1Huan, siampu lianpenin, Hiai thute a dik ahi na hia? a chi a.
1Basi, Kuhani Mkuu akamwuliza, "Je, mambo haya ni kweli?"
2Huan, Stephenin, Unaute aw, pate aw, ngai un. I pu Abraham, Haran khua a a om ma a, Mesopotamia gama a om laiin, Thupina Pathian tuh a kiangah a hongkilaka, a kiangah,
2Naye Stefano akasema, "Ndugu zangu na akina baba, nisikilizeni! Mungu alimtokea baba yetu Abrahamu alipokuwa kule Mesopotamia kabla hajaenda kukaa kule Harani.
3Na kholam leh na chite lak akipan pawt inla, gam ka honetsak ding lamah hongpai in, a chi a.
3Mungu alimwambia: Ondoka katika nchi yako; waache watu wa ukoo wako; nenda katika nchi nitakayokuonyesha!
4Huan, amah tuh Kaldaite gam akipan a paikhia a, Haran khua ah a vaomta hi; huan, a pa a sih nungin huai akipanin hiai tua na omna kholam uah Pathianin a pemlut sak hi.
4Kwa hivyo, Abrahamu alihama nchi ya Kaldayo, akaenda kukaa Harani. Baada ya kifo cha baba yake, Mungu alimtoa tena Harani akaja kukaa katika nchi hii mnayokaa sasa.
5Huan, hiaiah jaw bangmah mun luah ding, a khe ngakna tham leng, a pe keia; himahleh, amah leh a nunga a suante phaa gou dingin piak achiama, ta a neih ma nangawnin.
5Mungu hakumpa hata sehemu moja ya nchi hii iwe mali yake; hata hivyo, alimwahidia kumpa nchi hii iwe yake na ya wazawa wake, ingawaje wakati huu hakuwa na mtoto.
6Huan, Pathianin hichibangin a gen; A suante mi kholam ah kum za li a tam ding uh, min sikhain a bawl ding ua, a sawi behlap ding uh.
6Mungu alimwambia hivi: Wazao wako watapelekwa katika nchi inayotawaliwa na watu wengine, na huko watafanywa watumwa na kutendewa vibaya kwa muda wa miaka mia nne.
7Huan, Pathianin, Sikhaa nei dingte nam keiman ka honngaihtuah dinga, huan, huai khit chiangin a hongpawt ding ua, hiai mun ah ka na a sem ding uh, a chi behlap hi.
7Lakini mimi nitalihukumu taifa hilo litakalowafanya watumwa. Kisha nitawatoa katika nchi hiyo ili waje kuniabudu mahali hapa.
8Huan, Pathianin a kiangah tua zeksum thu a khung hi; huchiin, Abrahamin Isaak a honneia, a ni giat niin a zek a suma, huan, Isaakin Jakob a neia; huan Jakobin chisuang ding sawmlehnihte a honnei hi.
8Halafu Mungu aliifanya tohara iwe ishara ya agano. Hivyo, Abrahamu alimtahiri mtoto wake Isaka, siku ya nane baada ya kuzaliwa. Na Isaka, vivyo hivyo, alimtahiri Yakobo. Naye Yakobo aliwatendea wale mababu kumi na wawili vivyo hivyo.
9Huan, tua chisuang dingten Joseph a haja ua, Aigupta gam lamah a juak ua; himahleh Pathian a kiangah a om a,
9"Wale mababu walimwonea wivu Yosefu, wakamuuza utumwani Misri. Lakini Mungu alikuwa pamoja naye,
10a gimthuak tengteng ah a honkhe jela, Aigupta gam kumpipa Pharo leng a hehpih saka, mi piltak ahi chih a theisak behlap hi; huchiin, aman Aigupta gam leh a ina mi tengteng tungah gamukpain a bawlta hi.
10akamwokoa katika taabu zake zote. Mungu alimjalia fadhili na hekima mbele ya Farao, mfalme wa Misri, hata Farao akamweka awe mkuu wa ile nchi na nyumba ya kifalme.
11Huan, Aigupta leh Kanan gam tengteng ah tam a hongtunga, gimthuakna thupitak a hongtungta hi; I piputen nekding himhim a muta kai ua.
