1Huan, huai laia, nungjuite a pun a pun lai un, a niteng thil hawm uah amau meithaite a limsaklouh nak jiak un Hebrute tungah Grik-Judate a phunta ua.
1Baadaye, idadi ya wanafunzi ilipokuwa inazidi kuongezeka, kulitokea manung'uniko kati ya wanafunzi waliosema Kigiriki na wale waliosema Kiebrania. Wale waliosema Kigiriki walinung'unika kwamba wajane wao walikuwa wanasahauliwa katika ugawaji wa mahitaji ya kila siku.
2Huan, sawm leh nihten nungjui mipite a sam ua, Pathian thugen tawpsana, dohkana nektak ka bawl uh a hoih kei ding hi.
2Kwa hiyo, mitume kumi na wawili waliita jumuiya yote ya wanafunzi, wakasema, "Si vizuri sisi tuache kulihubiri neno la Mungu ili tushughulikie ugawaji wa mahitaji.
3Huaijiakin, unaute aw, na lak uah Kha leh pilna dim mi minhoih ngen sagih tel un, amau hiai thil gel dingin ka bawl ding uh;
3Hivyo, ndugu zetu, chagueni miongoni mwenu watu saba wenye sifa njema, waliojawa na Roho na wenye hekima; nasi tutawakabidhi jukumu hilo.
4kou tuh thum leh thu nasemin ka om nawn zo ngitnget ding uh, a chi ua.
4Sisi, lakini, tutashughulika na sala na kazi ya kuhubiri neno la Mungu."
5Huai thuin mi tengteng a kipaksaka; huchiin ginna leh Kha Siangthoua dim Stephen toh, Philip toh, Prokora toh Nikanor toh, Timon toh, Parmena toh, Judate phungkai Antiokei khua a mi Nikola toh a tel ua;
5Jambo hilo likaipendeza jumuiya yote ya waumini. Wakawachagua Stefano, mtu mwenye imani kubwa na mwenye kujawa na Roho Mtakatifu, Filipo, Prokoro, Nikanora, Timona, Parmena na Nikolao wa Antiokia ambaye hapo awali alikuwa ameongokea dini ya Kiyahudi.
6Tua mite sawltakte maah a dingsak ua: huan, amau a thum ua, a tunguah a khut uh a koih uh.
6Wakawaweka mbele ya mitume, nao wakawaombea na kuwawekea mikono.
7Huan, Pathian thu a hongdalha; Jerusalem khua ah nungjuite a pungta mahmah uhi; siampute lakah leng mi tampi ginna lam a hongngata uhi.
7Neno la Mungu likazidi kuenea na idadi ya waumini huko Yerusalemu ikaongezeka zaidi, na kundi kubwa la makuhani wakaipokea imani.
8Huan, Stephen hehpihna leh thilhihtheihnain a dima, mi lakah thillamdang leh chiamtehna thupipi a hih jela.
8Mungu alimjalia Stefano neema tele, akampa nguvu nyingi hata akawa anatenda miujiza na maajabu kati ya watu.
9Himahleh, Sal Suakte, Kurini khua te, Aleksandria khua te kikhopna a chih ua mi khenkhat leh, Silisia gama te; Asia gama te kikhopna a mi khenkhatte a hongkisa ua, Stephen a hong kiselpih ua.
9Lakini watu fulani wakatokea ili wabishane na Stefano. Baadhi ya watu hao walikuwa wa sunagogi moja lililoitwa "Sunagogi la Watu Huru", nao walitoka Kurene na Aleksandria; wengine walitoka Kilikia na Asia.
10Himahleh, a pilna leh a genpihpa Kha tuh a selkhe theikei uhi.
10Lakini hawakuweza kumshinda kwa sababu ya hekima yake na kwa sababu ya yule Roho aliyeongoza maneno yake.
11Huan, mi bang a golh ua; huai miten tuh, Mosi leh Pathian a gensiat ka ja uh, a chi ua.
11Kwa hiyo waliwahonga watu kadhaa waseme: "Tumemsikia Stefano akisema maneno ya kumkashifu Mose na kumkashifu Mungu."
12Huan, mite, upate leh laigelhmite a hasuan ua, Stephen a sual ua, a man ua, vaihawmte kiangah a pi uhi;
12Kwa namna hiyo, waliwachochea watu, wazee na walimu wa Sheria. Basi, wakamjia Stefano, wakamkamata na kumleta mbele ya Baraza kuu.
13huan, theihpih takloute a bawl un, huaiten tuh, Hiai min hiai In Siangthou leh Dan a gense gige hi;
13Walileta Barazani mashahidi wa uongo ambao walisema, "Mtu huyu haachi kamwe kusema maneno ya kupakashifu mahali hapa patakatifu na Sheria ya Mose.
14Hiai Nazareth Jesun hiai In a hihse dia, Mosiin honpiak dante a hihlamdang ding chih, a gen ka ja uh, a chi ua.Huan, vaihawmte tengtengin Stephen a ensal chiat ua, a mel tuh angel mel bangin a mu uh.
14Kwa maana tulikwisha msikia akisema eti huyo Yesu wa Nazareti atapaharibu kabisa mahali hapa na kufutilia mbali desturi zile tulizopokea kutoka kwa Mose."
15Huan, vaihawmte tengtengin Stephen a ensal chiat ua, a mel tuh angel mel bangin a mu uh.
15Wote waliokuwa katika kile kikao cha Baraza walimkodolea macho Stefano, wakauona uso wake umekuwa kama wa malaika.