1Paula Pathian deihdana Kris Jesu sawltak leh Timothi i unauin.
1Mimi Paulo, mtume wa Kristo Yesu kwa mapenzi ya Mungu, na ndugu Timotheo,
2Kolossa khuaa Kris mi siangthoute leh unau muanhuaite kiangah: Pathian i Pa kianga kipan hehpihna leh lemna n akiang uah om hen.
2tunawaandikia ninyi watu wa Mungu huko Kolosai, ndugu zetu waaminifu katika kuungana na Kristo. Tunawatakieni neema na amani kutoka kwa Mungu Baba yetu.
3Nou adinga thum gigein Pathian i Toupa Jesu Kris Pa kiangah kipahthu ka gen uhi,
3Daima tunamshukuru Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, wakati tunapowaombea.
4Kris Jesu na gindan uh leh misiangthou tengteng tunga itnna na neihdan uh ka jak tak jiakun,
4Maana tumesikia juu ya imani yenu katika Kristo Yesu na juu ya upendo wenu kwa watu wote wa Mungu.
5Huaibel nou adinga lametna vana koihkholha a om jiak ahi. Huai lametna tanchin mah, tumain, tanchin hoih thutak thu ah na nazata ua;
5Wakati ujumbe ule wa kweli, yaani Habari Njema, ilipowafikieni kwa mara ya kwanza, mlipata kusikia juu ya lile tumaini linalopatikana kwake. Kwa sababu hiyo imani na upendo wenu vinategemea jambo lile mnalotumainia ambalo mmewekewa salama mbinguni.
6Huai tanchin hoih tuh khovel tengteng ah gaha a khan jel mah bangin, na kiang uh hongtung a, chih taktaka Pathian hehpihna tuh na ngaihkhiak ua na jak ni ua kipanin, noumau ah leng gahin a khang jel ahi;
6Habari Njema inazidi kuzaa matunda na kuenea ulimwenguni kote kama vile ilivyofanya kwenu ninyi tangu siku ile mliposikia juu ya neema ya Mungu na kuitambua ilivyo kweli.
7Huaimahbangin Epaphra i sikha hihpih ngaihtak laka na zil bang un, amah tuh kou sikin Kris nasempa muanhuai tak ahi a,
7Mlijifunza juu ya neema ya Mungu kutoka kwa Epafra, mtumishi mwenzetu, ambaye ni mfanyakazi mwaminifu wa Kristo kwa niaba yetu.
8Aman tuh Khaa na itna uh a honhilh hi.
8Yeye alitupa habari za upendo wenu mliojaliwa na Roho.
9Huaijiakin, ka jak ni ua kipan kou leng noua dia thum leh nget ka tawp kei uhi; huchia khalam pilna leh theihna tengteng a a deihlam theihnaa hihdima nongom theihna dingun,
9Kwa sababu hiyo tumekuwa tukiwaombeeni daima tangu tulipopata habari zenu. Tunamwomba Mungu awajazeni ujuzi kamili wa mapenzi yake, awajazeni hekima yote na elimu iletwayo na Roho wake.
10Huan, nasep hoih chitenga gaha, Pathian theihnaa hongkhanga, Amah kipah lamtaka Toupa a dia kilawmhima na hintheihna dingun.
10Hapo mtaweza kuishi kama anavyotaka Bwana na kutenda daima yanayompendeza. Maisha yenu yatakuwa yenye matunda ya kila namna ya matendo mema na mtazidi kukua katika kumjua Mungu.
11Kipahna toh kithuah thuak-hatna leh kuhkalna nei dingin, A hatna thupi bangjela hihhatin hongom un;
11Mungu awajalieni nguvu kwa uwezo wake mtukufu ili mweze kustahimili kila kitu kwa uvumilivu.
12Vaka misiangthoute gou luahpih dia honchingsak Pa kianga kipahthu genin.
12Na kwa furaha, mshukuruni Baba aliyewawezesha ninyi kuwa na sehemu yenu katika mambo yale Mungu aliyowawekea watu wake katika utawala wa mwanga.
13Aman tuh mial thuneihna lak akipan honsuaktasakin, a Tapa ittak gamah honkaisakta;
13Yeye alituokoa katika nguvu ya giza, akatuleta salama katika ufalme wa Mwanae mpenzi,
14Amah ah tuh i tatkhiakna uh i mu un i khelhnate ngaihdamna tak.
14ambaye kwa njia yake tunakombolewa, yaani dhambi zetu zinaondolewa.
15Amah tuh muh theih louh Pathian batpih, thilsiam tengtenga piang masapen ahi a;
15Kristo ni mfano wa Mungu asiyeonekana; ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
16Amah ah tuh bangkim siam ahi a, vana omte, leia omte toh, muhtheihte, muhtheihlouhte toh, laltutphahte leng, thuneihnate leng; bangkim amah siam ahi, amah ading maha siam ahi.
16Maana kwa njia yake vitu vyote viliumbwa duniani na mbinguni, vitu vinavyoonekana na visivyoonekana: wenye enzi, watawala, wakuu na wenye mamlaka. Vyote viliumbwa kwa njia yake na kwa ajili yake.