11Kisha, kulizuka njaa kubwa katika nchi yote ya Misri na Kanaani, ikasababisha dhiki kubwa. Babu zetu hawakuweza kupata chakula chochote.
12Himahleh, Jakobin Aigupta gamah buh a om chih a jak takin i pipute a sawlkhia a; tua bel a hohpat tungna pen uh hiven.
12Basi, Yakobo alipopata habari kwamba huko Misri kulikuwa na nafaka, aliwatuma watoto wake, yaani babu zetu, waende huko Misri mara ya kwanza.
13Huan, a nihvei hohna uah, Joseph a unaute a kitheisakta a, huan, Joseph chite tuh Pharo kiangah a kitheisakta uhi.
13Katika safari yao ya pili, Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake, na Farao akaifahamu jamaa ya Yosefu.
14Huan, Josephin a pa Jakob leh a unau tengteng a samsaka; amau tuh sawmsagih leh nga ahi uh.
14Yosefu alituma ujumbe kwa baba yake na jamaa yote, jumla watu sabini na tano, waje Misri.
15Huchiin, Jakob tuh Aigupta gamah a hohsuk a; huan, amah leh i pipute a sita ua,
15Hivyo, Yakobo alikwenda Misri ambako yeye na babu zetu wengine walikufa.
16Sikem khua ah a jawng tung ua, Abrahamin Sikem khua a Emmor tapate laka dangka suma a lei han ah a vuita hi.
16Miili yao ililetwa mpaka Shekemu, ikazikwa katika kaburi Abrahamu alilonunua kutoka kwa kabila la Hamori kwa kiasi fulani cha fedha.
17Huan, Pathianin Abraham kianga thu achiam a tun hun a hongtun dingin mite tuh Aigupta gamah a hongpung ua, a hongtam deuhdeuhta ua;
17"Wakati ulipotimia Mungu aitimize ahadi aliyompa Abrahamu, idadi ya wale watu kule Misri ilikwisha ongezeka na kuwa kubwa zaidi.
18Joseph theilou kumpipa dang a hongom masiah.
18Mwishowe, mfalme mmoja ambaye hakumtambua Yosefu alianza kutawala huko Misri.
19Huai miin i chite a zekhema, i pipute a sawia, a naungekte uh hinglou dingin a paikhe saksaka.
19Alilifanyia taifa letu ukatili, akawatendea vibaya babu zetu kwa kuwalazimisha waweke nje watoto wao wachanga ili wafe.
20Huai laiin Mosi a hongpianga, Pathian muhin a mel a hoih mahmaha; a pa in ah kha thun a vak ua;
20Mose alizaliwa wakati huo. Alikuwa mtoto mzuri sana. Alilelewa nyumbani kwa muda wa miezi mitatu,
21huan, a paihkhiak un Pharo tanuin a la a, amah ta dingin a khoita hi.
21na alipotolewa nje, binti wa Farao alimchukua, akamlea kama mtoto wake.
22Huan, Mosi tuh Aigupta gama mite pilna tengteng a hilh ua, a thu ah leh a thilhih ah a thupi mahmah hi.
22Mose alifundishwa mambo yote ya hekima ya Wamisri akawa mashuhuri kwa maneno na matendo.
23Huan, amah tuh kum sawmli a chin kuan laiin, a unau, Israel suante, veh a tuma.
23"Alipokuwa na umri wa miaka arobaini aliamua kwenda kuwaona ndugu zake Waisraeli.
24Huan, a lak ua mi khat hihgim thuak lai a mu a, a hona, hihgim thuakpa tuh a phu a laksaka, Aigupta mi tuh a hihlumta hi.
24Huko alimwona mmoja wao akitendewa vibaya, akaenda kumwokoa, na kulipiza kisasi, akamuua yule Mmisri.
25Mosiin amah khutin Pathianin amaute a hondam chih a unauten theina uhiam a sa a, himahleh a theikei hial uhi.
25(Alidhani kwamba Waisraeli wenzake wangeelewa kwamba Mungu angemtumia yeye kuwakomboa, lakini hawakuelewa hivyo.)
