23yaani ilimpasa Kristo ateseke na kuwa wa kwanza kufufuka kutoka wafu, ili atangaze kwamba mwanga wa ukombozi unawaangazia sasa watu wote, Wayahudi na pia watu wa mataifa mengine."
24Huan, huchibanga a siamna thu a gen lain, Festain, aw ngaihtakin, Paula, na hai ahi; na theih tamnain nang honhaisak hi, a chi a.
24Paulo alipofika hapa katika kujitetea kwake, Festo alisema kwa sauti kubwa, "Paulo! Una wazimu! Kusoma kwako kwingi kunakutia wazimu!"
25Himahleh, Paulain, Festa hoihpen, hai kei veng e; thu diktak leh thu piltak ka gen jaw ahi.
25Lakini Paulo akasema, "Sina wazimu mheshimiwa Festo: Ninachosema ni ukweli mtupu.
26Hiai thu khawng kumpipan a thei vo-oi, a kiangah leng lau louin ka gen hi; hiai thil khawng bangmah a kiangah im ahi kei chih diktakin ka thei hi; hiaite, inning peuha hih ahi ngal keia.
26Wewe Mfalme unayafahamu mambo haya, kwa hiyo ninaweza kuongea bila uoga mbele yako. Sina mashaka kwamba matukio hayo yanajulikana kwako maana jambo hili halikutendeka mafichoni.
27Kumpipa Agrippa, jawlneite thu na gingta chih ka thei hi, a chi a.
27Mfalme Agripa, je, una imani na manabii? Najua kwamba unaamini."
28Huan, Agrippain, Paula kiangah, sawtlou chik phet khema, Kristiana honbawl tum neive! a chi a.
28Agripa akamjibu Paulo, "Kidogo tu utanifanya Mkristo!"
29Huan, Paulain, sawtin, sawt kei leh, nang kia ka chi kei, tuni a ka thu ja tengteng leng, keimah banga om dingin Pathian kiangah ka ngen ahi, kol khawngte bel bun tuan louin, a chita.
29Paulo akamjibu, "Namwomba Mungu kwamba, kwa muda mfupi au mrefu, si wewe tu bali wote wanaonisikia leo wapate kuwa kama nilivyo mimi, lakini bila hii minyororo."
30Huan, kumpipa toh, gamukpa toh, Barnisi toh, a kiang ua tute toh a ding chiat ua;
30Hapo mfalme Agripa, mkuu wa mkoa, Bernike na wale wote waliokuwa pamoja nao, walisimama.
31huan, a pai tuam ua, a kihou ua, hiai miin sihna leh kol butna khop hial thil bangmah a na hih kei hi, a chi uhi.Huan, Agrippain, Festa kiangah, hiai min Kaisar kianga tut ding na nachi keileh, pawt mai ding hiven, a chi a.
31Walipokwisha ondoka, waliambiana, "Mtu huyu hakufanya chochote kinachostahili adhabu ya kifo au kifungo."
32Huan, Agrippain, Festa kiangah, hiai min Kaisar kianga tut ding na nachi keileh, pawt mai ding hiven, a chi a.
32Naye Agripa akamwambia Festo, "Mtu huyu angeweza kufunguliwa kama asingalikuwa amekata rufani kwa Kaisari."