17Huan, amah jaw bangteng om main leng a om him ahi, amah ah tuh bangteng a ding khawm chiat uhi.
17Kristo alikuwako kabla ya vitu vyote; kwa kuungana naye, vyote vyadumu mahali pake.
18Amah tuh pumpi (huai tuh saptuamte) lutang ahi a; bangkima tungnungpen a honghih theihna ding in, a bulpi, misi laka kipana piang masapen tuh ahi.
18Yeye ni kichwa cha mwili wake, yaani kanisa; yeye ni chanzo cha uhai wa huo mwili. Yeye ndiye mwanzo, mzaliwa wa kwanza aliyefufuliwa kutoka wafu, ili awe na nafasi ya kwanza katika vitu vyote.
19Amaha Pathian tangchinna tengteng a om Pa deihlam tak ahi ngala.
19Maana Mungu alipenda utimilifu wote uwe ndani yake.
20A kros sisana lemna nabawlin, amah ah bangkim amah toh a kilemsak hi; amah ngeiah leia thil omte leng, vana thil omte leng amah toh a kilemsak hi.
20Kwa njia yake Mungu alivipatanisha naye vitu vyote naam, viumbe vyote mbinguni na duniania; alileta amani kwa damu ya Kristo msalabani.
21Huan, nou, tumalamin na lungsim uah a melma na hi ua, na thilhih gilou ua amaha kipana khena naom na hi ua, himahleh tuin aman,
21Hapo kwanza ninyi pia mlikuwa mbali na Mungu na mlikuwa adui zake kwa sababu ya fikira zenu na matendo yenu maovu.
22A sihnain a pumpi ah amah toh noute a honkilemsakta hi, a maa siangthou tak leh, gensiatbei leh, mohsaktheihlouha a hondin sakna dingin,
22Lakini sasa, kwa kifo cha Mwanae aliyeishi hapa duniani, Mungu amewapatanisha naye, kusudi awalete mbele yake mkiwa watakatifu, safi na bila lawama.
23Kingakna neia kip taka oma, tanchin hoih na jak ua lametnaa kipana suan manga om loua, ginnaa na om gige peuhmah uleh; huai tanchin hoih tuh van nuaia thil siam tengteng laka tangkoupih ahi a; kei Paula leng huai nasem dia bawl ka hi.
23Mnapaswa, lakini kuendelea kuwa imara na thabiti katika imani hiyo, na msikubali kusukumwa mbali na tumaini lile mlilopata wakati mlipoisikia Habari Njema. Mimi Paulo nimekuwa mtumishi wa hiyo Habari Njema ambayo imekwisha hubiriwa kila kiumbe duniani.
24Nou jiaka tu-a ka gimthuaknate ah ka kipak hi; huan, a pumpi jiaka Krisin a gimthuaknate ban zom jel ka hi: a pumpi tuh Saptuam ahi.
24Na sasa nafurahi kuteseka kwa ajili yenu, maana kwa mateso yangu hapa duniani, nasaidia kukamilisha kile kilichopungua bado katika mateso ya Kristo kwa ajili ya mwili wake, yaani kanisa.
25Noua dinga Pathian nasepna kei kianga piaka om bangjelin huai saptuam nasempa ka honghita, Pathian thu bukim taka theisak dingin.
25Nami nimefanywa kuwa mtumishi wa kanisa kufuatana na mpango wake Mungu ambao alinikabidhi kwa faida yenu. Mpango wenyewe ni kuutangaza kwa ukamilifu ujumbe wake,
26Huai Pathian thu tuh khantawn leh akhang akhanga kipana thuguk kisel pen ahi; tun bel misiangthoute kiangah latsakin a omta hi.
26ambao ni siri aliyowaficha binadamu wote tangu milele, lakini sasa amewajulisha watu wake.
27Amau kiangah, Jentelte laka huai thuguk thupina hauhsakna tamdan Pathianin theihsak a ut him ahi; huai thuguk tuh Kris noumaua om, thupina lametna pen tuh ahi:
27Mpango wa Mungu ni kuwajulisha watu wake siri hii kuu na tukufu ambayo ni kwa ajili ya watu wote. Na, siri yenyewe ndiyo hii: Kristo yuko ndani yenu, na jambo hilo lamaanisha kwamba ninyi mtaushiriki utukufu wa Mungu.
28Mi chih Krisa hoihkima ka piak theihna ding un, mi chih hilhin, mi chih pilna chitenga zilsakin, Amah tanchin ka gen jel uhi.Huchibang dingin, nakpi taka keimaha a sep sak thahatna tengteng zangin theih tawpin ka sem jel hi.
28Kwa sababu hiyo tunamhubiri Kristo kwa watu wote; tunawaonya na kuwafundisha wote kwa hekima yote, ili tuweze kumleta kila mmoja mbele ya Mungu akiwa amekomaa katika kuungana na Kristo.
29Huchibang dingin, nakpi taka keimaha a sep sak thahatna tengteng zangin theih tawpin ka sem jel hi.
29Kwa madhumuni hayo mimi nafanya kazi na kujitahidi nikiitumia nguvu kuu ya Kristo ifanyayo kazi ndani yangu.