26Huan, a jingin a lak ua mi nih a kilai un a kiang uh a hong tunga, Pute aw, unau nei ve ua; bangdia diklou taka kibawl na hi ua? chiin, lep a tum a.
26Kesho yake, aliwaona Waisraeli wawili wakipigana, akajaribu kuwapatanisha, akisema: Ninyi ni ndugu; kwa nini basi, kutendeana vibaya ninyi kwa ninyi?
27Himahleh, a invengpa tunga thugilou bawl zopan Mosi tuh a sawn hanga, Kou tungah heutu leh vaihawm dingin kuan a honbawla?
27Yule aliyekuwa anampiga mwenzake alimsukuma Mose kando akisema: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wa watu?
28Jana Aigupta mi na hihlup banga, honhihlup tum na hi maw? a chi a.
28Je, unataka kuniua kama ulivyomuua yule Mmisri jana?
29Huan, huai thu jiakin Mosi a tai mangta a, Midian gamah a tam nilouhta hi, huaiah tapa nih a vanei hi.
29Baada ya kusikia hayo Mose alikimbia, akaenda kukaa katika nchi ya Midiani na huko akapata watoto wawili.
30Huan, kum sawmli a chin nungin Sinai Tang gamdai ah; loubuk ah mei kuang lakah, angel khat a kiangah a hongkilaka.
30"Miaka arobaini ilipotimia, malaika wa Bwana alimtokea Mose katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto kule jangwani karibu na mlima Sinai.
31Huan, Mosiin a muhin a thil muh tuh lamdang a sa mahmah; huan en dinga a vakuan laiin, Toupa awin,
31Mose alistaajabu sana kuona jambo hilo hata akasogea karibu ili achungulie; lakini alisikia sauti ya Bwana:
32Kei na pipute Pathian ka hi, Abraham Pathian, Isaak Pathian, Jakob Pathian, a nachi a. Huchiin, Mosi a linga, a en ngamta kei hi.
32Mimi ni Mungu wa baba zako, Mungu wa Abrahamu, Isaka na Yakobo! Mose akatetemeka kwa hofu na wala hakuthubutu kutazama zaidi.
33Huan, Toupan a kiangah, Na khepek akipan na khedap phelin; na dinna mun lei siangthou ahi.
33Bwana akamwambia: Vua viatu vyako maana hapa unaposimama ni mahali patakatifu.
34Aigupta gama om ka mite gimdan ka mu gige hi, a thum uh leng ka za gige, amau honkhe dingin ka hongsuk ding hi. Hongin, Aigupta gamah ka honsawl ding, a chi a.
34Nimeyaona mabaya wanayotendewa watu wangu kule Misri. Nimesikia kilio chao, nami nimekuja kuwaokoa. Basi sasa, nitakutuma Misri.
35Huai, Mosi, Heutu, leh vaihawm dingin kuan a honbawla, chia a huat uh, loubuka angel a kianga kilakin a huha, Pathianin amah mah heutu leh honkhepa hikhawm dingin a sawlta hi.
35"Huyu Mose ndiye yule watu wa Israeli waliyemkataa waliposema: Ni nani aliyekuweka wewe kuwa kiongozi na mwamuzi wetu? Kwa njia ya yule malaika aliyemtokea katika kichaka kilichokuwa kinawaka moto, Mungu alimtuma Mose huyo awe kiongozi na mkombozi.
36Aman Aigupta gam bangah, Tuipi San bangah, gamdai bangah, kum sawmli sungin thillamdang leh chiamtehnate a musak phot a, amaute a pikheta ahi.
36Ndiye aliyewaongoza wale watu watoke Misri kwa kufanya miujiza na maajabu katika nchi ya Misri, katika bahari ya Shamu na jangwani kwa muda wa miaka arobaini.
37Israel suante kiangah, Pathianin keimah a honbawl bangin, na unaute lakah mi jawlnei khat a honbawlsak ding, chipa ahi, huai Mosi tuh.
37Mose ndiye aliyewaambia watu wa Israeli: Mungu atawateulieni nabii kama mimi kutoka katika ndugu zenu ninyi wenyewe.
38Huai mi tuh gamdaia saptuamte laka ompa, Sinai Tanga angelin a houpihpa leh, i pipute kianga ompa ahi; huai mi tuh honpiak sawn dinga thu hingte khawng lapa amah ahi.
38Wakati watu wa Israeli walipokutana pamoja kule jangwani, Mose ndiye aliyekuwako huko pamoja nao. Alikuwa huko pamoja na babu zetu na yule malaika aliyeongea naye mlimani Sinai; ndiye aliyekabidhiwa yale maneno yaletayo uzima atupe sisi.
39I piputen amah thu a mang nuam kei ua, a hua ua, Aron kiangah,
39"Lakini yeye ndiye babu zetu waliyemkataa kumsikiliza; walimsukuma kando, wakatamani kurudi Misri.
40I makai dingin pathiante honbawlsakin; Aigupta gam akipan a honpi khepa hiai Mosi lah, a tanchin ka thei nawnta kei ua, chiin, a lungtang uh Aigupta gam lam ah a nga nawnta a.
40Walimwambia Aroni: Tutengenezee miungu itakayotuongoza njiani, maana hatujui yaliyompata Mose huyu aliyetuongoza kutoka Misri!
41Huan, huai laiin bawngnou lim a bawl ua, a lim tuh gan gouin a bia ua, amau khutsuak tungah a nuamta uhi.
41Hapo ndipo walipojitengenezea sanamu ya ndama, wakaitambikia na kukifanyia sherehe kitu ambacho ni kazi ya mikono yao wenyewe.
42Huchiin, Pathianin a lehngatsana, vana aksi khawng chibai a buk theihna ding un amaute a tawpsanta hi; jawlnei laibu a, Israel chite aw, gamdai ah kum sawmli sungin sa leh gan gohin kei non bia ua eita?
42Lakini Mungu aliondoka kati yao, akawaacha waabudu nyota za anga, kama ilivyoandikwa katika kitabu cha manabii: Enyi watu wa Israeli! Si mimi mliyenitolea dhabihu na sadaka kwa muda wa miaka arobaini kule jangwani!
43Molok puanin leh na pathian uh Remphan aksi mah leng, chibai buk dinga a limn a bawlte uh, na zong zo nak ua; huaijiakin, Babulon kho khenlam ah kon pi mang ding, chih gelh bangin.
43Ninyi mlikibeba kibanda cha mungu Moloki, na sanamu ya nyota ya mungu wenu Refani. Sanamu mlizozifanya ndizo mlizoabudu. Kwa sababu hiyo nitakupeleka mateka mbali kupita Babuloni!
44A lim a muh banga bawl dinga Mosi hilhpan a seh bangin, i piputen huai gamdai ah theihsakna puanin a nei ua.
44Kule jangwani babu zetu walikuwa na lile hema lililoshuhudia kuweko kwa Mungu. Lilitengenezwa kama Mungu alivyomwambia Mose alifanye; nakala kamili ya kile alichoonyeshwa.
45Huai mah tuh i pipute suan nawnten leng a nei sawn jel ua, Pathian in i pipute maa Jentel a delhkhiakte gam a luah lai un, Joshua lut laiin a lutpih ua; David hongom tannin huaiah a om gigeta hi.
45Kisha babu zetu walilipokezana wao kwa wao mpaka wakati wa Yoshua, walipoinyakua ile nchi kutoka kwa mataifa ambayo Mungu aliyafukuza mbele yao. Hapo lilikaa mpaka nyakati za Daudi.
46Huai David tuh Pathian mitmuhin deihsak takin a oma, Jakob Pathian adingin omna bawlsak a ngen hi.
46Daudi alipata upendeleo kwa Mungu, akamwomba Mungu ruhusa ya kumjengea makao yeye aliye Mungu wa Yakobo.
47Himahleh, Solomonin huai in tuh a lamsak zota hi.
47Lakini Solomoni ndiye aliyemjengea Mungu nyumba.
48Himahleh, Tungnungpen tuh khuta bawl in peuh ah a om kei hi; jawlneiin.
48"Hata hivyo, Mungu Mkuu haishi katika nyumba zilizojengwa na binadamu; kama nabii asemavyo:
49Toupan, Van ka tutphah ahi, lei ka khepek ngakna ahi: in bangchibang in non lamsak ding ua? Ka khawlna mun leng bang ahia?
49Bwana asema: Mbingu ni kiti changu cha enzi na dunia ni kiti changu cha kuwekea miguu.
50Keimah khutin hiai thil bangkim ka bawl kei ahia? a chi, chi a, a gen bangin.
50Ni nyumba ya namna gani basi mnayoweza kunijengea, na ni mahali gani nitakapopumzika? Vitu hivi vyote ni mimi nimevifanya, au sivyo?
51Mi genhakte, lungtang leh bila zeksumlouhte aw, chiklaipeuhin Kha Siangthou na dal gige uh; na pipute uh hih bangbangin na hih nilouhlouh uh.
51"Enyi wakaidi wakuu! Mioyo na masikio yenu ni kama ya watu wa mataifa. Ninyi ni kama baba zenu. Siku zote mnampinga Roho Mtakatifu.
52Na pipute un jawlneite lakah kua ahia a sawi louh uh? Mi Diktak hongding thugen khawlte a hihlum ua; huai Mi Taktak tuh mansakte leh thatte noumu tuin na hi uhi.
52Je, yuko nabii yeyote ambaye baba zenu hawakumtesa? Waliwaua hao Mungu aliowatuma watangaze kuja kwake yule Mwenye Haki. Na sasa, ninyi mmemsaliti, mkamuua.
53Dan, angelte piak sawn, mu masa a jui loute aw, a chi a.
53Ninyi mliipokea ile Sheria iliyoletwa kwenu na Malaika, lakini hamkuitii."
54Huan, huai thu a jak un a sin uh a thakta a, Stephen tungah a ha uh a gawita uhi.
54Wale wazee wa Baraza waliposikia hayo, walighadhibika sana, wakamsagia meno kwa hasira.
55Himahleh, amah tuh Kha Siangthou dim ahia, vanlam a ena, Pathian thupidan leh Pathian taklama Jesu ding a mu a;
55Lakini Stefano akiwa amejawa na Roho Mtakatifu, akatazama juu mbinguni, akauona utukufu wa Mungu na Yesu amekaa upande wa kulia wa Mungu.
56Ngai un, van kihong ka mu a, Pathian taklam Mihing Tapa ding leng ka mu, a chi a.
56Akasema, "Tazameni! Ninaona mbingu zimefunuliwa na Mwana wa Mtu amesimama upande wa kulia wa Mungu."
57Huchiin, amau tuh aw ngaihtakin a kikou ua, a bil uh a hum ua,
57Hapo, watu wote katika kile kikao cha Baraza, wakapiga kelele na kuziba masikio yao kwa mikono yao. Kisha wakamrukia wote kwa pamoja,
58Kituaktakin a pang ua, khua akipan a delhkhia ua, suangin a deng ua, a theihpihten tangval khat a min Saula khe bul ah a puante uh a koih khawm chiat uh.
58wakamtoa nje ya mji, wakampiga mawe. Wale mashahidi wakayaweka makoti yao chini ya ulinzi wa kijana mmoja jina lake Saulo.
59Huchiin, Stephenin, Toupa Jesu, ka kha la in, chia Toupa a sap laiin suangin a deng lumlum ua.Huan, a khukdin a, aw ngaihtakin a kikoua, Toupa, hiai a khelha uh a tunguah moh posak ken, a chi a, Huan, huai thu a gen zoh takin, a ihmuta a. Saulain leng a sih tuh hoih a sa hi.
59Waliendelea kumpiga mawe Stefano, huku akiwa anasali: "Bwana Yesu, ipokee roho yangu!"
60Huan, a khukdin a, aw ngaihtakin a kikoua, Toupa, hiai a khelha uh a tunguah moh posak ken, a chi a, Huan, huai thu a gen zoh takin, a ihmuta a. Saulain leng a sih tuh hoih a sa hi.
60Akapiga magoti, akalia kwa sauti kubwa: "Bwana, usiwalaumu kwa sababu ya dhambi hii." Baada ya kusema hivyo, akafa.